Mke wangu amekubali nimuadhibu viboko vitano ili yaishe

Mke wangu amekubali nimuadhibu viboko vitano ili yaishe

Mkuu mawasiliano na mke wako hamna unapokua mbali???.....maana kwa vyovyote ungejua alipo wakati mnawasiliana na sio kushtukizwa kutokuwepo Kwake

Mbali na hapo kama ni uoga mbona uliporudi hakuna yeye kukupa funguo??? Sio ajabu hakua hata kwa dada ake then hakurudi nyumbani siku hiyohiyo ameendelea Kua huko mpaka alipoona yeye ni wakati wa kurudi...... unataka usafiri anasema hataondoka kama mwanzo means alikua kozi ya kumsaidia kuondoa uoga kwa siku kadhaa hizo au??

Sibomoi nyumba yako ila kaa chini tafakari mkuu, Fanya maamuzi ambayo unaona hutajutia, maana akili za kuambiwa changanya na za kwako
 
Binafsi ningekua mwanaume ningeshamwacha. Naona tabia chafu tu hizo. Toka mwanzo si alikua anajua nature ya kazi zako? Yet dadake ndo akakuletea funguo? Maybe mimi ni low thinker. Alikua wapi kama siyo umalaya alikua anapiga? Okey, alikua kwa dadake.. kwanini asikuletee funguo yeye? Mwanamke akikubali kuolewa ajie na kutulia. Nimeogopa zaidi kwa dada yake ni KINONDONI
 
Mkuu mawasiliano na mke wako hamna unapokua mbali???.....maana kwa vyovyote ungejua alipo wakati mnawasiliana na sio kushtukizwa kutokuwepo Kwake

Mbali na hapo kama ni uoga mbona uliporudi hakuna yeye kukupa funguo??? Sio ajabu hakua hata kwa dada ake then hakurudi nyumbani siku hiyohiyo ameendelea Kua huko mpaka alipoona yeye ni wakati wa kurudi...... unataka usafiri anasema hataondoka kama mwanzo means alikua kozi ya kumsaidia kuondoa uoga kwa siku kadhaa hizo au??

Sibomoi nyumba yako ila kaa chini tafakari mkuu, Fanya maamuzi ambayo unaona hutajutia, maana akili za kuambiwa changanya na za kwako
Dem hakua kwa dada ake..ndomaana funguo hakuleta yeye.

Na.mbaya zaidi..AKAAMBIWA AKAUSUBIRIE KITUO Y.
 
Wazazi, wafundisheni watoto wenu wa kiume namna ya kuweza kujisimamia kimaamuzi. Mkeo kakukosea, unakuja kuomba ushauri mtandaoni!? Na mpaka hapo kama ulikuwa hujui, huyo mwanamke anakuzidi uwezo wa kufikiri na Anakuweza.
 
Nashukuru kwa ushauri sasa akiondoka nani asimamie maendeleo nyumbani hiyo nichagamoto pia, nakuleta mke mgine naona itakua too much huyu ni watatu nikifikisha wanne jamii itaniona kama mimi ndomwenye tatizo
Kumbe unaomba ushauri ila ni kama tyr una maamuz yko mkuu
 
Huyo dawa yake viboko/mboko tano ukimaliza kabla havijapoa tafuta vumbi la Congo then anza bakora nyingine tano.
 
Mkuu , kwa maelezo ya mtoa mada ni kwamba,

Baada ya kurudi safari, nyumbani hakumkuta mke wake , lakin alikuta gari yake na vitu vingine vyote vikiwa salama.

Pamoja na nyumba na mali vilivyomo inanonesha mke, havijali sana .. ndio maana kaamua kutoka na kwenda kwa dada yake ambaye mtoa mada anamuelezea kama ni daa mtu maisha ni mabovu na familia haijiwezi kivile...

Inawezekana kabisa mtoa mada anamatatizo yanayopelekea huyu mwanamke kuwa hivi,

Kitendo cha kumzalisha tu mwanamke na kumuweka ndani kama mlinzi wa nyumba hayo sio mapenzi...

