Mke wangu alirudi kwa ex wake siku ya ndoa yangu

Mke wangu alirudi kwa ex wake siku ya ndoa yangu

Nimekwambia hapa hatoki mtu na kama utaniacha basi hutokuja kuoa mwanamke mwingine nife leo nife kesho,Hayo ni maneno ya mke wangu.

Ilikuwa ijumaa tulivuu tukiwa hotel ya Wanyama Sinza baada ya kutoka kwenye sherehe iliyo fanyika hapo hapo sinza ukumbi wa Mirado imekuwa ni kawaida ya watu wenye kipato cha kati wakati wa harusi kutafuta sehemu ambayo watasuza mioyo yao baada ya kupitia msoto wa huko uswahilini kwa miaka. Hutumia siku ya ndoa yao kuondoa hizo nuksi kwa kutafuta sehem nzuri yakupumzika baada ya ndoa.

Sherehe ilikuwa baabu kubwa zawadi zilikuwa nyingi majirani na marafiki zangu walinisapoti sana kufanikisha harusi hii tulipata pongezi nyingi.Hii ilitokana na msimamo wangu niliokuwa nimeuweka kuwa stokuja kuoa mpaka nifikishe miaka (30)lakn haikufika hata (29)nilikuwa tayari nimekutana na mtoto mkali.

Katika kumchallenge nikaona kidogo IQ yake na yangu zinaendana Basi nikafanya kila kitu hatimaye nikatoa mahari na kupanga siku ya harusi.

29 June nikiwa nimetulia kwenye suiti nilishona kwa Sheria NGOWI huyu huyu anayekula deal za Jezi za Yanga. Suti imenikaa imetulia kama mnavyojua sherehe zetu huwa zinapangwa kwa mda lakin kufuata huo mda ni changamoto.Wakwe wamepangiwa kuingia ukumbini saa 1 usiku lakin mpaka saa 1 hiyo inafika hakuna mtu na kama unavyojua mira na desturi zetu wakwe hawaguswi [emoji3]wanaingia saa 1:45usiku mda umeenda.

Nimepoa kwenye Gari V8 ya mwaka 2018 na wife amatulia upande wa pili tunaongeaa mambo yako safi kabisa.

Shetani alianza kuingilia harusi yangu baada ya DJ kupiga nyimbo ya King Crazy GK ntakufaje[emoji848] ambapo kila mtu alishangaa.Dj akaomba msamaha mambo yakaendeleea katikati ya harusi akaja jamaa akaninong'oneza kwamba Private room kuna mtu anakusubiri nikashangaa harusi inaendelea tena kuna mtu ananisubiri nikazuga baada ya mda nikamtarifu msimamizi wangu nikaenda naye.

Kufika private room maana haikuwa mbali nikamwambia msimamizi naomba mcheki wife ikinyanyuka niambie.Kuingia private namkuta SUZAN huyu ni EX wangu tumeaachana kama 1yrs imepita nikamliza kulikoni.Akaniambia mbona hupokei simu zangu?

Nikajibu ntapokea vipi wakati unaona shughuli inaendelea ni hicho ndio umeniitia si unajua shughuli ni yangu sitakiwi kuwa mbali.Basi alilalamika nikaona malalamiko yake hayana msingi nikaondoka zangu kurudi ukumbini lakini akaniambia Honeymoon ikiisha atanipigia kuna jambo anieleze.

Sherehe iliendelee wa kunywa walikunywa.Mambo yalikuwa bambam kama unavyojua sherehe hukusanya kila kitu na ambao ulipita nao wanakukata jicho lakin sasa ndio tayari unaaga ukapera unaenda kuuliza ukichelewa ulikuwa wapi.Kunawengine wanakukumbatia matani ya hapa na pale kama pale FRED alivyonitania kuwa wewe si ulikuwa mke wa J basi mzee baba jiandae kuliwa [emoji1]tena wako waiti Dah mapigo ya moyo yakaenda [emoji56]kasi jumlisha na wivu .Akaja mwingine ni mshikaji oya Adam wamekaa kule nyuma lakini BIA zinaishia hapa katikati fanya mambo si unajua wamejitoa sana.

Mama ambaye ni jirani huyu aliniacha hoi aliniambia wao na kikundi chao gari yao imepata break down kama nina sh.30k niwakopeshe baada ya harusi atarudisha lakin pia alisisitiza hata kama sina basi nimwambie msaidizi wangu ampe zile walizo tunza watu dah.

Harusi ilijaa mambo mengi yani hawa wadau wakilewa ni taabu kila mtu anakuja na lake lakini yote heri mambo yalienda kama tulivyo panga.

Tarehe 31 june niko bafuni wife anapokea simu nikajua mambo ya kawaida ni pongezi lakin baada ya sekunde nikasikia anapiga ukunga.Nikauliza nini tena kuna msiba? hapana GEORGE kapata ajali alikuwa amepakizwa kwenye bodaboda na ndio maana jana hakutokea.

