nderingosha
JF-Expert Member
- Mar 20, 2011
- 4,285
- 3,250
[emoji1787]Vip Mlikubaliana viboko vya mkononi au matakon?!
dah!!!!!..mpige fimbo hizo tano za nguvu...hata alie namna gani...ukimaliza mchukue kitandani umtie pu.mbu ipasavyo.... ukiweza mfi.re kabisa...baada ya yote haya mtimue na asirudi kabisa hapo...hata atubu vipi...hii adhabu Itakua powa..
Inawezekana hata hawa wa2 anasema sio wakeKuishi na mwanamke mjanja mjanja kuliko wewe ni mzigo! Mtoto ajaye hatakuwa wakwako
Hivi nani aliwaambia wanawake wanaathirika kwa kupigwa mashine? Hivi mnawajua au mnawasikia?Mpelekee Moto
Ishi upendavyo usipangiweKaka kulea watoto bila mama nikazi kumbuka mie kazi zangu nikusafiri some time out of the country hao watoto ntawalea je?
Adhabu ya viboko ni kinyume na sheriamimi nakushauri mchape viboko vitano vimuingie kweli kweli makalioni, hata kama akilia, itabidi itimize tuu ahadi, maana keshazoea kukuchezea, itakuwa dawa hiyo na kama haikuwa dawa basi ujue hana dawa huyo.
Kumbe unamsingizia. Mtu anasimamia hadi maendeleo nyumbani kwako halafu unasema hakai kwako?Nashukuru kwa ushauri sasa akiondoka nani asimamie maendeleo nyumbani hiyo nichagamoto pia, nakuleta mke mgine naona itakua too much huyu ni watatu nikifikisha wanne jamii itaniona kama mimi ndomwenye tatizo
JF bhana, huo moto aliokuwa ampelekee ulikuwa unamaanisha nini?Wap nimeandika sex.