Mke wangu alitembea na mume wa mtu, sijui nifanye nini


[emoji1488]
 
Umefeli due diligence.
Hii ni chai kama chai zingine.

View attachment 2206895

 
Yaani comments za wanaume mnamuona huyo dada hafai wakati mpo wenye ndoa na michepuko kibao. Mwanaume malaya pia hafai[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]..
Mtoa mada hujawahi kuchepuka?

nipe ushauri tu
 
Infidelity kwa ndoa za karne imekuwa tatizo kubwa sana.

Kaa na mke wako muyamalize, ukisema umuache huenda ukakutana na kimeo cha kwenda. Hopefully na wewe at some point in your marriage umeshawahi kucheat.[emoji1787]

ni kweli ila sasa kujua kitu na ushahidi upo moyo unauma sana
 
Yaani comments za wanaume mnamuona huyo dada hafai wakati mpo wenye ndoa na michepuko kibao. Mwanaume malaya pia hafaiπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ..
Mtoa mada hujawahi kuchepuka?
Chepuka ila usikamatwe.
 
Ungemuacha ajiue uone kama yuko siriaz. Angekufa basi problem solved !
 
Na inaonekana unampenda sana nayeye amejua hilo!
According to kaburi lako taarifa zinaonesha ni singo maza so hata huyo mtoto si wako!
Hapo sikushauri mkuu anakuchezea akili huyo!
Mi nilijua no mkeo wa ndoa asee!!

hapana sijazaa nae
 
Na mbaya zaidi unalea na mtoto wa mwanaume mwenzio!! Vipi wewe ushazaa nae kwanza??
Huyo anakupotezea muda kaka piga chini!
Ohooo, kumbe ndivyo ilivyo? Ndio maana watu wanakuwa na unaa na singles yani, its not fair unalea mtoto wa mwanaume mwenzako then huyo mama akusaliti tena...

Kwa scenario hiyo hata mimi ningekimbia mbio sana.
 
Pinga kwa utafiti. Kuna jamaa wa centre for aids research aliniambia pia kuwa u r more likely to get hiv from ur wife au gelofrend kuliko kutoka kwa malaya.

Kama wee mkweli ebu sema hujawahi kuuza mechi toka uanze kulijua de libolo
Tupo kwa mtoa mada mzabzab Mimi sihusiki hapa πŸ€” 😜 πŸ€”πŸ˜‚πŸ€£!!
 
Kumbe hata hajamuoa ni mwanamke mwenye mtoto tayari ila jamaa alichanganyikiwa na maakuli tu akaanza kusogeza ndani.... imagine hata mtoa mada hajazaa nae!!! Huyo sio wa kusamehe amemdharau sana jamaa na jamaa anaonekana ni mpole sana
Jamaa nae lazima atamla Bi Mkubwa na picha juu ili Mume wa Bi Mkubwa nae apate machungu! Hapo inakua ngoma draw, moja moja hiyo!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…