Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanarudi kwasababu hao wanaume wao wanawapokea tena. Kama huyu ndugu yenu anashangaz sanaHivu hizi habar za wanawake kuondoka kwa waume zao mbina kama zote zina fanana na wote huwa wanarudi? Za kweli au zinatengenezwa? Yan kwann huwa wanarudi hawabaki huko huko na kuendelea na maisha yao ya furaha na amani??
Kama ni kweli uliyoandika hapa,basi wewe ni wazi kwamba HUNA AKILI,au AKILI YAKO Haina AKILIMke wangu aliniacha na kwenda Kuishi na X wake sasa anataka turudiane?
Mwaka 2017 nilimfumania mke wangu na X wake, mwanzo niliona meseji baada ya kumbana sana alikubali kuwa alikua na mahusiano na X wake na kuniomba msamaha, lakini baada ya kama wiki mbili hivi niliwakuta sehemu tena wamekaa, ilikua ni kama mtu na mpenzi wake, niliumia sana na nilipojaribu kuongea na mke wangu alinijibu vibaya, alinitukana mbele ya yule mwanaume na kuniambia kuwa hanitaki aliolewa na mimi kwa bahati mbaya.
Niliondoka kwa aibu kwani mimi ndiyo nilienda kufumania lakini mke wangu alikua kanikana mbele ya X wake. Nilirudi nyumbani nikidhani labda mke wangu atarejea lakini hakurudi mpaka baada ya siku tatu, alikuja na kuchukua watoto wetu wawili ambao ni mapacha, wakati huo walikua na miaka miwili.
Nilimuomba sana asiondoke lakini hakujali kabisa, aliniambia kuwa hanitaki na kama nataka aniachie wanangu basi ataniachia. Nilijaribu kuwachukua wanangu wa miaka miwili, kusema kweli niliumia sana kwani walikua wakimlilia Mama yao na mimi niliona kama wanamahitaji kuliko ninavyowahitaji mimi.
Nilimuambia abaki nao na kweli aliondoka nao, lakini baada ya kama wiki moja hivi, huku mimi nikihangaika kwenda nyumbani kwao kujaribu kuongea na ndugu zake ili wanisaidie mke wangu kurudi nyumbani haikua hivyo. Aligoma kurudi nyumbani na kumbe tayari alishanichafua kuwa nilikua nampiga kila siku, nimemtelekezea watoto na sitaki kuhudumia.
Kwa namna alivyokua kanichafua kwa ndugu zake nilishindwa hata kujelezea na kuonge kitu kilichotopkea. Nilirudi nyumbani, lakini baada ya wiki mbili tena nikiwa kazini nilipigiwa simu na majirani kuwa wanangu wamekaa nnje kwangu na mabegi yao.
Nilirudi nyumbani harakaharaka na kukuta mabegi ya watoto pamoja na wanangu wa miaka miwili, kulikua na ujumbe unasema “Lea wanao mimi nina maisha yangu!” nilijaribu kumpigia simu mke wangu lakini namba zake zote zilikua hazipatikani. Sikua na namna zaidi ya kuwahcukua wanangu, niliwalea mwenyewe tangu mwaka huo 2017, sikumsikia mke wangu wala kujua yuko wapi.
Sehemu alipokua akifanya kazi aliacha na hakuna ndugu wala rafiki yake aliyekua tayari kuniambia alipokua. Sababu ya kuja kwako kuomba ushauri ni hivi, kuna mwanamke naishi naye, hatujafunga ndoa bado ila ni kama mke wangu.
Tangu wakati huo mke wangu alikua hajawahi kunitafuta hata kupiga simu kuulizia kama watoto wanaendeleaje. Lakini tangu mwezi huu uanze kamtafuta mwanamke tunayeishi naye, kaanza kumsumbua kuwa aachane na mimi kwani mimi ni mke wake, huyo mwanamke ni mfanyakzi serikalini, kwa nafasi yake akijulikana kama anatembea na mume wa mtu basi itakua shida kwake kazini.
