Kijibwa kinatakiwa kununuliwa chakula cha kijibwa, sio viporo tu.nahisi kaona hivi viporo vinazagaa hakuna wa kula na kumbe hawali viporo
kwa hali hii mpaka sasa nimeshanyong'onyeaKijibwa kinatakiwa kununuliwa chakula cha kijibwa, sio viporo tu.
Halafu kikiumwa unakipeleka hospitali ya vijibwa.
Ni kama kitoto.
Hahahahaaaa wa kiswahili wabishi eee[emoji13] na wagumu kuelewa.....nimecheka SanaaaaWakizungu niwazuri mnoooo ukiwapa mafunzoo wanaelewaaa, pili wanakuwa kwa haraka km ukijua kuwatunza vyema, alafu ni wakubwaa mnooo yani karibu wawe km ndama wa Siku tano
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125]Hahahahaaaa wa kiswahili wabishi eee[emoji13] na wagumu kuelewa.....nimecheka Sanaaaa
kama unapenda kufuga fuga si bora ufuge kucha tu?Mm mwenyewe napenda sana mbwa wa kufugwa hasa hasa wa kizunguuu, napenda mnoo kufuga fuga
Hivi vijibwa wakati mwingine vinafanya mapenzi na binadamu.Kuwa makini kwa uamuzi wowote.
Kucha za nn sasa nitaoshaje papuchi yangukama unapenda kufuga fuga si bora ufuge kucha tu?
mtihani mkubwa huuInawezekana amepata simulizi jinsi Mr dog anavyoweza kuzama chumvini, nategemea anataka umnunulie mbwa dume ili akusaidie kazi pindi ukiwa safarini
subiri nimuulizeAnataka mbwa dume ama jike
sikutaka kucheka kwa sauti sema nimekupataNenda insta kwenye page na nakaaya anauza mbwa wa kizungu...Bei ni 1.5 - 3 milion kama sikosei, Sasa cjui kwa usawa huu wa magu utanunua mbwa au chakula[emoji1] [emoji1]
yote kwa yote ndio dunia ilivyo kuiga ni sehemu ya maishaNimechukizwa na kaiga kwa jirani, usipojichunga ataiga na michezo mibaya nayo ufanye in the name of LOVE.....
Sasa nini kuja huku, nunua faster kajibwa yote ni sehemu ya maisha....yote kwa yote ndio dunia ilivyo kuiga ni sehemu ya maisha