Nikauliza G ni nani ni mtoto wa Ba mdogo na huyu ndio nilisoma naye na kuna wakati alinisaidia sana Zimbabwe tulipo kuwa tunarudi DSM aliniletea stry ambayo hata kama ni wewe ungemwambia basi twende tukamwangalie yupo Hosptal gani? akanijibu yupo Muhimbili MOI nikasema poa pale nina jamàa Dr.Faraji chapu tuu tukifika atatusaidia kwa haraka .Akasema jana tu harusi leo unahangaika na masimu wewe baki ngoja mimi niende kwa vile gari iko tinted basi hakuna kitakacho haribika basi kama tulivyo shauriwa kule kanisani kwamba mwenzio akiwa anahitaji kufanya jambo fulani mwache atimize maana mzozo huanzia hapo.

Baada kama ya lisaa hivi nikapiga simu ya WIFE ikawa haipatikani nikapiga simu ya wakwe nikawaelezea wakasema mbona sisi hatuna tarifa Duh mapiga ya moyo yakaenda kasi ikafika wakati nikajituliza labda chaji.Lakini nikikaa naona kama kunajambo halipo sawa why wazazi waseme hawana tarifa hii imekaaje nikajituliza.

Nikarudi kwa wazee kuuliza kuwa kuna tarifa zozote au niende kituo cha police wakasema ni mapemaa mno maana now ni masaa 3 yamepita tusubiri kidogo.
Nimetulia napokea simu nauliza nani SUZAN nikamuliza kulikon si ulisema utanipigia baada ya honeymoon akasema ameshindwa kuvumilia nikamwambia funguka.Taxi pls naomba kama stoeleweka liache kama lilivyo nikamliza mbona unajikanyaga nenda kwenye point akaniambia mkeo anatoka na GEORGE akakata simu.

Nilifikiria na ukitazama SUZAN ni EX wangu maneno yake sikuyatiria maanani maana nilijua nachezewa mchezo basi baada ya kama masaa 5 wife akarudi.Jambo la kwanza mbona hupokei simu kulikoni akasema chaja si unajua jana tulikuwa busy hatukuchaji ok mgonjwa anaendeleaje Hajambo wamemfunga P.O.P ok naweza mpa pole akasema wazazi wake ndio wana simu zake.

Baada ya kumaliza honeymoon tukarudi home kama mwezi hivi Simu yake ikawa ina shake AIRPLANE NA DISTURB zikawa zinajibonyeza kwa wakati mmoja ikawa hapatikani niliporudi nyumbani nikamliza ndio kaniambia simu ina shida Basi nikamwambia K/koo nina jamaa pale NIZO MATELEPHONE Hizo ndio kazi zake ntamwachia ntapitia baadaye.
Nilipo rudi jamaa akaniambia tatizo ame badilisha kioo na touch inasumbua nikamwambia gharama 50k hii kishikaji nikarudi home lakin kabla sijafika simu inaita G (kifua bega) nikasema hii sipokei atapokea mwenyewe lakin nikajiambia huyu si mke wangu nimetoa mahari why sina uhalali wa kupokea simu zake (kibabe) nikaweka sikioni.Hello baby mbona hupatikan toka jana kulikoni vipi unaendeleaje je umemaliza kuchinja (period) Dah nikakaa chini maana nilikuwa karibu na home duka la Mangi.
Mangi kuniona akacheka sana akasema yani Yanga bwana mkifungwa tu Ruvu shooting mnakaa chini hivyo je ikiwa SIMBA. Taxi Si utavua nguo wewe.

Nikamwambia Mangi bora tungefungwa nikamliza Mangi mbona nyumban kwangu sipaoni Aisee bwashee unajua umri unaenda huo unatakiwa ukatayarishe mashamba unakaribia kustafuu.Nikaendelee kupekuwa simu nilichokikuta nikajilaum why nilienda kuitengeneza KWELI MKE WANGU ANATEMBEA NA GEORGE NA SIKU MOJA BAADA YA HARUSI WALIKUTANA MOUNT LODGE.

Hii ilinikata kiasi kwamba nipo tuu wiki nipo tu ninachokifanya sikielewi naangalia HATUA ZA KUCHUKUA.
Hii kitu imekaa ki chai chai
 
haya ndo madhara ya kuona ile kampeni ya KATAA NDOA ni ya kipumbavu. Anyway, hujachelewa sana, piga chini hiyo kima ujiunge kwenye kampeni, tena wewe utakua ni mwalimu mzuri coz ushahidi unao.
 
Nimekwambia hapa hatoki mtu na kama utaniacha basi hutokuja kuoa mwanamke mwingine nife leo nife kesho,Hayo ni maneno ya mke wangu.

Ilikuwa ijumaa tulivuu tukiwa hotel ya Wanyama Sinza baada ya kutoka kwenye sherehe iliyo fanyika hapo hapo sinza ukumbi wa Mirado imekuwa ni kawaida ya watu wenye kipato cha kati wakati wa harusi kutafuta sehemu ambayo watasuza mioyo yao baada ya kupitia msoto wa huko uswahilini kwa miaka. Hutumia siku ya ndoa yao kuondoa hizo nuksi kwa kutafuta sehem nzuri yakupumzika baada ya ndoa.

