Mke wangu aliniacha na kwenda kuishi X wake, sasa anataka turudiane

Mke wangu aliniacha na kwenda kuishi X wake, sasa anataka turudiane

Mke wangu aliniacha na kwenda Kuishi na X wake sasa anataka turudiane?

Mwaka 2017 nilimfumania mke wangu na X wake, mwanzo niliona meseji baada ya kumbana sana alikubali kuwa alikua na mahusiano na X wake na kuniomba msamaha, lakini baada ya kama wiki mbili hivi niliwakuta sehemu tena wamekaa, ilikua ni kama mtu na mpenzi wake, niliumia sana na nilipojaribu kuongea na mke wangu alinijibu vibaya, alinitukana mbele ya yule mwanaume na kuniambia kuwa hanitaki aliolewa na mimi kwa bahati mbaya.

Niliondoka kwa aibu kwani mimi ndiyo nilienda kufumania lakini mke wangu alikua kanikana mbele ya X wake. Nilirudi nyumbani nikidhani labda mke wangu atarejea lakini hakurudi mpaka baada ya siku tatu, alikuja na kuchukua watoto wetu wawili ambao ni mapacha, wakati huo walikua na miaka miwili.

Nilimuomba sana asiondoke lakini hakujali kabisa, aliniambia kuwa hanitaki na kama nataka aniachie wanangu basi ataniachia. Nilijaribu kuwachukua wanangu wa miaka miwili, kusema kweli niliumia sana kwani walikua wakimlilia Mama yao na mimi niliona kama wanamahitaji kuliko ninavyowahitaji mimi.

Nilimuambia abaki nao na kweli aliondoka nao, lakini baada ya kama wiki moja hivi, huku mimi nikihangaika kwenda nyumbani kwao kujaribu kuongea na ndugu zake ili wanisaidie mke wangu kurudi nyumbani haikua hivyo. Aligoma kurudi nyumbani na kumbe tayari alishanichafua kuwa nilikua nampiga kila siku, nimemtelekezea watoto na sitaki kuhudumia.

Kwa namna alivyokua kanichafua kwa ndugu zake nilishindwa hata kujelezea na kuonge kitu kilichotopkea. Nilirudi nyumbani, lakini baada ya wiki mbili tena nikiwa kazini nilipigiwa simu na majirani kuwa wanangu wamekaa nnje kwangu na mabegi yao.

Nilirudi nyumbani harakaharaka na kukuta mabegi ya watoto pamoja na wanangu wa miaka miwili, kulikua na ujumbe unasema “Lea wanao mimi nina maisha yangu!” nilijaribu kumpigia simu mke wangu lakini namba zake zote zilikua hazipatikani. Sikua na namna zaidi ya kuwahcukua wanangu, niliwalea mwenyewe tangu mwaka huo 2017, sikumsikia mke wangu wala kujua yuko wapi.

Sehemu alipokua akifanya kazi aliacha na hakuna ndugu wala rafiki yake aliyekua tayari kuniambia alipokua. Sababu ya kuja kwako kuomba ushauri ni hivi, kuna mwanamke naishi naye, hatujafunga ndoa bado ila ni kama mke wangu.

Tangu wakati huo mke wangu alikua hajawahi kunitafuta hata kupiga simu kuulizia kama watoto wanaendeleaje. Lakini tangu mwezi huu uanze kamtafuta mwanamke tunayeishi naye, kaanza kumsumbua kuwa aachane na mimi kwani mimi ni mke wake, huyo mwanamke ni mfanyakzi serikalini, kwa nafasi yake akijulikana kama anatembea na mume wa mtu basi itakua shida kwake kazini.

Anamsumbua sana na anataka kurudiana na mimi, ananiambia kuwa sitakua na amani na yupo tayari kufanya kitu chochote ili rurudiane. Nilikuja kugundua kuwa kumbe yule X wake alikua kaoa, alimdanganya kuwa kagombana na mke wake kumbe haikua kweli, alienda kumpangishia nyumba wakawa wanaishi pamoja kama mke na mume kumbe mke wake alikua kikazi mkoani.