Anamsumbua sana na anataka kurudiana na mimi, ananiambia kuwa sitakua na amani na yupo tayari kufanya kitu chochote ili rurudiane. Nilikuja kugundua kuwa kumbe yule X wake alikua kaoa, alimdanganya kuwa kagombana na mke wake kumbe haikua kweli, alienda kumpangishia nyumba wakawa wanaishi pamoja kama mke na mume kumbe mke wake alikua kikazi mkoani.
Pia alimuachisha kazi na kuwa Mama wa nyumbani, sasa hivi ana mtoto mmoja na huyo mwanaume ila anakazania kuwa anataka kunirudia. Kusema kweli bado nampenda mke wangu na ndiyo maana nilikua sitaki kudai talaka, nilikua na imani kuwa ipo siku atarudi na kweli karudi. Shida inakuja kwa huyu mwanamke ambaye naishi naye, ananipenda sana na kanifanyia mambo mengi sana.
Kuna mambo mengi kichwani, hivi nikimuacha atajisikiaje, amenisaidia sana, kuna kipindi nilikua kama nimechanganyikiwa baada ya kuachwa na mke wangu, nikapoteza mpaka kazi, akahangaika na mimi bila kuchoka mpaka nimekua sawa. Nashindwa kuelewa nifanye nini ili nisimuumize, mimi bado ni mume wa mtu, hata kama mke wangu alinikosea lakini hatujawahi kuachana.
Nyumba tunayoishi sasa hivi nimejenga na huyu mwanamke, ingawa kiwanja alinikuta nacho lakini kwa kiasi kikubwa kama asilimia 90 ni pesa zake. Hiki kiwanja nilinunua kipindi nikiwa na mke wangu, siwezi kumuachia hii nyumba sasa nawaza nitamtoaje hapa.
Nina mtoto naye mmoja na nampenda sana mwanangu, yaani nimechanganyikiwa sijui nifanye nini? Vipi kuhusu mke wangu je ni kweli atakua kajifunza ananipenda au ni kwakua kaachwa na X wake, naomba ushauri kwani naona kama maisha yangu yamesimama, nashindwa kujua ni kwa namna gani naweza kuendelea bila kumuumiza yoyote!
NB: OFA! OFA! OFA! Kwa Wanaume Ambao Wanasumbuliwa Na Mahusaiano
Kabisaaa yan sijawah kuona fala kama huyu toka dunia ianze, huyu jamaa ni bwege kabisa ndio mana katombewa mke wake mpaka wamemzalisha na bado anaona mwanamke anampenda. Ngoja kumwambia "We bwege amka ndotoni ni 2025, saivi anakuja kukuchomeka mwiko wa matakoni huko ndio utaelewa huyo mwanamke shetani , jamaa umerogwa sijui, pumbavu kabisa "Fala kabisa mbwaa weeee.
Nyie ndio mnatakiwa kupigwa risasi
Stupid kabisa hili jamaa, huyu ni mbuzi sio binadamuHivi wewe ni mwanaume au mvulana?
Kusema kweli bado nampenda mke wangu na ndiyo maana nilikua sitaki kudai talaka,
Nipede mimi hahahTupende jinsia gani mkuu?
Kama alifanya mkiwa mnajitafuta hashindwi kuweka sumu uache mali zote amiliki yeye, tafakari chukua hatua shoga yangu, huyo kishazoea test za dyudyu mbalimbaliMke wangu aliniacha na kwenda Kuishi na X wake sasa anataka turudiane?
Mwaka 2017 nilimfumania mke wangu na X wake, mwanzo niliona meseji baada ya kumbana sana alikubali kuwa alikua na mahusiano na X wake na kuniomba msamaha, lakini baada ya kama wiki mbili hivi niliwakuta sehemu tena wamekaa, ilikua ni kama mtu na mpenzi wake, niliumia sana na nilipojaribu kuongea na mke wangu alinijibu vibaya, alinitukana mbele ya yule mwanaume na kuniambia kuwa hanitaki aliolewa na mimi kwa bahati mbaya.
Niliondoka kwa aibu kwani mimi ndiyo nilienda kufumania lakini mke wangu alikua kanikana mbele ya X wake. Nilirudi nyumbani nikidhani labda mke wangu atarejea lakini hakurudi mpaka baada ya siku tatu, alikuja na kuchukua watoto wetu wawili ambao ni mapacha, wakati huo walikua na miaka miwili.
