Mke wangu ameleta msichana wa kazi aliyebarikiwa mzigo. Nifanyeje?

Mke wangu ameleta msichana wa kazi aliyebarikiwa mzigo. Nifanyeje?

Kwa hiyo unataka tukuhalalishie uzinzi ama
Huyo ni mke wako kweli au kimada?
Kama unawajali wanao kaa mbali na huyo msichana na umfanye kama mwanao tu
Hayo ni majaribio unayopitia ila huu ndio ushauri wangu wa kikubwa
Heshimu ndoa yako kama ipo
 
Naomba nisipoteze muda wenu. Kichwa cha habari kinajieleza. Naishi na mke wangu na watoto wetu wadogo wawili. Nilikuwa safarini kikazi kwa muda wa wiki mbili.

Nimerudi nyumbani nimekuta mke wangu ameleta msichana wa kazi aliyebarikiwa mzigo mkubwa na wa kuvutia mno. Msichana huyu anaonekana ana umri kama wa miaka 19 hivi mpaka 21. Sasa nauliza. Nifanyeje?
Ebu picha !?
 
Naomba nisipoteze muda wenu. Kichwa cha habari kinajieleza. Naishi na mke wangu na watoto wetu wadogo wawili. Nilikuwa safarini kikazi kwa muda wa wiki mbili.

Nimerudi nyumbani nimekuta mke wangu ameleta msichana wa kazi aliyebarikiwa mzigo mkubwa na wa kuvutia mno. Msichana huyu anaonekana ana umri kama wa miaka 19 hivi mpaka 21. Sasa nauliza. Nifanyeje?
mkeo kakuletea mboga
 
To,mba kesho leta mrejesho mliachanaje na mkeo alipogundua.
Fala we
 
Naomba nisipoteze muda wenu. Kichwa cha habari kinajieleza. Naishi na mke wangu na watoto wetu wadogo wawili. Nilikuwa safarini kikazi kwa muda wa wiki mbili.

Nimerudi nyumbani nimekuta mke wangu ameleta msichana wa kazi aliyebarikiwa mzigo mkubwa na wa kuvutia mno. Msichana huyu anaonekana ana umri kama wa miaka 19 hivi mpaka 21. Sasa nauliza. Nifanyeje?
Fanya kinachofanyika mkuu ipende familia yako..
 
Back
Top Bottom