Sherehe ilikuwa baabu kubwa zawadi zilikuwa nyingi majirani na marafiki zangu walinisapoti sana kufanikisha harusi hii tulipata pongezi nyingi.Hii ilitokana na msimamo wangu niliokuwa nimeuweka kuwa stokuja kuoa mpaka nifikishe miaka (30)lakn haikufika hata (29)nilikuwa tayari nimekutana na mtoto mkali.

Katika kumchallenge nikaona kidogo IQ yake na yangu zinaendana Basi nikafanya kila kitu hatimaye nikatoa mahari na kupanga siku ya harusi.

29 June nikiwa nimetulia kwenye suiti nilishona kwa Sheria NGOWI huyu huyu anayekula deal za Jezi za Yanga. Suti imenikaa imetulia kama mnavyojua sherehe zetu huwa zinapangwa kwa mda lakin kufuata huo mda ni changamoto.Wakwe wamepangiwa kuingia ukumbini saa 1 usiku lakin mpaka saa 1 hiyo inafika hakuna mtu na kama unavyojua mira na desturi zetu wakwe hawaguswi [emoji3]wanaingia saa 1:45usiku mda umeenda.

Nimepoa kwenye Gari V8 ya mwaka 2018 na wife amatulia upande wa pili tunaongeaa mambo yako safi kabisa.

Shetani alianza kuingilia harusi yangu baada ya DJ kupiga nyimbo ya King Crazy GK ntakufaje[emoji848] ambapo kila mtu alishangaa.Dj akaomba msamaha mambo yakaendeleea katikati ya harusi akaja jamaa akaninong'oneza kwamba Private room kuna mtu anakusubiri nikashangaa harusi inaendelea tena kuna mtu ananisubiri nikazuga baada ya mda nikamtarifu msimamizi wangu nikaenda naye.

Kufika private room maana haikuwa mbali nikamwambia msimamizi naomba mcheki wife ikinyanyuka niambie.Kuingia private namkuta SUZAN huyu ni EX wangu tumeaachana kama 1yrs imepita nikamliza kulikoni.Akaniambia mbona hupokei simu zangu?

Nikajibu ntapokea vipi wakati unaona shughuli inaendelea ni hicho ndio umeniitia si unajua shughuli ni yangu sitakiwi kuwa mbali.Basi alilalamika nikaona malalamiko yake hayana msingi nikaondoka zangu kurudi ukumbini lakini akaniambia Honeymoon ikiisha atanipigia kuna jambo anieleze.

Sherehe iliendelee wa kunywa walikunywa.Mambo yalikuwa bambam kama unavyojua sherehe hukusanya kila kitu na ambao ulipita nao wanakukata jicho lakin sasa ndio tayari unaaga ukapera unaenda kuuliza ukichelewa ulikuwa wapi.Kunawengine wanakukumbatia matani ya hapa na pale kama pale FRED alivyonitania kuwa wewe si ulikuwa mke wa J basi mzee baba jiandae kuliwa [emoji1]tena wako waiti Dah mapigo ya moyo yakaenda [emoji56]kasi jumlisha na wivu .Akaja mwingine ni mshikaji oya Adam wamekaa kule nyuma lakini BIA zinaishia hapa katikati fanya mambo si unajua wamejitoa sana.

Mama ambaye ni jirani huyu aliniacha hoi aliniambia wao na kikundi chao gari yao imepata break down kama nina sh.30k niwakopeshe baada ya harusi atarudisha lakin pia alisisitiza hata kama sina basi nimwambie msaidizi wangu ampe zile walizo tunza watu dah.

Harusi ilijaa mambo mengi yani hawa wadau wakilewa ni taabu kila mtu anakuja na lake lakini yote heri mambo yalienda kama tulivyo panga.

Tarehe 31 june niko bafuni wife anapokea simu nikajua mambo ya kawaida ni pongezi lakin baada ya sekunde nikasikia anapiga ukunga.Nikauliza nini tena kuna msiba? hapana GEORGE kapata ajali alikuwa amepakizwa kwenye bodaboda na ndio maana jana hakutokea.

Nikauliza G ni nani ni mtoto wa Ba mdogo na huyu ndio nilisoma naye na kuna wakati alinisaidia sana Zimbabwe tulipo kuwa tunarudi DSM aliniletea stry ambayo hata kama ni wewe ungemwambia basi twende tukamwangalie yupo Hosptal gani? akanijibu yupo Muhimbili MOI nikasema poa pale nina jamàa Dr.Faraji chapu tuu tukifika atatusaidia kwa haraka .Akasema jana tu harusi leo unahangaika na masimu wewe baki ngoja mimi niende kwa vile gari iko tinted basi hakuna kitakacho haribika basi kama tulivyo shauriwa kule kanisani kwamba mwenzio akiwa anahitaji kufanya jambo fulani mwache atimize maana mzozo huanzia hapo.

Baada kama ya lisaa hivi nikapiga simu ya WIFE ikawa haipatikani nikapiga simu ya wakwe nikawaelezea wakasema mbona sisi hatuna tarifa Duh mapiga ya moyo yakaenda kasi ikafika wakati nikajituliza labda chaji.Lakini nikikaa naona kama kunajambo halipo sawa why wazazi waseme hawana tarifa hii imekaaje nikajituliza.

