Aliyekwambia ni dharau nani?Kamwe narudia tena kamwe usije ukafanya kosa ukamla beki tatu hiyo ni dharau kubwa sana kwa mkeo akijua kuwa umembandua beki tatu
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ebu picha !?Naomba nisipoteze muda wenu. Kichwa cha habari kinajieleza. Naishi na mke wangu na watoto wetu wadogo wawili. Nilikuwa safarini kikazi kwa muda wa wiki mbili.
Nimerudi nyumbani nimekuta mke wangu ameleta msichana wa kazi aliyebarikiwa mzigo mkubwa na wa kuvutia mno. Msichana huyu anaonekana ana umri kama wa miaka 19 hivi mpaka 21. Sasa nauliza. Nifanyeje?
mkeo kakuletea mbogaNaomba nisipoteze muda wenu. Kichwa cha habari kinajieleza. Naishi na mke wangu na watoto wetu wadogo wawili. Nilikuwa safarini kikazi kwa muda wa wiki mbili.
Nimerudi nyumbani nimekuta mke wangu ameleta msichana wa kazi aliyebarikiwa mzigo mkubwa na wa kuvutia mno. Msichana huyu anaonekana ana umri kama wa miaka 19 hivi mpaka 21. Sasa nauliza. Nifanyeje?
Nakazia hapa.Na wewe mlete hausi boi mwenye mkuyenge wa maana mtoe draw.
Fanya kinachofanyika mkuu ipende familia yako..Naomba nisipoteze muda wenu. Kichwa cha habari kinajieleza. Naishi na mke wangu na watoto wetu wadogo wawili. Nilikuwa safarini kikazi kwa muda wa wiki mbili.
Nimerudi nyumbani nimekuta mke wangu ameleta msichana wa kazi aliyebarikiwa mzigo mkubwa na wa kuvutia mno. Msichana huyu anaonekana ana umri kama wa miaka 19 hivi mpaka 21. Sasa nauliza. Nifanyeje?