Cryptographer
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 376
- 737
Mpandishe cheo,stress za majukumu atapungua tu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
'makubwa", sio 'makubwa sana".mengine yanakua kama uchafu sasa hata hayanyegeshiSi mnapenda makalio makubwa?
Uko Sawa mkuu, Hawa viumbe wasasomeki kabisa yeye hapo kashachukua point tayarKatika hiyo michezo-michezo ya kupimana nguvu mwenzako ndo anakufanyia mahesabu na kuchunguza kama kuna Siku anaweza kukubana kuikweliukweli, umesema leo alikukalia ukashindwa kuamka mpaka ulipotumia maneno katamu eeeeh?? We endelea ilu umtoe hali yoote ya kukuogopa.
Kuna Siku atakubana hivyo Kisha utabaki kusema "nikitoka hapa utanitambua" 😅
Diet zote zinahusisha kupungua mwili mzima ila kama anatak tumbo tu bac adili na mazoez ya kupunguza tu na kula vyakula vingi vya protein supplement aepuka kula zaid wanga na animal product kama nyama, na maziwa fresh ila mtindi nimzur kwa kupunguza mwili. Napia junk food aepuke kuzila chumvi nyingi na sukar nyingi aepukeKufanyaje??[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapan asifanye hivyo amshaur tu akachukue mkopo bank halafu amuache arejeshe mwenyew mwezi mmoja haufik atakuwa kabak kama chelewamtaftie mchepuo alaf simu yako weka mezani bila passkey,
utanishukuru baadae
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Makalio makubwa yawe yamepangiliwa sio kalio kubwa halafu halina shape nzuri yaani lipo kama gunia la nazi.
HahahahahahaHapan asifanye hivyo amshaur tu akachukue mkopo bank halafu amuache arejeshe mwenyew mwezi mmoja haufik atakuwa kabak kama chelewa
Amtafutie michepuko hakuna njia nyingine.Mtie stress atakonda kesho yake tu.
Yaani hatopigizana kelele nae ataisha haraka sanahahahahahaha
Kama yako..Si mnapenda makalio makubwa?
Umeona wapi kitu kiko hukooKama yako..
Nilikuona siku ile linatetemeka kama la gilesi wa Bujibuji😄Umeona wapi kitu kiko hukoo
Wamama wa zamani hayatetemeki. Tuko very original.Nilikuona siku ile linatetemeka kama la gilesi wa Bujibuji[emoji1]
Aah aisee acha nije pm nijioneeWamama wa zamani hayatetemeki. Tuko very original.
Na serikali imekaa kimya