Nikarudi kwa wazee kuuliza kuwa kuna tarifa zozote au niende kituo cha police wakasema ni mapemaa mno maana now ni masaa 3 yamepita tusubiri kidogo.
Nimetulia napokea simu nauliza nani SUZAN nikamuliza kulikon si ulisema utanipigia baada ya honeymoon akasema ameshindwa kuvumilia nikamwambia funguka.Taxi pls naomba kama stoeleweka liache kama lilivyo nikamliza mbona unajikanyaga nenda kwenye point akaniambia mkeo anatoka na GEORGE akakata simu.

Nilifikiria na ukitazama SUZAN ni EX wangu maneno yake sikuyatiria maanani maana nilijua nachezewa mchezo basi baada ya kama masaa 5 wife akarudi.Jambo la kwanza mbona hupokei simu kulikoni akasema chaja si unajua jana tulikuwa busy hatukuchaji ok mgonjwa anaendeleaje Hajambo wamemfunga P.O.P ok naweza mpa pole akasema wazazi wake ndio wana simu zake.

Baada ya kumaliza honeymoon tukarudi home kama mwezi hivi Simu yake ikawa ina shake AIRPLANE NA DISTURB zikawa zinajibonyeza kwa wakati mmoja ikawa hapatikani niliporudi nyumbani nikamliza ndio kaniambia simu ina shida Basi nikamwambia K/koo nina jamaa pale NIZO MATELEPHONE Hizo ndio kazi zake ntamwachia ntapitia baadaye.
Nilipo rudi jamaa akaniambia tatizo ame badilisha kioo na touch inasumbua nikamwambia gharama 50k hii kishikaji nikarudi home lakin kabla sijafika simu inaita G (kifua bega) nikasema hii sipokei atapokea mwenyewe lakin nikajiambia huyu si mke wangu nimetoa mahari why sina uhalali wa kupokea simu zake (kibabe) nikaweka sikioni.Hello baby mbona hupatikan toka jana kulikoni vipi unaendeleaje je umemaliza kuchinja (period) Dah nikakaa chini maana nilikuwa karibu na home duka la Mangi.
Mangi kuniona akacheka sana akasema yani Yanga bwana mkifungwa tu Ruvu shooting mnakaa chini hivyo je ikiwa SIMBA. Taxi Si utavua nguo wewe.

Nikamwambia Mangi bora tungefungwa nikamliza Mangi mbona nyumban kwangu sipaoni Aisee bwashee unajua umri unaenda huo unatakiwa ukatayarishe mashamba unakaribia kustafuu.Nikaendelee kupekuwa simu nilichokikuta nikajilaum why nilienda kuitengeneza KWELI MKE WANGU ANATEMBEA NA GEORGE NA SIKU MOJA BAADA YA HARUSI WALIKUTANA MOUNT LODGE.

Hii ilinikata kiasi kwamba nipo tuu wiki nipo tu ninachokifanya sikielewi naangalia HATUA ZA KUCHUKUA.
Story nzuri ila mwisho ndio umemaloza vibaya. Hatua zipi tena hapo zaidi za kuchukua zaid ya talaka? Yaan kuna any other alternative zaid ya kumpiga kibuti akabinjuke na George vizuri?

Cha msingi kajiliwaze kwanza na Suzan akusaidie kuiandika hiyo talaka.
 
Jamani tufanye vetting ya kutosha kabla ya ndoa tuache uvivu, usimuamini mtu binadamu ana kawaida ya usiri hasa katika yale ambayo anajua ukijua ndoa haitafungwa.
Gharama,muda na upendo vinauma unapojikuta haupo na mtu sahihi.
 
Binafs ningedili nao wote perpendicularly,
Kwa gharama yyt, Wangejuta kuzaliwa hii dunia.

Hasa hasa huyo George,
wanawake tunajua waiumbwa udhaifu.
Shida ni mwanamke na siyo George
 
Jasiri hawez kusahau kwao huyo ni malaya na malaya kuacha sio rahis labda atakubadilishia style ya kuufanya umalaya wake akijitahd sana atakuwa analiwa kipindi ambacho we utakuwa mbal nae either kikaz au mengne fanya mwache tu aende kwa G ndo mtu anaempenda
 
pole sana mdogo wangu ulioa mke wa mtu,Mungu akutie nguvu.
Mshukuru Mungu umejua mapema kwa hiyo usikurupuke kufanya maamuzi kwa kuwa hukuoa bikra basi lolote laweza kutokea
Ushauri wangu,muite mueleze kuwa unajua kila kitu kuhusu yeye na George kwa hiyo aamue kama anaitaka ndoa ama anamtaka G,hapa najua atajiliza na kusema anahitaji ndoa usiwe na shida mpe misimamo yako kama ifuatavyo
1.Siku nitakayogundua unawasiliana na G,au kufanya mazungumzo yoyote hata kama ni barabarani au umewasiliana ndugu yake basi ndo utakuwa mwisho wa ndoa yetu.
2.hata ikitokea msiba wa George ukaenda msibani na nikajua basi ndoa inaishia hapo.
Mambo ya kuzingatia,jitahidi sana kutompa ujauzito mpaka umejihakikishia kwamba yuko tayari kukaa kwenye ndoa.
Jitahidi kila mara kurekodi mazungumzo yenu mnapokuwa mnakubaliana jambo(weka ushaidi wa kutosha ili ukitaka kuchukua uamuzi basi uwe na sababu)
kaa chonjo ukijua lolote laweza kutokea yaani unaweza kuacha ama kuachwa
Ushauri wako muhimu makubaliano hayo aweke kwenye maandishi wakiachana asidai chochote
 
Nimekwambia hapa hatoki mtu na kama utaniacha basi hutokuja kuoa mwanamke mwingine nife leo nife kesho,Hayo ni maneno ya mke wangu.

