Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,894
- 1,622
Wapo mkuuKuna wanaume pia wananunaga tu, hata wakipata mtu mchangamfu vipi wala hawanaga bashasha kabisa, yee kichwa chake kinaqaza mipango mikubwa muda wote, anasahau kuna wakat anatakiwa kuenjoy na kufurahia na mke wake hata kwa muda mchache!! Anakuwa kauzu mpaka mama anabaki kucheza na watoto anamwacha tu baba aendelee kujenga maghorofa kichwani kwake! Mwisho wa siku wanandoa wanaanza kuishi ilimradi tu.
Kuna wanaume pia wananunaga tu, hata wakipata mtu mchangamfu vipi wala hawanaga bashasha kabisa, yee kichwa chake kinaqaza mipango mikubwa muda wote, anasahau kuna wakat anatakiwa kuenjoy na kufurahia na mke wake hata kwa muda mchache!! Anakuwa kauzu mpaka mama anabaki kucheza na watoto anamwacha tu baba aendelee kujenga maghorofa kichwani kwake! Mwisho wa siku wanandoa wanaanza kuishi ilimradi tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kama humsisimui acheke nini?
Nimenyoosha mikono juu eti[emoji28][emoji3]
Hakuna namna rafikiNimenyoosha mikono juu eti[emoji28]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] good techniqueKweli mie ukiwa manz yangu nikigundua unanuna kwa dramaz nakutekenya af ukianza cheka nakuchakata [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo muda huo wa kuchangamka na kimliwaza mwanaume anakuwa kauzu, inshort haya mambo haya aisee yanachoshaga sanaMkuu watetea upande mmoja tuu, na wanawake sometimes yawapasa kuwaliwaza na kuwamfulahisha wanaume, anatoka kazini na matress, majukumu yote ya nyumba amebeba yeye.
Go back to your honeymoon and see what happened. Tabia za mke na mme hujengwa kuanzia hapo. Mwanzoni kabisa mwa ndoa haya yakianzishwa na mmojawapo na mwingine akayakubali basi sio rahisi kuyabadilisha.Yaani iko hivi
Ukiwa na mke wako mkiwa wawili hacheki kabisa yaani full kununiana full ukauzu.
Ila sasa wakiwepo washkaji na marafiki zako wa wa kazini au hata mtaani unakuta tabasamu halikauki usoni mwake.
Yaani ni kucheka mwanzo mwisho
Bashasha za hapa na pale hatari yaani hadi unaona aahh.
Sasa wakuu hiki ni nini?
Imekaaje hii.
Pole sana mkuu. Zamani Hakua hivyo?Na experience hicho kitu kwa mkewangu watu wengine anaongea nao vzr tu kwa bashasha lkn kwangu anakua na majibu ya mkato.
Majibu ya busara hayaHampend! angeolewa nae?😅😅😅 Kisirani na mke ni vitu vinavyoenda pamoja kama chupi na kiuno
Umesahau jambo moja kumpa cha asubuhi la sivyo atakupa mwanamke mwenzake.Mkuu ndivyo walivyo hawa viumbe...ukirudi home salimia, kula, oga, lala kesho amka mapema nenda zako kazini.
Kuna m1 alikua ananipikia spaghet tu...yaan mi nna ham ya ugal maharabe kuku yeye anapika hvo vtu vya ajab...sasa jarib kuongea..atakumbushia maovu yooote...Utashangaa hakupikii tena, hafui nguo zako wala unyumba hakupi au ndio ile anakupa ilimradi. Maana haufurahii uwepo wako. Mnaanza oooh wanawake mkishaolewa mnabadilika kumbe wewe ndio umembadilisha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna m1 alikua ananipikia spaghet tu...yaan mi nna ham ya ugal maharabe kuku yeye anapika hvo vtu vya ajab...sasa jarib kuongea..atakumbushia maovu yooote...
Shukuru sana Mungu kupata mwanamama wa aina hiyo, huyo ni certified true lover hawa wengine ingekuwa opposite. Yaani wewe ndiyo anakurusha roho muda wote jinsi anavyofahamiana na kila mwanaume.Hahahah..wanawake ni viumbe wa ajabu snaa..ila mi nimeshawazoea skuhiz huwa nakaa kimya tu....
Kuna sku1 tuko na shemej yenu mitaa ya goba kwenye baa moja inaitwa triple b...sasa wale jamaa wana counter nying nying pale..mi napendaga kaa kaunta ya nyuma hapa kuna dada m1 yuko kaunta hapo ana shape ya ajab..sasa amenizoea flan..bas namwambiaga ukiniona na shemej yako uwe na a
Yaani iko hivi
Ukiwa na mke wako mkiwa wawili hacheki kabisa yaani full kununiana full ukauzu.
Ila sasa wakiwepo washkaji na marafiki zako wa wa kazini au hata mtaani unakuta tabasamu halikauki usoni mwake.
Yaani ni kucheka mwanzo mwisho
Bashasha za hapa na pale hatari yaani hadi unaona aahh.
Sasa wakuu hiki ni nini?
Imekaaje hii.