Pia alimuachisha kazi na kuwa Mama wa nyumbani, sasa hivi ana mtoto mmoja na huyo mwanaume ila anakazania kuwa anataka kunirudia. Kusema kweli bado nampenda mke wangu na ndiyo maana nilikua sitaki kudai talaka, nilikua na imani kuwa ipo siku atarudi na kweli karudi. Shida inakuja kwa huyu mwanamke ambaye naishi naye, ananipenda sana na kanifanyia mambo mengi sana.

Kuna mambo mengi kichwani, hivi nikimuacha atajisikiaje, amenisaidia sana, kuna kipindi nilikua kama nimechanganyikiwa baada ya kuachwa na mke wangu, nikapoteza mpaka kazi, akahangaika na mimi bila kuchoka mpaka nimekua sawa. Nashindwa kuelewa nifanye nini ili nisimuumize, mimi bado ni mume wa mtu, hata kama mke wangu alinikosea lakini hatujawahi kuachana.

Nyumba tunayoishi sasa hivi nimejenga na huyu mwanamke, ingawa kiwanja alinikuta nacho lakini kwa kiasi kikubwa kama asilimia 90 ni pesa zake. Hiki kiwanja nilinunua kipindi nikiwa na mke wangu, siwezi kumuachia hii nyumba sasa nawaza nitamtoaje hapa.

Nina mtoto naye mmoja na nampenda sana mwanangu, yaani nimechanganyikiwa sijui nifanye nini? Vipi kuhusu mke wangu je ni kweli atakua kajifunza ananipenda au ni kwakua kaachwa na X wake, naomba ushauri kwani naona kama maisha yangu yamesimama, nashindwa kujua ni kwa namna gani naweza kuendelea bila kumuumiza yoyote!

NB: OFA! OFA! OFA! Kwa Wanaume Ambao Wanasumbuliwa Na Mahusaiano
Mbona kisa kizima hiki namna ya usimuliaji wake ni kama siyo kisa chako, maana hakigusi nafsi yako?

Yaani umecopy na kupest sehemu, hasa kwenye mitandao.

Vyovyote iwevyo, tukio kama hilo halijawahi kumuacha salama mwanaume anayeachwa na kurudiwa.
 
Mbona kisa kizima hiki namna ya usimuliaji wake ni kama siyo kisa chako, maana hakigusi nafsi yako?

Yaani umecopy na kupest sehemu, hasa kwenye mitandao.

Vyovyote iwevyo, tukio kama hilo halijawahi kumuacha salama mwanaume anayeachwa na kurudiwa.
Upo sahih
 
Mke wangu aliniacha na kwenda Kuishi na X wake sasa anataka turudiane?

Mwaka 2017 nilimfumania mke wangu na X wake, mwanzo niliona meseji baada ya kumbana sana alikubali kuwa alikua na mahusiano na X wake na kuniomba msamaha, lakini baada ya kama wiki mbili hivi niliwakuta sehemu tena wamekaa, ilikua ni kama mtu na mpenzi wake, niliumia sana na nilipojaribu kuongea na mke wangu alinijibu vibaya, alinitukana mbele ya yule mwanaume na kuniambia kuwa hanitaki aliolewa na mimi kwa bahati mbaya.

Niliondoka kwa aibu kwani mimi ndiyo nilienda kufumania lakini mke wangu alikua kanikana mbele ya X wake. Nilirudi nyumbani nikidhani labda mke wangu atarejea lakini hakurudi mpaka baada ya siku tatu, alikuja na kuchukua watoto wetu wawili ambao ni mapacha, wakati huo walikua na miaka miwili.

Nilimuomba sana asiondoke lakini hakujali kabisa, aliniambia kuwa hanitaki na kama nataka aniachie wanangu basi ataniachia. Nilijaribu kuwachukua wanangu wa miaka miwili, kusema kweli niliumia sana kwani walikua wakimlilia Mama yao na mimi niliona kama wanamahitaji kuliko ninavyowahitaji mimi.