Nilimuomba sana asiondoke lakini hakujali kabisa, aliniambia kuwa hanitaki na kama nataka aniachie wanangu basi ataniachia. Nilijaribu kuwachukua wanangu wa miaka miwili, kusema kweli niliumia sana kwani walikua wakimlilia Mama yao na mimi niliona kama wanamahitaji kuliko ninavyowahitaji mimi.
Nilimuambia abaki nao na kweli aliondoka nao, lakini baada ya kama wiki moja hivi, huku mimi nikihangaika kwenda nyumbani kwao kujaribu kuongea na ndugu zake ili wanisaidie mke wangu kurudi nyumbani haikua hivyo. Aligoma kurudi nyumbani na kumbe tayari alishanichafua kuwa nilikua nampiga kila siku, nimemtelekezea watoto na sitaki kuhudumia.
Kwa namna alivyokua kanichafua kwa ndugu zake nilishindwa hata kujelezea na kuonge kitu kilichotopkea. Nilirudi nyumbani, lakini baada ya wiki mbili tena nikiwa kazini nilipigiwa simu na majirani kuwa wanangu wamekaa nnje kwangu na mabegi yao.
Nilirudi nyumbani harakaharaka na kukuta mabegi ya watoto pamoja na wanangu wa miaka miwili, kulikua na ujumbe unasema “Lea wanao mimi nina maisha yangu!” nilijaribu kumpigia simu mke wangu lakini namba zake zote zilikua hazipatikani. Sikua na namna zaidi ya kuwahcukua wanangu, niliwalea mwenyewe tangu mwaka huo 2017, sikumsikia mke wangu wala kujua yuko wapi.
Sehemu alipokua akifanya kazi aliacha na hakuna ndugu wala rafiki yake aliyekua tayari kuniambia alipokua. Sababu ya kuja kwako kuomba ushauri ni hivi, kuna mwanamke naishi naye, hatujafunga ndoa bado ila ni kama mke wangu.
Tangu wakati huo mke wangu alikua hajawahi kunitafuta hata kupiga simu kuulizia kama watoto wanaendeleaje. Lakini tangu mwezi huu uanze kamtafuta mwanamke tunayeishi naye, kaanza kumsumbua kuwa aachane na mimi kwani mimi ni mke wake, huyo mwanamke ni mfanyakzi serikalini, kwa nafasi yake akijulikana kama anatembea na mume wa mtu basi itakua shida kwake kazini.
Anamsumbua sana na anataka kurudiana na mimi, ananiambia kuwa sitakua na amani na yupo tayari kufanya kitu chochote ili rurudiane. Nilikuja kugundua kuwa kumbe yule X wake alikua kaoa, alimdanganya kuwa kagombana na mke wake kumbe haikua kweli, alienda kumpangishia nyumba wakawa wanaishi pamoja kama mke na mume kumbe mke wake alikua kikazi mkoani.
Pia alimuachisha kazi na kuwa Mama wa nyumbani, sasa hivi ana mtoto mmoja na huyo mwanaume ila anakazania kuwa anataka kunirudia. Kusema kweli bado nampenda mke wangu na ndiyo maana nilikua sitaki kudai talaka, nilikua na imani kuwa ipo siku atarudi na kweli karudi. Shida inakuja kwa huyu mwanamke ambaye naishi naye, ananipenda sana na kanifanyia mambo mengi sana.
Kuna mambo mengi kichwani, hivi nikimuacha atajisikiaje, amenisaidia sana, kuna kipindi nilikua kama nimechanganyikiwa baada ya kuachwa na mke wangu, nikapoteza mpaka kazi, akahangaika na mimi bila kuchoka mpaka nimekua sawa. Nashindwa kuelewa nifanye nini ili nisimuumize, mimi bado ni mume wa mtu, hata kama mke wangu alinikosea lakini hatujawahi kuachana.
Nyumba tunayoishi sasa hivi nimejenga na huyu mwanamke, ingawa kiwanja alinikuta nacho lakini kwa kiasi kikubwa kama asilimia 90 ni pesa zake. Hiki kiwanja nilinunua kipindi nikiwa na mke wangu, siwezi kumuachia hii nyumba sasa nawaza nitamtoaje hapa.
