Mke wangu amekubali nimuadhibu viboko vitano ili yaishe

2011 nilizika kaka yangu kwa ushenzi wa namna hii anaokufanya mkeo...broo kahangaika weee..
Kajijenga kiuchumi hatar sana...kaishia kufa kwa kutochukua hatu kwa matendo na maneno ya mkewe
 
Kweli mkuu umesema ukweli, ni miezi miwili cijakutana namwana mke yoyote kwasabb ya safari, ila sina hamu nae kabisa kalala mie niko sembuleni na citamgusa kabisa paka pale nafsi itakapo ridhia......jamani wanawake ni mtihani mkubwa
Naona kama wewe ndo una gubu kwa maelezo yako ya juu juu, mkeo ashakwambia anaogopa kukaa peke yake hapo ukizingatia wewe una safiri safiri basi ungewaza hata kumwambia alete mdada wa kazi maana wawili ni wawili tu,

Sijaona kitu kikubwa kilichokununisha hapo,
Ulipoenda kufata funguo ungemwambia mrudi nyumbani lakini ukafanya jambo liwe kubwa eti umchape viboko vitano roho yako iridhike,
Umesema uongo wake hauna madhara kwako sasa akushughulisha na nini, muache na uongo wake na shika kweli zako maisha yasonge mbele.
 
Mimi nimefurahi namna unavojieleza bila shaka unastahili kuwa baba wafamilia uko makini ushauri wangu jipe mda kidogo mwanamke akishakuwa nawatoto itabidi uchague moja watoto waishi kwafuraha ili wewe ujiongeze kaa hawa viumbe wanaumhim sana kwetu sema ndohivo naona matatizo yake hayatosha kumuacha.
 
Mbona kama ya kutunga? Ila kwasababu watu wengi sana wamechangia positive acha tu ninyamaze.
 
Inawezekana kweli anaogopa kukaa peke yake nyumbani, tafuta uvumbuzi wa hilo wala usimchape. Nyumba kukaa peke yake, tena mwanamke! Fikiria vizuri hilo.

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
Kwanini asimshirikishe mumewe hofu yake na watafute ufumbuzi. Hakuna mwanamke anajielewa anaweza kudanganya mumewe kwa mwezi mzima kuwa yupo nyumbani.Narudia HAYUPO.
 
Mbona kama ya kutunga? Ila kwasababu watu wengi sana wamechangia positive acha tu ninyamaze.
Yaani haiingii akilini mke kabisaa mke atelekeze nyumba yake mwezi mzima eti anaogopa na amfiche mumewe.
 
Mbona kama ya kutunga? Ila kwasababu watu wengi sana wamechangia positive acha tu ninyamaze.
Yaani haiingii akilini mke kabisaa mke atelekeze nyumba yake mwezi mzima eti anaogopa na amfiche mumewe
Kiufupi mkeo anakudanganya vitu vingi sana kua MAKINI.
 
Kama ameshindwa kujua mtu hayupo nyumbani mwezi ataweza kujua anachepuka? Hatakaa ajue
 
Wewe mkeo mjanja kukuzidi kwahio unadhani ana simu hio hio ulio Imonitor? Libido ipo low kwako sababu hakufeel.
 
Kabisa kuna mwamba atakuwa anamla hadi kumfukunyua mtr itakuwa
Hapo jamaa ampige chini tu
Kama anataka ampime marnda pia kama bado yako fit

Ova
Ukute upweke unamsumbua labda na mume ndo wale wale wanawake wana shida sana kwa hizi ndoa
 
Una hakika alikuwa kwa dada?
 
Comment bora kabisa kwa huu uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…