Mke wako wako asikuzidi jina, nyumba yako itambulike kwa baba au mzee fulani na sio kwa mama au bibi fulani

Watu wanataka washindane umaarufu na wake zao
 
Kwaiyo unatushauri tuanze kushindana kutafuta umaarufu na wake zetu mtaani?

Ukishakuwa responsible Man and father automatically huo Mtaa lazima wajue Mji Fulani NIwa Mzee Fulani.

Umaarufu unajengwa na mchango wako chanya kwèñye familia yako na Mtaa unaoishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…