Mke wako wako asikuzidi jina, nyumba yako itambulike kwa baba au mzee fulani na sio kwa mama au bibi fulani

Mke wako wako asikuzidi jina, nyumba yako itambulike kwa baba au mzee fulani na sio kwa mama au bibi fulani

MKE WAKO WAKO ASIKUZIDI JINA, NYUMBA YAKO ITAMBULIKE KWA BABA AU MZEE FULANI NA SIÔ KWA MAMA AU BIBI FULANI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Moja ya dalili kuwa Mwanaume umefeli ni Nyumba yako kutambulika Hapo mtaani Kwa jina la Mkeo.
Utasikia pale Kwa Mama Taikon, au Kwa Bibi Zeituni,
Nyumbani Kwa Mama Richard.

My friend ikifikia sehemu àmbayo NI yako alafu inatajwa Kwa Jina la Mkeo Jua kûna sehemu muhimu na nyeti umeshindwa kama Mwanaume na kama Baba.

Úkiwa kama Mwanaume muwajibikaji na unayejua majukumu yako jina Lako NI Moja ya Jambo nyeti kulilinda na kulikuza.

Siô Sifa nzuri Nyumba yako iitwe Kwa Jina la Mwanamke NI kwamba wewe Huna lolote. Wewe siô kichwa, wewe sio mtawala yàani upoupo.

NI Sawasawa na úwe Rais WA nchi hii alafu nchi jirani na Huko kimataifa Waiite nchi yako Kwa Jina la Makamu wako au Waziri Mkuu. Hiyo kiutawala Moja Kwa moja inaashiria kuwa Rais Hana chake Hapo.

Nyumba yako iitwe Kwa majina yako au ûkoo wenu.
Kwa Mzee Magufuli,
Kwa Mzee Kikwete,
Kwa Mzee Taikon
Kwa Mzee Mwinyi n.k.

Hata familia yako itambulishwe Kwa Jina laki au ubini wako.
Siô familia ya Mama au Bibi Fulani nop. Hiyo siô dalili nzuri kiutawala.

NI dalili ya kuwa haukuwa active enzi za ujana wako.

Moja ya mambo àmbayo Mungu alimuahidi Ibrahim ni kukuza jina lake na alilikuza. Hata Watoto na wajukuu wake Miaka nenda rudi huitwa Watoto na kizazi cha Ibrahim.
Pia hujulikana kama Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo.

Au Mungu wa mababu zetu.
Kitendo cha kukubali Mkeo au Mwanamke akuzidi kete ni kuruhusu Miaka ijayo aitwe Mungu wa Bibi zetu Jambo ambalo kiutawala hasa WA kiroho halipo.

Familia ambazo mama amebeba jina huwaga hazinaga kizazi kirefu Katika mafanikio.

Jina Lako lina thamani. Thamani hiyo lazima Uilinde.
Kiasi kwamba Siku ukiwa haupo Watoto na wajukuu zako wajivunie jina Lako.

Hata Mwanamke hujivunia kuitwa jina la Mwanaume mwenye heshima na legacy Kwa Wakati wake.
Mwanamke Hawezi kubali kubadili jina la ûkoo wake na kuitwa jina Lako kama hajivunii wewe, kama anakuona hujielewi.

Anakuona wewe sio shujaa,

Wanawake wanapenda Wanaume mashujaa, Malegend.
Mwanamke unaweza kukosa Pesa lakini Kama Unajina lenye heshima anaweza kukubali kuishi na wéwe na Kutumia.

Àndiko Hili nimeliandika nikilenga kukuhamasisha kijana upambane, onyesha wewe NI Nani hasa, onyesha wewe NI Mwanaume àmbaye Mwanamke yeyote atajivunia wewe.
Usiwe legelege, jina Lako litadharauliwa. Hakuna atakayeliheshimu jina Lako.
Na kama jina Lako haliheshimiwi Basi hata Mkeo na Watoto na kizazi chako hakitaheshimiwa.

Chochote unachofanya kifanye Kwa weledi na Ñguvu zako zote kuhakikisha unajenga heshima.
Hata kama unashona Viatu, Shona Kwa kiwango cha juu, kwako pataitwa Kwa Fulani mshona Viatu mashuhuri. Hiyo NI heshima kûbwa kuliko kuzubaa zubaa.