Nina mtoto naye mmoja na nampenda sana mwanangu, yaani nimechanganyikiwa sijui nifanye nini? Vipi kuhusu mke wangu je ni kweli atakua kajifunza ananipenda au ni kwakua kaachwa na X wake, naomba ushauri kwani naona kama maisha yangu yamesimama, nashindwa kujua ni kwa namna gani naweza kuendelea bila kumuumiza yoyote!
NB: OFA! OFA! OFA! Kwa Wanaume Ambao Wanasumbuliwa Na Mahusaiano
Nakushauri acha ujingaMke wangu aliniacha na kwenda Kuishi na X wake sasa anataka turudiane?
Mwaka 2017 nilimfumania mke wangu na X wake, mwanzo niliona meseji baada ya kumbana sana alikubali kuwa alikua na mahusiano na X wake na kuniomba msamaha, lakini baada ya kama wiki mbili hivi niliwakuta sehemu tena wamekaa, ilikua ni kama mtu na mpenzi wake, niliumia sana na nilipojaribu kuongea na mke wangu alinijibu vibaya, alinitukana mbele ya yule mwanaume na kuniambia kuwa hanitaki aliolewa na mimi kwa bahati mbaya.
Niliondoka kwa aibu kwani mimi ndiyo nilienda kufumania lakini mke wangu alikua kanikana mbele ya X wake. Nilirudi nyumbani nikidhani labda mke wangu atarejea lakini hakurudi mpaka baada ya siku tatu, alikuja na kuchukua watoto wetu wawili ambao ni mapacha, wakati huo walikua na miaka miwili.
Nilimuomba sana asiondoke lakini hakujali kabisa, aliniambia kuwa hanitaki na kama nataka aniachie wanangu basi ataniachia. Nilijaribu kuwachukua wanangu wa miaka miwili, kusema kweli niliumia sana kwani walikua wakimlilia Mama yao na mimi niliona kama wanamahitaji kuliko ninavyowahitaji mimi.
Nilimuambia abaki nao na kweli aliondoka nao, lakini baada ya kama wiki moja hivi, huku mimi nikihangaika kwenda nyumbani kwao kujaribu kuongea na ndugu zake ili wanisaidie mke wangu kurudi nyumbani haikua hivyo. Aligoma kurudi nyumbani na kumbe tayari alishanichafua kuwa nilikua nampiga kila siku, nimemtelekezea watoto na sitaki kuhudumia.
Kwa namna alivyokua kanichafua kwa ndugu zake nilishindwa hata kujelezea na kuonge kitu kilichotopkea. Nilirudi nyumbani, lakini baada ya wiki mbili tena nikiwa kazini nilipigiwa simu na majirani kuwa wanangu wamekaa nnje kwangu na mabegi yao.
Nilirudi nyumbani harakaharaka na kukuta mabegi ya watoto pamoja na wanangu wa miaka miwili, kulikua na ujumbe unasema “Lea wanao mimi nina maisha yangu!” nilijaribu kumpigia simu mke wangu lakini namba zake zote zilikua hazipatikani. Sikua na namna zaidi ya kuwahcukua wanangu, niliwalea mwenyewe tangu mwaka huo 2017, sikumsikia mke wangu wala kujua yuko wapi.
Sehemu alipokua akifanya kazi aliacha na hakuna ndugu wala rafiki yake aliyekua tayari kuniambia alipokua. Sababu ya kuja kwako kuomba ushauri ni hivi, kuna mwanamke naishi naye, hatujafunga ndoa bado ila ni kama mke wangu.
Tangu wakati huo mke wangu alikua hajawahi kunitafuta hata kupiga simu kuulizia kama watoto wanaendeleaje. Lakini tangu mwezi huu uanze kamtafuta mwanamke tunayeishi naye, kaanza kumsumbua kuwa aachane na mimi kwani mimi ni mke wake, huyo mwanamke ni mfanyakzi serikalini, kwa nafasi yake akijulikana kama anatembea na mume wa mtu basi itakua shida kwake kazini.
