Mke wangu alirudi kwa ex wake siku ya ndoa yangu

nimekutana na mtoto mkali.
Katika kumchallenge nikaona kidogo IQ yake na yangu zinaendana Basi nikafanya kila kitu hatimaye nikatoa mahari na kupanga siku ya harusi.
Labda kama sikuielewa hii line umesema kitu kama IQ zenu zinaendana?,na ni baada ya kum-challenge....right???

Nilitaka nikulaumu kwa nini bado upo nae but niliporudi juu kuupitia tena huu mstari nikajua kumbe wote mlikutana pipa na mfuniko coz kama uliweza kumuona ni smart lakini bado akaweza kukuacha hotel tena siku ya pili ya ndoa akaenda kuuchezea na wewe hadi muda huu hujui ufanyeje kweli mpo timamu ninyi?
 
Kweli kabisa,
Inasababisha vijana wetu wanakata tamaa ya kuoa kabisa, ndo zimekua magereza Sasa.
 
Mkuu umefunga ndoa tarehe 29 june,ila bado unatafakari hatua za kuchukua hadi Leo! Au ulimaanisha tarehe 29 December labda...BTW inawezekana hukumkaza vizuri (ungekaza vizuri asingekuwa na nguvu ya kwenda kwa jamaa siku iliyofata)
Mwanamke mchepukaji hata akazwaje hiyo ni kama tabia tu, hawezi acha.
 
usitoe mahali wala kuwai ndoa mpaka utakapo lizika .ni wengi wanajikuta wakijilaumu
 
Dah pole sana Mkuu. Natarajia kuoa mwezi w 3. Hii itakuwa ni ndoa ya 3. Sugu kazini..lakini.........ok pole! Ukifikia muafaka kuhusu adhabu anayostahili G usisite kutustua. Ipo Package ajili ya watu kama hao. Kuhusu Mkeo utajua mwenyewe cha kuamua.
 
Pole sana,huyo ni ex mmoja,uliyemjua.Pole sana,mi ninachokushauri,muache ili akaolewe na George,ninavyojua George nae atamkataa ila atataka awage anamla,hivyo atakua msimbe,atakua anaokoa WADAU wakitingwa.
 
pole sana mdogo wangu ulioa mke wa mtu,Mungu akutie nguvu.
Mshukuru Mungu umejua mapema kwa hiyo usikurupuke kufanya maamuzi kwa kuwa hukuoa bikra basi lolote laweza kutokea
Ushauri wangu,muite mueleze kuwa unajua kila kitu kuhusu yeye na George kwa hiyo aamue kama anaitaka ndoa ama anamtaka G,hapa najua atajiliza na kusema anahitaji ndoa usiwe na shida mpe misimamo yako kama ifuatavyo
1.Siku nitakayogundua unawasiliana na G,au kufanya mazungumzo yoyote hata kama ni barabarani au umewasiliana ndugu yake basi ndo utakuwa mwisho wa ndoa yetu.
2.hata ikitokea msiba wa George ukaenda msibani na nikajua basi ndoa inaishia hapo.
Mambo ya kuzingatia,jitahidi sana kutompa ujauzito mpaka umejihakikishia kwamba yuko tayari kukaa kwenye ndoa.
Jitahidi kila mara kurekodi mazungumzo yenu mnapokuwa mnakubaliana jambo(weka ushaidi wa kutosha ili ukitaka kuchukua uamuzi basi uwe na sababu)
kaa chonjo ukijua lolote laweza kutokea yaani unaweza kuacha ama kuachwa
 
yaani hii imekuwa too much,George ana dharau sana na mke wake hana akili
 
kaka jina la George ni hatari alishawahi nigongea dada zanGu wote watano yule jamaa roho yake ni mbaya sana[emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] George mtu mbadi
 
Dalili zote zimeonekana hupendwi,,,ni vile tu kajishkiza kwako ili katika wanawake walio katika ndoa na yeye awemo,,onyesha masculinity wako,,,fanya maamuzi...siyo kuendelea kufikiria hatua za kuchukua.
 
Kugongewa ni balaa zito, wivu tunao lakin ukimchunguza sana mkeo hamuwez maliza salama
 
YAANI SIKUMALIZIA IIKABIDI NIFWD HII STORY KWA PAGE YA DK MWAMPOSA ATAJUA SABABU KAMILI HOPE UMEME WAKO UKO SAWA ....KAMA.UMEZIDI NJOOO KAWE KWA MKATA UMEME..HATA KAMA HAUPO KABSA NJOO TANGANYIKA.PKS WATU WANAPONA...
NDOA NDOAN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…