Mke wangu amebadilika tabia anataka nimnunulie kijibwa

Mnunulie German shepherd ..... Dani ya dakika mbili atamrudisha kama hajui mbwa ... Kama ana nature na wanyama basi atakaa nae.
 
Tena wengine wasemekana ni wataalamu kwa kudeki chumvini ! Mzee anagalia majirani wasije kuwa wameshapeana uzoefu na mamaa anataka kumiliki yake kabisa. Hahaaaaaaaaaaaaa.
Ndio maana nilitaka kujua faida ya hivyo vijibwa mkuu
 
Mwambie utamnunulia kwani shida ipo wapi Bro,Hao kama watoto tu siku yakiwapanda akili zao wanazijua wenyewe! Ila naomba jirani yako nae siku anunue Ndege au helkopta.
Duuh mkuu nimeshampiga marufuku kupuyanga kwa majirani
 
Hawa mbwa nasikia kwa kuzama jumvibi hatari akizoea ako katabia umekwisha.
 
Vinatumika sana kuwalamba wanawake sehemu za siri
 
Huyo kuna vijimambo anaona wewe humfanyii, ila ana Imani atatimiziwa na vijibwa!
 
Muulize kwanza anataka kijibwa cha kike au kiume.kuhusu bei Wema Sepetu anajua alikuwa alikuwa navyo.
 
Mkuu mna watoto wangapi?samahan lakin,baada ya jibu nitatoa sababu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…