Nilimuambia abaki nao na kweli aliondoka nao, lakini baada ya kama wiki moja hivi, huku mimi nikihangaika kwenda nyumbani kwao kujaribu kuongea na ndugu zake ili wanisaidie mke wangu kurudi nyumbani haikua hivyo. Aligoma kurudi nyumbani na kumbe tayari alishanichafua kuwa nilikua nampiga kila siku, nimemtelekezea watoto na sitaki kuhudumia.

Kwa namna alivyokua kanichafua kwa ndugu zake nilishindwa hata kujelezea na kuonge kitu kilichotopkea. Nilirudi nyumbani, lakini baada ya wiki mbili tena nikiwa kazini nilipigiwa simu na majirani kuwa wanangu wamekaa nnje kwangu na mabegi yao.

Nilirudi nyumbani harakaharaka na kukuta mabegi ya watoto pamoja na wanangu wa miaka miwili, kulikua na ujumbe unasema “Lea wanao mimi nina maisha yangu!” nilijaribu kumpigia simu mke wangu lakini namba zake zote zilikua hazipatikani. Sikua na namna zaidi ya kuwahcukua wanangu, niliwalea mwenyewe tangu mwaka huo 2017, sikumsikia mke wangu wala kujua yuko wapi.

Sehemu alipokua akifanya kazi aliacha na hakuna ndugu wala rafiki yake aliyekua tayari kuniambia alipokua. Sababu ya kuja kwako kuomba ushauri ni hivi, kuna mwanamke naishi naye, hatujafunga ndoa bado ila ni kama mke wangu.

Tangu wakati huo mke wangu alikua hajawahi kunitafuta hata kupiga simu kuulizia kama watoto wanaendeleaje. Lakini tangu mwezi huu uanze kamtafuta mwanamke tunayeishi naye, kaanza kumsumbua kuwa aachane na mimi kwani mimi ni mke wake, huyo mwanamke ni mfanyakzi serikalini, kwa nafasi yake akijulikana kama anatembea na mume wa mtu basi itakua shida kwake kazini.

Anamsumbua sana na anataka kurudiana na mimi, ananiambia kuwa sitakua na amani na yupo tayari kufanya kitu chochote ili rurudiane. Nilikuja kugundua kuwa kumbe yule X wake alikua kaoa, alimdanganya kuwa kagombana na mke wake kumbe haikua kweli, alienda kumpangishia nyumba wakawa wanaishi pamoja kama mke na mume kumbe mke wake alikua kikazi mkoani.

Pia alimuachisha kazi na kuwa Mama wa nyumbani, sasa hivi ana mtoto mmoja na huyo mwanaume ila anakazania kuwa anataka kunirudia. Kusema kweli bado nampenda mke wangu na ndiyo maana nilikua sitaki kudai talaka, nilikua na imani kuwa ipo siku atarudi na kweli karudi. Shida inakuja kwa huyu mwanamke ambaye naishi naye, ananipenda sana na kanifanyia mambo mengi sana.

Kuna mambo mengi kichwani, hivi nikimuacha atajisikiaje, amenisaidia sana, kuna kipindi nilikua kama nimechanganyikiwa baada ya kuachwa na mke wangu, nikapoteza mpaka kazi, akahangaika na mimi bila kuchoka mpaka nimekua sawa. Nashindwa kuelewa nifanye nini ili nisimuumize, mimi bado ni mume wa mtu, hata kama mke wangu alinikosea lakini hatujawahi kuachana.

Nyumba tunayoishi sasa hivi nimejenga na huyu mwanamke, ingawa kiwanja alinikuta nacho lakini kwa kiasi kikubwa kama asilimia 90 ni pesa zake. Hiki kiwanja nilinunua kipindi nikiwa na mke wangu, siwezi kumuachia hii nyumba sasa nawaza nitamtoaje hapa.

Nina mtoto naye mmoja na nampenda sana mwanangu, yaani nimechanganyikiwa sijui nifanye nini? Vipi kuhusu mke wangu je ni kweli atakua kajifunza ananipenda au ni kwakua kaachwa na X wake, naomba ushauri kwani naona kama maisha yangu yamesimama, nashindwa kujua ni kwa namna gani naweza kuendelea bila kumuumiza yoyote!

