khamis kilo
JF-Expert Member
- May 23, 2016
- 1,137
- 1,380
- Thread starter
- #221
Mzee hujui ufanyaje ? Kweli siku hizi wanaume ni dhaifu sana dump her and build yourself
thanks [emoji1488]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee hujui ufanyaje ? Kweli siku hizi wanaume ni dhaifu sana dump her and build yourself
For the sake of your peace , muache huyo mkeo endelea na maisha yako [emoji1666]
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Pole sana. Kiutu uzima ondokeni eneo la tukio muende mbali na umsamehe kisha ndio ufanye maamuzi ya kumuacha ua kuendelea nae.
Uzinzi upo na unafanywa na binadamu kama sisi. Cha msingi angalia sana maisha yenu baada ya hili yaendelee na sio kuyakatisha
Tomba huyo bi-mkubwa baada ya hapo akili itajiseti ufanye uamuzi gani.
Hivi kweli ukiwa umepata haya utakumbuka na kuandika mpaka nukta kwa kweli uongo mmezidi Sana Hadi aibu
Daah
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
Bado tu mnataka kuishi kwa kuhurumiana,kwanini uishi na mateso yote hayo?.
Hii coment yangu ningekuwa na uwezo ningeiweka kama stiky pale kila mtu akawa anaiona. Nimeiseme mara nyingi na leo nasema tena [emoji116]
KOSA LA MWANAMKE KUCHEPUKA HALISAMEHEKI, HALISAMEHEKI HATA ASHUKE MALAIKA. NARUDIA TENA KOSA HILO HALISAMEHEKI WALA HALIVUMILIKI. HAPANA HAPANA HAPANA
Nyuzi zote za humu ndani huwa sizipi uzito, huwa naona ni chai tu.
Mtu unapoteza muda wako kujipinda kuandika kitabu cha ushauri...
Wakati mwingine Dunia inakuwa kama tambara bovu.
Mkuu , morogoro hawajambo? Ni yule mjeda au khamis kilo
Atakufa kwa pressure bure. Kunguru na nyoka hawafugiki. Hata km watu wana cheat ila hiyo ni too much mtaa wote unajua. Anaishi na kahaba aisee
halafu ukisoma uzi wake walioufukua hapo juu kuna taarifa zinasikitisha sana!
Hapana huyo apige chini tu Hakuna mke hapo!
Acha umalaya weweYaani comments za wanaume mnamuona huyo dada hafai wakati mpo wenye ndoa na michepuko kibao. Mwanaume malaya pia hafai[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]..
Mtoa mada hujawahi kuchepuka?
Unapenda sana ubuyu inaonekana. Hapo upo na popcorn kabisa unashushia.Ngoja niwahi Siti kwanza!! [emoji144] Kisha nisome nikiwa nimetulia venye mambo za mahusiano ziko veri veri kompliketedi!
Pole sana mkuu!!yananitesa sana haya mambo