Mke wangu aliniacha na kwenda kuishi X wake, sasa anataka turudiane

Ameenda mwenyewe , amerudi mwenyewe. Endelea naye.
Your browser is not able to display this video.
 
OFA OFA ina maana gani?
 
Maamuzi yapo kichwani mwako amua ulionalo jema kwako
 
Mzee huyu mwanamke si wa kurudiana naye, ndoa alishaifuta alipoenda kuishi na X wake, achana naye kabisa.
 
Idiot
 

Nini Unapaswa Kufanya?

✅ Mke wako wa zamani hakustahili nafasi ya pili kwa sababu hakujali wewe wala watoto wenu kwa miaka yote hiyo.
✅ Mwanamke uliye naye sasa anaonekana kuwa na mapenzi ya dhati na wewe, amekusaidia sana, na mmejenga familia pamoja.
✅ Usifanye maamuzi kwa huruma au hisia za muda mfupi – angalia nani amekuwa na wewe kwenye shida na nani anakujali sasa.

Uamuzi bora zaidi
Endelea na mwanamke uliye naye sasa, mlinde mtoto wenu, na ujenge maisha imara. Mke wako wa zamani aendelee na maisha yake. Usikubali kuwa chaguo lake la dharura!

 
Kuna watu mna jinsia ya kiume ila ni wanawake na mmebarikiwa upumbavu
 
Sijui kama una akili Timamu.

Kama una akili Timamu rudiana na huyo MALAYA WA KOLONGONI ili AKUUE VIZURI.
 
Yaani Kuna wanaume mabwege sana. Hata aibu huna kuelezea ujinga wako.

Huyo Malaya amekuacha, kaenda kwa x wake, kakuachia watoto wadogo. Sasa anataka kurudi, unaanzaje kumpokea? Ukimpokea anakuua fala wewe.

Uanaume wako unapimwa kwa uwezo wa kumuacha mwanamke mshenzi. Ukimkubali mwanamke mshenzi, hawezi kukuheshimu kamwe maana wanawake hawapendi mwanamme mjinga.
 
"...sasa hivi ana mtoto mmoja na huyo mwanaume ila anakazania kuwa anataka kunirudia. Kusema kweli bado nampenda mke wangu na ndiyo maana nilikua sitaki kudai talaka, nilikua na imani kuwa ipo siku atarudi na kweli karudi"

FVCK YOU!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…