NB: OFA! OFA! OFA! Kwa Wanaume Ambao Wanasumbuliwa Na Mahusaiano
KAZI MBILI MUHIMU ZA WANAWAKE NI
1. KUKUTULIZA UKIWA UMECHANGANYIKIWA.
2. KUKUCHANGANYA UKIWA UMETULIA.
 
Kukutuliza ukiwawa umechanganyikiwa

Kukuchanya ukiwa umetulia

Ahahaha jaman wanawake
 
Ni makosa makubwa mwanaume kumpenda mwanamke, mwanaume Una uwezo wa kureason na kutoendeshwa na Hsia , mwanamke huo uwezo Hana , hvyo ukimpenda ukampa Hsia zako lazima akuumize ..!! Mwanamke awe na Hsia na ww na ww kazi yako ni kumjali kama hyo haipo terminate mapema Sana !!! Niseme Tu kuwa ulikuwa mjinga kufanya yote uliyoyafanya na bado unarudia ujinga huo huo , hsia za mwanamke ndo ubongo wake na ndo akili yake na huwa hazidanganyi kama hana hsia na ww wala usihangaike!!! achana nae na hsia zao huwa zinapenda kumwadhibu vikali mwanaume anayemngangania japo yeye hampendi

Ww sio mwanaume wa ndoto zake anarudi kwako kwa sababu wew ni mjinga na dumping place kwake pale mambo yanapomuendea isivyo …!! Mungu hakuwa fala kusema ishi na mwanamke kwa akili, ila hakumwambia mwanamke aishi na mwanaume kwa akili
Acha roho mbaya mkuu huyo mwanamke amejifunza kutokana na makosa naamini amejifunza Dunia jinsi ilivyo.....
 
Vijana tunasubiri mlejesho wa kauli za kiume sio kujiumauma mdomo nyoosha maelezo Kisha tulipue booomu
 
Mke wangu aliniacha na kwenda Kuishi na X wake sasa anataka turudiane?

Mwaka 2017 nilimfumania mke wangu na X wake, mwanzo niliona meseji baada ya kumbana sana alikubali kuwa alikua na mahusiano na X wake na kuniomba msamaha, lakini baada ya kama wiki mbili hivi niliwakuta sehemu tena wamekaa, ilikua ni kama mtu na mpenzi wake, niliumia sana na nilipojaribu kuongea na mke wangu alinijibu vibaya, alinitukana mbele ya yule mwanaume na kuniambia kuwa hanitaki aliolewa na mimi kwa bahati mbaya.

Niliondoka kwa aibu kwani mimi ndiyo nilienda kufumania lakini mke wangu alikua kanikana mbele ya X wake. Nilirudi nyumbani nikidhani labda mke wangu atarejea lakini hakurudi mpaka baada ya siku tatu, alikuja na kuchukua watoto wetu wawili ambao ni mapacha, wakati huo walikua na miaka miwili.

Nilimuomba sana asiondoke lakini hakujali kabisa, aliniambia kuwa hanitaki na kama nataka aniachie wanangu basi ataniachia. Nilijaribu kuwachukua wanangu wa miaka miwili, kusema kweli niliumia sana kwani walikua wakimlilia Mama yao na mimi niliona kama wanamahitaji kuliko ninavyowahitaji mimi.

Nilimuambia abaki nao na kweli aliondoka nao, lakini baada ya kama wiki moja hivi, huku mimi nikihangaika kwenda nyumbani kwao kujaribu kuongea na ndugu zake ili wanisaidie mke wangu kurudi nyumbani haikua hivyo. Aligoma kurudi nyumbani na kumbe tayari alishanichafua kuwa nilikua nampiga kila siku, nimemtelekezea watoto na sitaki kuhudumia.

Kwa namna alivyokua kanichafua kwa ndugu zake nilishindwa hata kujelezea na kuonge kitu kilichotopkea. Nilirudi nyumbani, lakini baada ya wiki mbili tena nikiwa kazini nilipigiwa simu na majirani kuwa wanangu wamekaa nnje kwangu na mabegi yao.