Wewe ni Mwanaume hakikisha jina Lako unalilinda na kulipa thamani ili Mungu alikuze na watu wakuheshimu.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Hamna lolote. Awe na jina au niwe na jina, it doesn't matter. What matters ni kutimiza wajibu kama wanandoa na wenye familia. Mimi na mke wangu (kwa kadiri kila mmoja wetu anavyojaliwa) tuna 'common fund' na tunatumia hizi fedha kulingana na mahitaji ya familia na personal upkeep na tulifanya hivi kuepuka mmoja kumwomba fedha mwingine kusema: naomba nauli niende kwetu, naomba elfu...niende saluni, naomba kiasi...ninunulie nguo, etc. Sitaki niombwe fedha na mke wangu au mimi nimwonbe fedha. I feel embarrassed kuomba au kuombwa fedha. Of course, kuna tunayoshauriana kuhusiana na mahitaji ya kila mmoja wetu.
Mimi au mke wangu, mmojawapo anaweza kununua vitu vya kutumia nyumbani au kuwanunulia watoto nguo etc. Sisi tulitaka kila mmoja wetu aishi kwa amani na asijione anashindwa kufanya ABC na we are happy with our system, ambayo watoto wakiona mama ndiye amenunua vitu watasema "asante mama" na wakiona baba ndiye kanunua watasema "asante baba" -but the money comes from the common fund. Mimi sina interest na kuwa na jina. Interest yangu ni kutimiza wajibu wangu kama mzazi mwenza na lugha yetu kwa watoto ni "tumenunua ABC kwa ajili yenu." Mashindano ya kuonyeshana nguvu kuliko mwingine sisi hatuna na mara nyingi tunasema "tunaendesha familia yetu 'kijamaa' (kwa maana ya kushirikiana for the common purpose/wellbeing of the family). Kwa umri nilionao mimi (siyo kijana though) sioni sababu ya kuwa na power struggle katika ndoa/familia yetu - watu waseme whatever they can say, I don't care. What I care about is our wellbeing.
 
Mtoa mada:
1. Wanawake ni waongeaji sana na kiasili kabisa mwanamke ni Extrovert au waweza kumwita Sanguine hivyo ni rahisi wao kuingia kwenye jamaii.

2. Wanaume tunakwepa kujulikana sababu tunakwepa majanga mengi yakiwemo madeni na mimba za michepuko. Hivyo kwako kukijulikana kirahisi inakuwa rahisi kuingia mtegoni.

3. Mmiliki wa jengo ni baba ila mwenye nyumba ni mama. Mwanaume muda wote haupo nyumbani.

4. Namaliza kwa mfano huu: Mfano umefika nyumba kwako mke wako hayupo baada ya muda akarudi ukamuuliza ulikuwa wapi? Akajibu
*NILIKUWA KWA BABA ELIZA
au
*NILIKUWA KWA MAMA ELIZA
Hapo jibu gani linaumiza zaidi?
 
Mnaweza kuzaliwa watoto 10 kwenye familia lakini jina la mtoto mmoja likawa linawatambulisha wazazi wenu.kwa mama fulani au baba fulani.

Alafu wanawake wanamuda mwingi nyumbani.usitegemee mama wa jilani anamtuma mtoto wake kwa mkeo.anapo muagiza lazima amwambie nenda nyumba ya mama fulani.

Uliposema mfano wa uraisi hii inategemea na mfumo.ujerumani wana raisi lakini kuna watu hawajui kuwa nchi ya ujerumani ina raisi,wao wanamjua kansela wa ujerumani.irani nipia ina raisi lakini hawi mashughuli.UK waziri mkuu ndio maalufu kuliko king/queen
 
Inategemea na jamii pia, kuna jamii zingine hata baba ashinde nyumbani mama aende kazini bado kutajulikana kwa mama fulani huwa zinaitwa Matrilineal society hizi upande wa kikeni una nguvu kuliko, otherwise wengine ni limbwata

Pia huchangiwa na nani kiongozi wa maendeleo kwenye familia, unaweza ukawa mtafuta pesa mzuri ila mambo za kimaendeleo anaongoza mkeo mfano biashara na kujenga idea zote zinatoka kwa mke na usimamizi hapa wachaga wanaongoza hasa akipata mme ambae sio mchaga

Mimi napingana na hawa wanaochukilia kigezo cha kushinda nyumbani kuwa ndio kinacholeta umaarufu si kweli, jina huletwa na jinsi ulivyojenga mji wako na unavyousimamia, mji(kaya) ya mtu sio sawa na biashara au umaarufu wa kipaji au cheo
 
Maisha ni vita....inawezekana nyumba yako inatambulika kwa jina la mkeo kwa sababu mkeo "aliaga vyema kwao..."


#NEVER GIVE WISDOM TO UNWORTHY AS IT IS UNJUST TO THE KNOWLEDGEABLE [emoji2956][emoji7]
 
Kwa uzi huu umepuyanga machakani sana.

Mi sishindi nyumbani bali nimewacha watoto na mama yao.

Mi unaweza kunikuta nyumbani sio zaidi ya mara 2 kwa mwezi. Naingia usiku natoka usiku labda niwe mgonjwa ndio utnikuta nyumbani mchana.