Anamsumbua sana na anataka kurudiana na mimi, ananiambia kuwa sitakua na amani na yupo tayari kufanya kitu chochote ili rurudiane. Nilikuja kugundua kuwa kumbe yule X wake alikua kaoa, alimdanganya kuwa kagombana na mke wake kumbe haikua kweli, alienda kumpangishia nyumba wakawa wanaishi pamoja kama mke na mume kumbe mke wake alikua kikazi mkoani.
Pia alimuachisha kazi na kuwa Mama wa nyumbani, sasa hivi ana mtoto mmoja na huyo mwanaume ila anakazania kuwa anataka kunirudia. Kusema kweli bado nampenda mke wangu na ndiyo maana nilikua sitaki kudai talaka, nilikua na imani kuwa ipo siku atarudi na kweli karudi. Shida inakuja kwa huyu mwanamke ambaye naishi naye, ananipenda sana na kanifanyia mambo mengi sana.
Kuna mambo mengi kichwani, hivi nikimuacha atajisikiaje, amenisaidia sana, kuna kipindi nilikua kama nimechanganyikiwa baada ya kuachwa na mke wangu, nikapoteza mpaka kazi, akahangaika na mimi bila kuchoka mpaka nimekua sawa. Nashindwa kuelewa nifanye nini ili nisimuumize, mimi bado ni mume wa mtu, hata kama mke wangu alinikosea lakini hatujawahi kuachana.
Nyumba tunayoishi sasa hivi nimejenga na huyu mwanamke, ingawa kiwanja alinikuta nacho lakini kwa kiasi kikubwa kama asilimia 90 ni pesa zake. Hiki kiwanja nilinunua kipindi nikiwa na mke wangu, siwezi kumuachia hii nyumba sasa nawaza nitamtoaje hapa.
Nina mtoto naye mmoja na nampenda sana mwanangu, yaani nimechanganyikiwa sijui nifanye nini? Vipi kuhusu mke wangu je ni kweli atakua kajifunza ananipenda au ni kwakua kaachwa na X wake, naomba ushauri kwani naona kama maisha yangu yamesimama, nashindwa kujua ni kwa namna gani naweza kuendelea bila kumuumiza yoyote!
NB: OFA! OFA! OFA! Kwa Wanaume Ambao Wanasumbuliwa Na Mahusaiano
FUNGA NDOA ,ENDELEA NA MAISHA YAKOO ,NA UNATUKOSEA SANAA UNAPOSEMA HUYO MWANAMKE UNAMPENDAA ,AKATI AMEKUDHALILISHA SANAAA ,HUKUWA KWENYE KIKAO CHA WANAUME WEWE ,MWISHO SIMBA AKILA NYAMA YA MTUU ,HATOACHA KULAA ,KWA HIYO HUYO MWANAMKE ATAKUTENDAA TUUUMke wangu aliniacha na kwenda Kuishi na X wake sasa anataka turudiane?
Mwaka 2017 nilimfumania mke wangu na X wake, mwanzo niliona meseji baada ya kumbana sana alikubali kuwa alikua na mahusiano na X wake na kuniomba msamaha, lakini baada ya kama wiki mbili hivi niliwakuta sehemu tena wamekaa, ilikua ni kama mtu na mpenzi wake, niliumia sana na nilipojaribu kuongea na mke wangu alinijibu vibaya, alinitukana mbele ya yule mwanaume na kuniambia kuwa hanitaki aliolewa na mimi kwa bahati mbaya.
Niliondoka kwa aibu kwani mimi ndiyo nilienda kufumania lakini mke wangu alikua kanikana mbele ya X wake. Nilirudi nyumbani nikidhani labda mke wangu atarejea lakini hakurudi mpaka baada ya siku tatu, alikuja na kuchukua watoto wetu wawili ambao ni mapacha, wakati huo walikua na miaka miwili.
Nilimuomba sana asiondoke lakini hakujali kabisa, aliniambia kuwa hanitaki na kama nataka aniachie wanangu basi ataniachia. Nilijaribu kuwachukua wanangu wa miaka miwili, kusema kweli niliumia sana kwani walikua wakimlilia Mama yao na mimi niliona kama wanamahitaji kuliko ninavyowahitaji mimi.