Nilirudi nyumbani harakaharaka na kukuta mabegi ya watoto pamoja na wanangu wa miaka miwili, kulikua na ujumbe unasema “Lea wanao mimi nina maisha yangu!” nilijaribu kumpigia simu mke wangu lakini namba zake zote zilikua hazipatikani. Sikua na namna zaidi ya kuwahcukua wanangu, niliwalea mwenyewe tangu mwaka huo 2017, sikumsikia mke wangu wala kujua yuko wapi.

Sehemu alipokua akifanya kazi aliacha na hakuna ndugu wala rafiki yake aliyekua tayari kuniambia alipokua. Sababu ya kuja kwako kuomba ushauri ni hivi, kuna mwanamke naishi naye, hatujafunga ndoa bado ila ni kama mke wangu.

Tangu wakati huo mke wangu alikua hajawahi kunitafuta hata kupiga simu kuulizia kama watoto wanaendeleaje. Lakini tangu mwezi huu uanze kamtafuta mwanamke tunayeishi naye, kaanza kumsumbua kuwa aachane na mimi kwani mimi ni mke wake, huyo mwanamke ni mfanyakzi serikalini, kwa nafasi yake akijulikana kama anatembea na mume wa mtu basi itakua shida kwake kazini.

Anamsumbua sana na anataka kurudiana na mimi, ananiambia kuwa sitakua na amani na yupo tayari kufanya kitu chochote ili rurudiane. Nilikuja kugundua kuwa kumbe yule X wake alikua kaoa, alimdanganya kuwa kagombana na mke wake kumbe haikua kweli, alienda kumpangishia nyumba wakawa wanaishi pamoja kama mke na mume kumbe mke wake alikua kikazi mkoani.

Pia alimuachisha kazi na kuwa Mama wa nyumbani, sasa hivi ana mtoto mmoja na huyo mwanaume ila anakazania kuwa anataka kunirudia. Kusema kweli bado nampenda mke wangu na ndiyo maana nilikua sitaki kudai talaka, nilikua na imani kuwa ipo siku atarudi na kweli karudi. Shida inakuja kwa huyu mwanamke ambaye naishi naye, ananipenda sana na kanifanyia mambo mengi sana.

Kuna mambo mengi kichwani, hivi nikimuacha atajisikiaje, amenisaidia sana, kuna kipindi nilikua kama nimechanganyikiwa baada ya kuachwa na mke wangu, nikapoteza mpaka kazi, akahangaika na mimi bila kuchoka mpaka nimekua sawa. Nashindwa kuelewa nifanye nini ili nisimuumize, mimi bado ni mume wa mtu, hata kama mke wangu alinikosea lakini hatujawahi kuachana.

Nyumba tunayoishi sasa hivi nimejenga na huyu mwanamke, ingawa kiwanja alinikuta nacho lakini kwa kiasi kikubwa kama asilimia 90 ni pesa zake. Hiki kiwanja nilinunua kipindi nikiwa na mke wangu, siwezi kumuachia hii nyumba sasa nawaza nitamtoaje hapa.

Nina mtoto naye mmoja na nampenda sana mwanangu, yaani nimechanganyikiwa sijui nifanye nini? Vipi kuhusu mke wangu je ni kweli atakua kajifunza ananipenda au ni kwakua kaachwa na X wake, naomba ushauri kwani naona kama maisha yangu yamesimama, nashindwa kujua ni kwa namna gani naweza kuendelea bila kumuumiza yoyote!