Hat majirani wengi hawnifahamu kwa sura labda wale mjirani wa muda mrefu sana.

Kwa hali kma hiyo kwangu kunafahamika kama kwa mama Zuwena ambe ni mtoto wangu mwisho. Mtoto wa kwanza na wa pili wanafahmika kwa majina yao ila sio maarufu kama lastborn Zuwena
We jamaa kwani we Ni mwizi unayerudi nyumbani usiku usiku tu
 
Kuna lile kabila fulani lina hiyo tabia, unafanywa mpango kiasi baba unafutika katika uso wa dunia ili jina la mama mwenye nyumba liimarike.
 
Mke wako wako asikuzidi jina, nyumba yako itambulike kwa baba au mzee fulani na siô kwa mama au bibi fulani.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Moja ya dalili kuwa Mwanaume umefeli ni Nyumba yako kutambulika Hapo mtaani Kwa jina la Mkeo.
Utasikia pale Kwa Mama Taikon, au Kwa Bibi Zeituni,
Nyumbani Kwa Mama Richard.

My friend ikifikia sehemu àmbayo NI yako alafu inatajwa Kwa Jina la Mkeo Jua kûna sehemu muhimu na nyeti umeshindwa kama Mwanaume na kama Baba.

Úkiwa kama Mwanaume muwajibikaji na unayejua majukumu yako jina Lako NI Moja ya Jambo nyeti kulilinda na kulikuza.

Siô Sifa nzuri Nyumba yako iitwe Kwa Jina la Mwanamke NI kwamba wewe Huna lolote. Wewe siô kichwa, wewe sio mtawala yàani upoupo.

NI Sawasawa na úwe Rais WA nchi hii alafu nchi jirani na Huko kimataifa Waiite nchi yako Kwa Jina la Makamu wako au Waziri Mkuu. Hiyo kiutawala Moja Kwa moja inaashiria kuwa Rais Hana chake Hapo.

Nyumba yako iitwe Kwa majina yako au ûkoo wenu.
Kwa Mzee Magufuli,
Kwa Mzee Kikwete,
Kwa Mzee Taikon
Kwa Mzee Mwinyi n.k.

Hata familia yako itambulishwe Kwa Jina laki au ubini wako.
Siô familia ya Mama au Bibi Fulani nop. Hiyo siô dalili nzuri kiutawala.

NI dalili ya kuwa haukuwa active enzi za ujana wako.

Moja ya mambo àmbayo Mungu alimuahidi Ibrahim ni kukuza jina lake na alilikuza. Hata Watoto na wajukuu wake Miaka nenda rudi huitwa Watoto na kizazi cha Ibrahim.
Pia hujulikana kama Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo.

Au Mungu wa mababu zetu.
Kitendo cha kukubali Mkeo au Mwanamke akuzidi kete ni kuruhusu Miaka ijayo aitwe Mungu wa Bibi zetu Jambo ambalo kiutawala hasa WA kiroho halipo.

Familia ambazo mama amebeba jina huwaga hazinaga kizazi kirefu Katika mafanikio.

Jina Lako lina thamani. Thamani hiyo lazima Uilinde.
Kiasi kwamba Siku ukiwa haupo Watoto na wajukuu zako wajivunie jina Lako.

Hata Mwanamke hujivunia kuitwa jina la Mwanaume mwenye heshima na legacy Kwa Wakati wake.
Mwanamke Hawezi kubali kubadili jina la ûkoo wake na kuitwa jina Lako kama hajivunii wewe, kama anakuona hujielewi.

Anakuona wewe sio shujaa,

Wanawake wanapenda Wanaume mashujaa, Malegend.
Mwanamke unaweza kukosa Pesa lakini Kama Unajina lenye heshima anaweza kukubali kuishi na wéwe na Kutumia.

Àndiko Hili nimeliandika nikilenga kukuhamasisha kijana upambane, onyesha wewe NI Nani hasa, onyesha wewe NI Mwanaume àmbaye Mwanamke yeyote atajivunia wewe.
Usiwe legelege, jina Lako litadharauliwa. Hakuna atakayeliheshimu jina Lako.
Na kama jina Lako haliheshimiwi Basi hata Mkeo na Watoto na kizazi chako hakitaheshimiwa.

Chochote unachofanya kifanye Kwa weledi na Ñguvu zako zote kuhakikisha unajenga heshima.
Hata kama unashona Viatu, Shona Kwa kiwango cha juu, kwako pataitwa Kwa Fulani mshona Viatu mashuhuri. Hiyo NI heshima kûbwa kuliko kuzubaa zubaa.

Wewe ni Mwanaume hakikisha jina Lako unalilinda na kulipa thamani ili Mungu alikuze na watu wakuheshimu.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Mkuu bandiko zako zitaishi na kudumu miaka nenda rudi.
 
Back
Top Bottom