Ilikuwa ijumaa tulivuu tukiwa hotel ya Wanyama Sinza baada ya kutoka kwenye sherehe iliyo fanyika hapo hapo sinza ukumbi wa Mirado imekuwa ni kawaida ya watu wenye kipato cha kati wakati wa harusi kutafuta sehemu ambayo watasuza mioyo yao baada ya kupitia msoto wa huko uswahilini kwa miaka. Hutumia siku ya ndoa yao kuondoa hizo nuksi kwa kutafuta sehem nzuri yakupumzika baada ya ndoa.

Sherehe ilikuwa baabu kubwa zawadi zilikuwa nyingi majirani na marafiki zangu walinisapoti sana kufanikisha harusi hii tulipata pongezi nyingi.Hii ilitokana na msimamo wangu niliokuwa nimeuweka kuwa stokuja kuoa mpaka nifikishe miaka (30)lakn haikufika hata (29)nilikuwa tayari nimekutana na mtoto mkali.

Katika kumchallenge nikaona kidogo IQ yake na yangu zinaendana Basi nikafanya kila kitu hatimaye nikatoa mahari na kupanga siku ya harusi.

29 June nikiwa nimetulia kwenye suiti nilishona kwa Sheria NGOWI huyu huyu anayekula deal za Jezi za Yanga. Suti imenikaa imetulia kama mnavyojua sherehe zetu huwa zinapangwa kwa mda lakin kufuata huo mda ni changamoto.Wakwe wamepangiwa kuingia ukumbini saa 1 usiku lakin mpaka saa 1 hiyo inafika hakuna mtu na kama unavyojua mira na desturi zetu wakwe hawaguswi [emoji3]wanaingia saa 1:45usiku mda umeenda.

Nimepoa kwenye Gari V8 ya mwaka 2018 na wife amatulia upande wa pili tunaongeaa mambo yako safi kabisa.

Shetani alianza kuingilia harusi yangu baada ya DJ kupiga nyimbo ya King Crazy GK ntakufaje[emoji848] ambapo kila mtu alishangaa.Dj akaomba msamaha mambo yakaendeleea katikati ya harusi akaja jamaa akaninong'oneza kwamba Private room kuna mtu anakusubiri nikashangaa harusi inaendelea tena kuna mtu ananisubiri nikazuga baada ya mda nikamtarifu msimamizi wangu nikaenda naye.

Kufika private room maana haikuwa mbali nikamwambia msimamizi naomba mcheki wife ikinyanyuka niambie.Kuingia private namkuta SUZAN huyu ni EX wangu tumeaachana kama 1yrs imepita nikamliza kulikoni.Akaniambia mbona hupokei simu zangu?

Nikajibu ntapokea vipi wakati unaona shughuli inaendelea ni hicho ndio umeniitia si unajua shughuli ni yangu sitakiwi kuwa mbali.Basi alilalamika nikaona malalamiko yake hayana msingi nikaondoka zangu kurudi ukumbini lakini akaniambia Honeymoon ikiisha atanipigia kuna jambo anieleze.

Sherehe iliendelee wa kunywa walikunywa.Mambo yalikuwa bambam kama unavyojua sherehe hukusanya kila kitu na ambao ulipita nao wanakukata jicho lakin sasa ndio tayari unaaga ukapera unaenda kuuliza ukichelewa ulikuwa wapi.Kunawengine wanakukumbatia matani ya hapa na pale kama pale FRED alivyonitania kuwa wewe si ulikuwa mke wa J basi mzee baba jiandae kuliwa [emoji1]tena wako waiti Dah mapigo ya moyo yakaenda [emoji56]kasi jumlisha na wivu .Akaja mwingine ni mshikaji oya Adam wamekaa kule nyuma lakini BIA zinaishia hapa katikati fanya mambo si unajua wamejitoa sana.

Mama ambaye ni jirani huyu aliniacha hoi aliniambia wao na kikundi chao gari yao imepata break down kama nina sh.30k niwakopeshe baada ya harusi atarudisha lakin pia alisisitiza hata kama sina basi nimwambie msaidizi wangu ampe zile walizo tunza watu dah.

Harusi ilijaa mambo mengi yani hawa wadau wakilewa ni taabu kila mtu anakuja na lake lakini yote heri mambo yalienda kama tulivyo panga.