NB: OFA! OFA! OFA! Kwa Wanaume Ambao Wanasumbuliwa Na Mahusaiano
Yaani Hii ni Chai au story ya kwl....maana mbona mambo yanaeleweka hapo hakuna kurudiana na mtu huyo
 
Vijana tunasubiri mlejesho wa kauli za kiume sio kujiumauma mdomo nyoosha maelezo Kisha tulipue booomu
 
Hivu hizi habar za wanawake kuondoka kwa waume zao mbina kama zote zina fanana na wote huwa wanarudi? Za kweli au zinatengenezwa? Yan kwann huwa wanarudi hawabaki huko huko na kuendelea na maisha yao ya furaha na amani??
Inawezekana huko alipoenda mambo yameenda mrama,hivo akaona arudishw majeshi alipotoka ambapo napo itategemea anaweza akaondoka tenah sababu alipotoka pana unafuu na hivo hivo mzunguko unaendelea mpaka Menopause inapofika wanatulia tuliiiiiiiiiii
 
Hivu hizi habar za wanawake kuondoka kwa waume zao mbina kama zote zina fanana na wote huwa wanarudi? Za kweli au zinatengenezwa? Yan kwann huwa wanarudi hawabaki huko huko na kuendelea na maisha yao ya furaha na amani??
Wanaume wanaakiri sana.

Kama alikudanganaya akakutoa kwa Mume wako, ukakubali, Anakushusha viwango, Siku akimaliza kukutumia lazima akuache.
 
Kuna mahali umesema ulichanganyikiwa mpaka ukaacha kazi. Lakini kwa mtazamo wangu ni bado umechanganyikiwa hivyo Nenda Milembe.
 
Inawezekana huko alipoenda mambo yameenda mrama,hivo akaona arudishw majeshi alipotoka ambapo napo itategemea anaweza akaondoka tenah sababu alipotoka pana unafuu na hivo hivo mzunguko unaendelea mpaka Menopause inapofika wanatulia tuliiiiiiiiiii
Matatizo yakiwakuta ndiyo wanaona thamn ya walipotoka wanawake wanatupa wakat mgumu
 
Mke wangu aliniacha na kwenda Kuishi na X wake sasa anataka turudiane?

Mwaka 2017 nilimfumania mke wangu na X wake, mwanzo niliona meseji baada ya kumbana sana alikubali kuwa alikua na mahusiano na X wake na kuniomba msamaha, lakini baada ya kama wiki mbili hivi niliwakuta sehemu tena wamekaa, ilikua ni kama mtu na mpenzi wake, niliumia sana na nilipojaribu kuongea na mke wangu alinijibu vibaya, alinitukana mbele ya yule mwanaume na kuniambia kuwa hanitaki aliolewa na mimi kwa bahati mbaya.

Niliondoka kwa aibu kwani mimi ndiyo nilienda kufumania lakini mke wangu alikua kanikana mbele ya X wake. Nilirudi nyumbani nikidhani labda mke wangu atarejea lakini hakurudi mpaka baada ya siku tatu, alikuja na kuchukua watoto wetu wawili ambao ni mapacha, wakati huo walikua na miaka miwili.

Nilimuomba sana asiondoke lakini hakujali kabisa, aliniambia kuwa hanitaki na kama nataka aniachie wanangu basi ataniachia. Nilijaribu kuwachukua wanangu wa miaka miwili, kusema kweli niliumia sana kwani walikua wakimlilia Mama yao na mimi niliona kama wanamahitaji kuliko ninavyowahitaji mimi.

Nilimuambia abaki nao na kweli aliondoka nao, lakini baada ya kama wiki moja hivi, huku mimi nikihangaika kwenda nyumbani kwao kujaribu kuongea na ndugu zake ili wanisaidie mke wangu kurudi nyumbani haikua hivyo. Aligoma kurudi nyumbani na kumbe tayari alishanichafua kuwa nilikua nampiga kila siku, nimemtelekezea watoto na sitaki kuhudumia.

Kwa namna alivyokua kanichafua kwa ndugu zake nilishindwa hata kujelezea na kuonge kitu kilichotopkea. Nilirudi nyumbani, lakini baada ya wiki mbili tena nikiwa kazini nilipigiwa simu na majirani kuwa wanangu wamekaa nnje kwangu na mabegi yao.

Nilirudi nyumbani harakaharaka na kukuta mabegi ya watoto pamoja na wanangu wa miaka miwili, kulikua na ujumbe unasema “Lea wanao mimi nina maisha yangu!” nilijaribu kumpigia simu mke wangu lakini namba zake zote zilikua hazipatikani. Sikua na namna zaidi ya kuwahcukua wanangu, niliwalea mwenyewe tangu mwaka huo 2017, sikumsikia mke wangu wala kujua yuko wapi.