Mtoa mada hana muda na mke wake wala familia inaonekana ana vipaumbele vyake vingine kama kazi, n.k
Nakubaliana na wewe kamanda
 
Mwanamke amekuzidi ujanja sana na ni mwerevu mno. Huyo atakupa tabu sana. Anaenda kukaa na dada yake aliyepanga chumba,anaacha nyumba yake. Yeye na dada yake wanatabia zao wanazozijua wenyew na wewe kujua huwezi. Unampigia simu akupe funguo, anamtuma dada yake huku akiendelea kubakia huko kwa dada yake bila kuonana na wewe.
Mkuu hujachelewa bado, hofu yako isiwe kifungo chako ila huyo mwanamke mpime tena na ufanye maamuzi kiume.
 
Umenena mama, upole ukizidi wanakuona bwege, inawezekana hata wanawake wawili wa mwanzo walimchezea sababu walimuona lofa tu, siafiki kuchapwa fimbo sio ubinadamu, lakini mkosaji lazima akoromewe ipasavyo sio kumlegezea sauti tena na adhabu juu, mfano hiyo ya talaka au kumrudisha kwa muda lazima moja litimie

Mwamba akifeli kutoa hata adhabu moja atanyanyasika sana, lakini asimpige, talaka ni bora kuliko kipigo

Kwanza mwanamke mwenyewe yuko tayari kwa talaka basi tu, inawezekanaje aache nyumba yake yenye nafasi akajibane kwenye kachumba na sebule kwa watu mwezi? Au kuna ndoa nyingine huko
Covax Sikia ndugu zako wanakushauri huku
 
Huruhusuwi kumchapa mtu mzima viboko vya ukweli bila idhini ya mahakama. Hiyo ni kesi
 
Ndugu kwanza nikupe pole arafu, pili nikushangae kwa kupenda kuyaweka madhaifu ya mke wako mtandaoni sio jambo zuri, tatu nikuulize una 38 yrs, umeoa unafamilia umekuja kuomba ushauli ni public kwa kutegemea kupata majibu toka kwa watu tofauti tofauti wengine wana rika chini yako na hawana ata familia unategemea nini? Hapo anyway elewa ya kuwa familia ni taasisi kukwa na we ndo kiongozi yakupasa kubili changamoto za familia yako wewe mwenyewe sio mtu mwingine mfano umesema mke wangu means wako kwanini ukusema mke wetu amekubali viboko vitano ndo tujadiliane cha kufanya kwasababu ni mke wetu.
Kuomba ushauri sio ujinga wewe acha ufala nchi inaomba ushauri sembuse mtu mmoja
 
Mkuu naona unajali sana malezi ya watoto wako ila amini nakwambia atakupelekesha sana akijua kuwa uwezi mfanya chochote kile.

Ushauri wangu chukua maamuzi magumu, mpeleke kwao, nyumbani tafuta ndugu yako aje akae wakati ukiwa kwenye safari zako, toa matunzo kwa mwanao inatosha akikua atajua umuhimu wako.
 
Wazazi, wafundisheni watoto wenu wa kiume namna ya kuweza kujisimamia kimaamuzi. Mkeo kakukosea, unakuja kuomba ushauri mtandaoni!? Na mpaka hapo kama ulikuwa hujui, huyo mwanamke anakuzidi uwezo wa kufikiri na Anakuweza.
Mitandaoni sio sehemu ya jamiii?

Uku huwezi pata ushauri mzuri maana wanao tumia mitandao ni mapindi?

Na kuna tatizo gani kuomba ushauri mitandaoni kwani kinachoangaliwa ni ushauri umetoka wapi au ubora wa ushauri? As long as mtu kaandika kwa staha hakuna tatizo.

Nadhani kama hauna cha kushauri ni bora ukae kimya maana ata kukaa kimya ni ushauri tosha shenzi wewe.
 
Back
Top Bottom