Nilimuambia abaki nao na kweli aliondoka nao, lakini baada ya kama wiki moja hivi, huku mimi nikihangaika kwenda nyumbani kwao kujaribu kuongea na ndugu zake ili wanisaidie mke wangu kurudi nyumbani haikua hivyo. Aligoma kurudi nyumbani na kumbe tayari alishanichafua kuwa nilikua nampiga kila siku, nimemtelekezea watoto na sitaki kuhudumia.
Kwa namna alivyokua kanichafua kwa ndugu zake nilishindwa hata kujelezea na kuonge kitu kilichotopkea. Nilirudi nyumbani, lakini baada ya wiki mbili tena nikiwa kazini nilipigiwa simu na majirani kuwa wanangu wamekaa nnje kwangu na mabegi yao.
Nilirudi nyumbani harakaharaka na kukuta mabegi ya watoto pamoja na wanangu wa miaka miwili, kulikua na ujumbe unasema “Lea wanao mimi nina maisha yangu!” nilijaribu kumpigia simu mke wangu lakini namba zake zote zilikua hazipatikani. Sikua na namna zaidi ya kuwahcukua wanangu, niliwalea mwenyewe tangu mwaka huo 2017, sikumsikia mke wangu wala kujua yuko wapi.
Sehemu alipokua akifanya kazi aliacha na hakuna ndugu wala rafiki yake aliyekua tayari kuniambia alipokua. Sababu ya kuja kwako kuomba ushauri ni hivi, kuna mwanamke naishi naye, hatujafunga ndoa bado ila ni kama mke wangu.
Tangu wakati huo mke wangu alikua hajawahi kunitafuta hata kupiga simu kuulizia kama watoto wanaendeleaje. Lakini tangu mwezi huu uanze kamtafuta mwanamke tunayeishi naye, kaanza kumsumbua kuwa aachane na mimi kwani mimi ni mke wake, huyo mwanamke ni mfanyakzi serikalini, kwa nafasi yake akijulikana kama anatembea na mume wa mtu basi itakua shida kwake kazini.
Anamsumbua sana na anataka kurudiana na mimi, ananiambia kuwa sitakua na amani na yupo tayari kufanya kitu chochote ili rurudiane. Nilikuja kugundua kuwa kumbe yule X wake alikua kaoa, alimdanganya kuwa kagombana na mke wake kumbe haikua kweli, alienda kumpangishia nyumba wakawa wanaishi pamoja kama mke na mume kumbe mke wake alikua kikazi mkoani.
Pia alimuachisha kazi na kuwa Mama wa nyumbani, sasa hivi ana mtoto mmoja na huyo mwanaume ila anakazania kuwa anataka kunirudia. Kusema kweli bado nampenda mke wangu na ndiyo maana nilikua sitaki kudai talaka, nilikua na imani kuwa ipo siku atarudi na kweli karudi. Shida inakuja kwa huyu mwanamke ambaye naishi naye, ananipenda sana na kanifanyia mambo mengi sana.
Kuna mambo mengi kichwani, hivi nikimuacha atajisikiaje, amenisaidia sana, kuna kipindi nilikua kama nimechanganyikiwa baada ya kuachwa na mke wangu, nikapoteza mpaka kazi, akahangaika na mimi bila kuchoka mpaka nimekua sawa. Nashindwa kuelewa nifanye nini ili nisimuumize, mimi bado ni mume wa mtu, hata kama mke wangu alinikosea lakini hatujawahi kuachana.
Nyumba tunayoishi sasa hivi nimejenga na huyu mwanamke, ingawa kiwanja alinikuta nacho lakini kwa kiasi kikubwa kama asilimia 90 ni pesa zake. Hiki kiwanja nilinunua kipindi nikiwa na mke wangu, siwezi kumuachia hii nyumba sasa nawaza nitamtoaje hapa.
Nina mtoto naye mmoja na nampenda sana mwanangu, yaani nimechanganyikiwa sijui nifanye nini? Vipi kuhusu mke wangu je ni kweli atakua kajifunza ananipenda au ni kwakua kaachwa na X wake, naomba ushauri kwani naona kama maisha yangu yamesimama, nashindwa kujua ni kwa namna gani naweza kuendelea bila kumuumiza yoyote!
NB: OFA! OFA! OFA! Kwa Wanaume Ambao Wanasumbuliwa Na Mahusaiano
OkNipede mimi hahah