Tarehe 31 june niko bafuni wife anapokea simu nikajua mambo ya kawaida ni pongezi lakin baada ya sekunde nikasikia anapiga ukunga.Nikauliza nini tena kuna msiba? hapana GEORGE kapata ajali alikuwa amepakizwa kwenye bodaboda na ndio maana jana hakutokea.

Nikauliza G ni nani ni mtoto wa Ba mdogo na huyu ndio nilisoma naye na kuna wakati alinisaidia sana Zimbabwe tulipo kuwa tunarudi DSM aliniletea stry ambayo hata kama ni wewe ungemwambia basi twende tukamwangalie yupo Hosptal gani? akanijibu yupo Muhimbili MOI nikasema poa pale nina jamàa Dr.Faraji chapu tuu tukifika atatusaidia kwa haraka .Akasema jana tu harusi leo unahangaika na masimu wewe baki ngoja mimi niende kwa vile gari iko tinted basi hakuna kitakacho haribika basi kama tulivyo shauriwa kule kanisani kwamba mwenzio akiwa anahitaji kufanya jambo fulani mwache atimize maana mzozo huanzia hapo.

Baada kama ya lisaa hivi nikapiga simu ya WIFE ikawa haipatikani nikapiga simu ya wakwe nikawaelezea wakasema mbona sisi hatuna tarifa Duh mapiga ya moyo yakaenda kasi ikafika wakati nikajituliza labda chaji.Lakini nikikaa naona kama kunajambo halipo sawa why wazazi waseme hawana tarifa hii imekaaje nikajituliza.

Nikarudi kwa wazee kuuliza kuwa kuna tarifa zozote au niende kituo cha police wakasema ni mapemaa mno maana now ni masaa 3 yamepita tusubiri kidogo.
Nimetulia napokea simu nauliza nani SUZAN nikamuliza kulikon si ulisema utanipigia baada ya honeymoon akasema ameshindwa kuvumilia nikamwambia funguka.Taxi pls naomba kama stoeleweka liache kama lilivyo nikamliza mbona unajikanyaga nenda kwenye point akaniambia mkeo anatoka na GEORGE akakata simu.

Nilifikiria na ukitazama SUZAN ni EX wangu maneno yake sikuyatiria maanani maana nilijua nachezewa mchezo basi baada ya kama masaa 5 wife akarudi.Jambo la kwanza mbona hupokei simu kulikoni akasema chaja si unajua jana tulikuwa busy hatukuchaji ok mgonjwa anaendeleaje Hajambo wamemfunga P.O.P ok naweza mpa pole akasema wazazi wake ndio wana simu zake.

Baada ya kumaliza honeymoon tukarudi home kama mwezi hivi Simu yake ikawa ina shake AIRPLANE NA DISTURB zikawa zinajibonyeza kwa wakati mmoja ikawa hapatikani niliporudi nyumbani nikamliza ndio kaniambia simu ina shida Basi nikamwambia K/koo nina jamaa pale NIZO MATELEPHONE Hizo ndio kazi zake ntamwachia ntapitia baadaye.
Nilipo rudi jamaa akaniambia tatizo ame badilisha kioo na touch inasumbua nikamwambia gharama 50k hii kishikaji nikarudi home lakin kabla sijafika simu inaita G (kifua bega) nikasema hii sipokei atapokea mwenyewe lakin nikajiambia huyu si mke wangu nimetoa mahari why sina uhalali wa kupokea simu zake (kibabe) nikaweka sikioni.Hello baby mbona hupatikan toka jana kulikoni vipi unaendeleaje je umemaliza kuchinja (period) Dah nikakaa chini maana nilikuwa karibu na home duka la Mangi.
Mangi kuniona akacheka sana akasema yani Yanga bwana mkifungwa tu Ruvu shooting mnakaa chini hivyo je ikiwa SIMBA. Taxi Si utavua nguo wewe.

Nikamwambia Mangi bora tungefungwa nikamliza Mangi mbona nyumban kwangu sipaoni Aisee bwashee unajua umri unaenda huo unatakiwa ukatayarishe mashamba unakaribia kustafuu.Nikaendelee kupekuwa simu nilichokikuta nikajilaum why nilienda kuitengeneza KWELI MKE WANGU ANATEMBEA NA GEORGE NA SIKU MOJA BAADA YA HARUSI WALIKUTANA MOUNT LODGE.

Hii ilinikata kiasi kwamba nipo tuu wiki nipo tu ninachokifanya sikielewi naangalia HATUA ZA KUCHUKUA.
Sad story bro.
 
Nmesoma yote,

1.mkeo kaolewa kwasababu zingine, hajakupenda kwa dhati

2.Mapenz yake kwa huyo George
Ndo maana Yuko radhi kurisk kutoroka na kusingizia ajali ili akamkate jamaa Nyege.

3.Uyo George anakudharau sn,
Katumia mgongo wa honeymoon kukuonesha nguvu aliyonayo kwa mkeo.

4. .....
Yani jamaa bwege sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazee wa zamani walikuwa na kautaratibu kamoja kazuri. Mtu anamchukua mwanamke anamtolea Mali anazaa naye watoto Hadi wanakuwa wakubwa. Umri ukiwa umeenda enda na Katoliki wametangaza sana wasio na Masakramenti Kuna ndoa ya pamoja. Basi nao wanajiandikisha na kuoana uzeeni. Hii principle somehow inafaa Kwa kizazi hiki. Kwa Sasa wanaita sogeza tukae. Ina Raha yake maana George akisumbua tu anapelekewa kabisa Aishi naye.
 