Sehemu alipokua akifanya kazi aliacha na hakuna ndugu wala rafiki yake aliyekua tayari kuniambia alipokua. Sababu ya kuja kwako kuomba ushauri ni hivi, kuna mwanamke naishi naye, hatujafunga ndoa bado ila ni kama mke wangu.

Tangu wakati huo mke wangu alikua hajawahi kunitafuta hata kupiga simu kuulizia kama watoto wanaendeleaje. Lakini tangu mwezi huu uanze kamtafuta mwanamke tunayeishi naye, kaanza kumsumbua kuwa aachane na mimi kwani mimi ni mke wake, huyo mwanamke ni mfanyakzi serikalini, kwa nafasi yake akijulikana kama anatembea na mume wa mtu basi itakua shida kwake kazini.

Anamsumbua sana na anataka kurudiana na mimi, ananiambia kuwa sitakua na amani na yupo tayari kufanya kitu chochote ili rurudiane. Nilikuja kugundua kuwa kumbe yule X wake alikua kaoa, alimdanganya kuwa kagombana na mke wake kumbe haikua kweli, alienda kumpangishia nyumba wakawa wanaishi pamoja kama mke na mume kumbe mke wake alikua kikazi mkoani.

Pia alimuachisha kazi na kuwa Mama wa nyumbani, sasa hivi ana mtoto mmoja na huyo mwanaume ila anakazania kuwa anataka kunirudia. Kusema kweli bado nampenda mke wangu na ndiyo maana nilikua sitaki kudai talaka, nilikua na imani kuwa ipo siku atarudi na kweli karudi. Shida inakuja kwa huyu mwanamke ambaye naishi naye, ananipenda sana na kanifanyia mambo mengi sana.

Kuna mambo mengi kichwani, hivi nikimuacha atajisikiaje, amenisaidia sana, kuna kipindi nilikua kama nimechanganyikiwa baada ya kuachwa na mke wangu, nikapoteza mpaka kazi, akahangaika na mimi bila kuchoka mpaka nimekua sawa. Nashindwa kuelewa nifanye nini ili nisimuumize, mimi bado ni mume wa mtu, hata kama mke wangu alinikosea lakini hatujawahi kuachana.

Nyumba tunayoishi sasa hivi nimejenga na huyu mwanamke, ingawa kiwanja alinikuta nacho lakini kwa kiasi kikubwa kama asilimia 90 ni pesa zake. Hiki kiwanja nilinunua kipindi nikiwa na mke wangu, siwezi kumuachia hii nyumba sasa nawaza nitamtoaje hapa.

Nina mtoto naye mmoja na nampenda sana mwanangu, yaani nimechanganyikiwa sijui nifanye nini? Vipi kuhusu mke wangu je ni kweli atakua kajifunza ananipenda au ni kwakua kaachwa na X wake, naomba ushauri kwani naona kama maisha yangu yamesimama, nashindwa kujua ni kwa namna gani naweza kuendelea bila kumuumiza yoyote!

NB: OFA! OFA! OFA! Kwa Wanaume Ambao Wanasumbuliwa Na Mahusaiano
Yule ni X wake kama ulivyo wewe.Nyote ni ma x wake, rudiana nae tu.Anawapanga kwa mafungu mwana wane!!
 
Kwa yote uloeleza hapa, Bado unathubutu kusema UMECHANGANYIKIWA...!?

Basi wewe ni sawa na Kiazi Mbatata....!

Nyie ndo mmefanya hii Dunia iwe ni Uwanja wa Fujo.
 
Yaani ungekuwa karibu ningekuzagamua na makofi ya masikio hadi damu zikutoke upate akili punguani mmoja wee.
Usijimalize kuchangia. Hii haiwezi kuwa kweli.
Hakuna watu wajinga wa mfano wa mleta mada.
 
Back
Top Bottom