Mke wangu alitembea na mume wa mtu, sijui nifanye nini

Yaani comments za wanaume mnamuona huyo dada hafai wakati mpo wenye ndoa na michepuko kibao. Mwanaume malaya pia hafai[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]..
Mtoa mada hujawahi kuchepuka?
Yani unashadadia umalaya???? Itakuwa na wewe ni malaya
 
Sasa kisu ulimpokonya ili iweje mkuu?achaga uboya
 
Msamehe tu ndiyo mkeo, nina imani amejifunza, inauma lakini vumilia jikaze kiuke toa msamaha
 
Hongera mkuu kwa kuweza kuwasoma na kuwaelewa vyema watu wa design hii aina ya tabia wanazokuwa nazo..
 
Ningekua mimi kwanza ningemwambia huyo Bi mkubwa kama anaweza kumuua amuue tu haraka... Halafu hapo uliporudi home ukamkuta ameshika kisu anatishia kujiua ungejifanya kama umzuia lakin unamuacha ajichome ili afe vzuri mamaeee... Mwanaume rijali unaishi vipi na mwanamke amekucheat waziwazi na ushahidi unao... Fukuza mbwa hiyo
 
we huitaji ushauri unaoneka una moyo wakuendelea kuishi nae me ikija kutokea kuoa halaf nikaja kujua mtu fulani alikuwa na mahusiano ma mke ila ni kabla sijamuoa siku nikiona hata wamekaribua namuacha
 
wanawake ni viumbe wa hatari sana,nina mkasa wa mwanangu ,ukisisikia mwana yaani yule toka tuko age 05(early childhood).kutokana na kuwa marafiki tumeunda undugu,tukashauliana tumekuwa watu wazima tujenge sehemu majirani ili watoto wetu waendeleze ile uhusiano wetu. ebana ebana yule shemeji yangu anavogawat tunda kimasihara kwa mkolo flani ,bwege 1.Kwanza yule manzi kazaa mtoto za kunyapia yule mtoto mwanangu kabambikiziwa.kitu mbaya yule mkolo anatamba mtaa yule manzi hawezi niacha(shem).kuna story nyingi za kutisha
jamaa ni mwanagu ila kwenye hili nimeshindwa mueleza naona mauaji yanaweza tokea ukizingatia jamaa ni mlinda amani anaweza toka na bomba akamwaga mtu kinyesi.BY the way jamaa aliwahi pata hizo story ila manzi akajiliza na kusema ni wivu anasingiziwa and no action has been taken in short mwanangu yuko ndani ya chupa.
Ni story ndefu nalinda faragha ya mwanangu,nimekosa namna ya kumsaidia kabisa,nikisema nimuite yule manzi nimueleze aache hyo mambo nahofia reply kutoka kwake inaweza kuwa neg
 
Rudisha kwao maramoja tena ubder escort, wambie unahitaji kupumnzika the ukirudi oa haraka sana
 
Kuna wajinga watakwambia tafuta pesa usichapiwe.....

Haka kamsemo ni ka kujipa moyo tu

Wapo wanawake wamepewa kila kitu na waume/ boy friend zao lkn bado wanapigwa nje.

Mwanamke akiamu kunyanduliwa hata umpe dunia yote na vyote vilivyomo ndani ataliwa tu.

Muhimu ni kujiandaa kisaikologia na maamuzi magumu siku ukikuta manyoya.
 
Huyo mzee si ndio yule alikuwa analea familia yako ukipigika? Ulitegemea ilikuwa for free? Kama ulivumilia kuona message za miamala kwenye simu ya mkeo sioni cha ajabu kuona message za kuliwa vumilia tu mzee mpaka utakapopata uhuru wako wa kiuchumi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…