Nimekwambia hapa hatoki mtu na kama utaniacha basi hutokuja kuoa mwanamke mwingine nife leo nife kesho,Hayo ni maneno ya mke wangu.

Ilikuwa ijumaa tulivuu tukiwa hotel ya Wanyama Sinza baada ya kutoka kwenye sherehe iliyo fanyika hapo hapo sinza ukumbi wa Mirado imekuwa ni kawaida ya watu wenye kipato cha kati wakati wa harusi kutafuta sehemu ambayo watasuza mioyo yao baada ya kupitia msoto wa huko uswahilini kwa miaka. Hutumia siku ya ndoa yao kuondoa hizo nuksi kwa kutafuta sehem nzuri yakupumzika baada ya ndoa.

Sherehe ilikuwa baabu kubwa zawadi zilikuwa nyingi majirani na marafiki zangu walinisapoti sana kufanikisha harusi hii tulipata pongezi nyingi.Hii ilitokana na msimamo wangu niliokuwa nimeuweka kuwa stokuja kuoa mpaka nifikishe miaka (30)lakn haikufika hata (29)nilikuwa tayari nimekutana na mtoto mkali.

Katika kumchallenge nikaona kidogo IQ yake na yangu zinaendana Basi nikafanya kila kitu hatimaye nikatoa mahari na kupanga siku ya harusi.

29 June nikiwa nimetulia kwenye suiti nilishona kwa Sheria NGOWI huyu huyu anayekula deal za Jezi za Yanga. Suti imenikaa imetulia kama mnavyojua sherehe zetu huwa zinapangwa kwa mda lakin kufuata huo mda ni changamoto.Wakwe wamepangiwa kuingia ukumbini saa 1 usiku lakin mpaka saa 1 hiyo inafika hakuna mtu na kama unavyojua mira na desturi zetu wakwe hawaguswi [emoji3]wanaingia saa 1:45usiku mda umeenda.

Nimepoa kwenye Gari V8 ya mwaka 2018 na wife amatulia upande wa pili tunaongeaa mambo yako safi kabisa.

Shetani alianza kuingilia harusi yangu baada ya DJ kupiga nyimbo ya King Crazy GK ntakufaje[emoji848] ambapo kila mtu alishangaa.Dj akaomba msamaha mambo yakaendeleea katikati ya harusi akaja jamaa akaninong'oneza kwamba Private room kuna mtu anakusubiri nikashangaa harusi inaendelea tena kuna mtu ananisubiri nikazuga baada ya mda nikamtarifu msimamizi wangu nikaenda naye.

Kufika private room maana haikuwa mbali nikamwambia msimamizi naomba mcheki wife ikinyanyuka niambie.Kuingia private namkuta SUZAN huyu ni EX wangu tumeaachana kama 1yrs imepita nikamliza kulikoni.Akaniambia mbona hupokei simu zangu?

Nikajibu ntapokea vipi wakati unaona shughuli inaendelea ni hicho ndio umeniitia si unajua shughuli ni yangu sitakiwi kuwa mbali.Basi alilalamika nikaona malalamiko yake hayana msingi nikaondoka zangu kurudi ukumbini lakini akaniambia Honeymoon ikiisha atanipigia kuna jambo anieleze.

Sherehe iliendelee wa kunywa walikunywa.Mambo yalikuwa bambam kama unavyojua sherehe hukusanya kila kitu na ambao ulipita nao wanakukata jicho lakin sasa ndio tayari unaaga ukapera unaenda kuuliza ukichelewa ulikuwa wapi.Kunawengine wanakukumbatia matani ya hapa na pale kama pale FRED alivyonitania kuwa wewe si ulikuwa mke wa J basi mzee baba jiandae kuliwa [emoji1]tena wako waiti Dah mapigo ya moyo yakaenda [emoji56]kasi jumlisha na wivu .Akaja mwingine ni mshikaji oya Adam wamekaa kule nyuma lakini BIA zinaishia hapa katikati fanya mambo si unajua wamejitoa sana.

Mama ambaye ni jirani huyu aliniacha hoi aliniambia wao na kikundi chao gari yao imepata break down kama nina sh.30k niwakopeshe baada ya harusi atarudisha lakin pia alisisitiza hata kama sina basi nimwambie msaidizi wangu ampe zile walizo tunza watu dah.

Harusi ilijaa mambo mengi yani hawa wadau wakilewa ni taabu kila mtu anakuja na lake lakini yote heri mambo yalienda kama tulivyo panga.

Tarehe 31 june niko bafuni wife anapokea simu nikajua mambo ya kawaida ni pongezi lakin baada ya sekunde nikasikia anapiga ukunga.Nikauliza nini tena kuna msiba? hapana GEORGE kapata ajali alikuwa amepakizwa kwenye bodaboda na ndio maana jana hakutokea.

Nikauliza G ni nani ni mtoto wa Ba mdogo na huyu ndio nilisoma naye na kuna wakati alinisaidia sana Zimbabwe tulipo kuwa tunarudi DSM aliniletea stry ambayo hata kama ni wewe ungemwambia basi twende tukamwangalie yupo Hosptal gani? akanijibu yupo Muhimbili MOI nikasema poa pale nina jamàa Dr.Faraji chapu tuu tukifika atatusaidia kwa haraka .Akasema jana tu harusi leo unahangaika na masimu wewe baki ngoja mimi niende kwa vile gari iko tinted basi hakuna kitakacho haribika basi kama tulivyo shauriwa kule kanisani kwamba mwenzio akiwa anahitaji kufanya jambo fulani mwache atimize maana mzozo huanzia hapo.

Baada kama ya lisaa hivi nikapiga simu ya WIFE ikawa haipatikani nikapiga simu ya wakwe nikawaelezea wakasema mbona sisi hatuna tarifa Duh mapiga ya moyo yakaenda kasi ikafika wakati nikajituliza labda chaji.Lakini nikikaa naona kama kunajambo halipo sawa why wazazi waseme hawana tarifa hii imekaaje nikajituliza.

Nikarudi kwa wazee kuuliza kuwa kuna tarifa zozote au niende kituo cha police wakasema ni mapemaa mno maana now ni masaa 3 yamepita tusubiri kidogo.
Nimetulia napokea simu nauliza nani SUZAN nikamuliza kulikon si ulisema utanipigia baada ya honeymoon akasema ameshindwa kuvumilia nikamwambia funguka.Taxi pls naomba kama stoeleweka liache kama lilivyo nikamliza mbona unajikanyaga nenda kwenye point akaniambia mkeo anatoka na GEORGE akakata simu.

Nilifikiria na ukitazama SUZAN ni EX wangu maneno yake sikuyatiria maanani maana nilijua nachezewa mchezo basi baada ya kama masaa 5 wife akarudi.Jambo la kwanza mbona hupokei simu kulikoni akasema chaja si unajua jana tulikuwa busy hatukuchaji ok mgonjwa anaendeleaje Hajambo wamemfunga P.O.P ok naweza mpa pole akasema wazazi wake ndio wana simu zake.

Baada ya kumaliza honeymoon tukarudi home kama mwezi hivi Simu yake ikawa ina shake AIRPLANE NA DISTURB zikawa zinajibonyeza kwa wakati mmoja ikawa hapatikani niliporudi nyumbani nikamliza ndio kaniambia simu ina shida Basi nikamwambia K/koo nina jamaa pale NIZO MATELEPHONE Hizo ndio kazi zake ntamwachia ntapitia baadaye.
Nilipo rudi jamaa akaniambia tatizo ame badilisha kioo na touch inasumbua nikamwambia gharama 50k hii kishikaji nikarudi home lakin kabla sijafika simu inaita G (kifua bega) nikasema hii sipokei atapokea mwenyewe lakin nikajiambia huyu si mke wangu nimetoa mahari why sina uhalali wa kupokea simu zake (kibabe) nikaweka sikioni.Hello baby mbona hupatikan toka jana kulikoni vipi unaendeleaje je umemaliza kuchinja (period) Dah nikakaa chini maana nilikuwa karibu na home duka la Mangi.
Mangi kuniona akacheka sana akasema yani Yanga bwana mkifungwa tu Ruvu shooting mnakaa chini hivyo je ikiwa SIMBA. Taxi Si utavua nguo wewe.

Nikamwambia Mangi bora tungefungwa nikamliza Mangi mbona nyumban kwangu sipaoni Aisee bwashee unajua umri unaenda huo unatakiwa ukatayarishe mashamba unakaribia kustafuu.Nikaendelee kupekuwa simu nilichokikuta nikajilaum why nilienda kuitengeneza KWELI MKE WANGU ANATEMBEA NA GEORGE NA SIKU MOJA BAADA YA HARUSI WALIKUTANA MOUNT LODGE.

Hii ilinikata kiasi kwamba nipo tuu wiki nipo tu ninachokifanya sikielewi naangalia HATUA ZA KUCHUKUA.
Hivi hii nilive au nistory ya kusadikika mzee,maana kama nyaya zinagonga kichwani hivi
Nakutoa cheche.
 
Sikuzote mwanamke hana huruma na mwanaume. Iko hvyo.. wanaamin sex ni payback ya chochote unachomfanyia. Wanaamin hata ukimfanyia jema.. sex anayokupa inatosha kukulipa chochote.tuish nao kwa machale sana
Umeandika ukweli mkubwa sana hapa wenye kubeza ukweli huu mchungu nao wachunguzwe,ndio maana ukioa mwanamke mwenye mentality ya kukuuzia uchi wake ,hata umfanyie mambo mema kiasi gani hua hazingatii akiamini kua mna exchange kwa sex.
 
"basi kama tulivyo shauriwa kule kanisani kwamba mwenzio akiwa anahitaji kufanya jambo fulani mwache atimize maana mzozo huanzia hapo."


Kanisa!Kanisa!Kanisa!.
Pole mkuu.
 
Back
Top Bottom