Mke wangu amenenepa mno

Mke wangu amenenepa mno

Katika hiyo michezo-michezo ya kupimana nguvu mwenzako ndo anakufanyia mahesabu na kuchunguza kama kuna Siku anaweza kukubana kuikweliukweli, umesema leo alikukalia ukashindwa kuamka mpaka ulipotumia maneno katamu eeeeh?? We endelea ilu umtoe hali yoote ya kukuogopa.

Kuna Siku atakubana hivyo Kisha utabaki kusema "nikitoka hapa utanitambua" 😅
Uko Sawa mkuu, Hawa viumbe wasasomeki kabisa yeye hapo kashachukua point tayar
 
Kufanyaje??[emoji23][emoji23][emoji23]
Diet zote zinahusisha kupungua mwili mzima ila kama anatak tumbo tu bac adili na mazoez ya kupunguza tu na kula vyakula vingi vya protein supplement aepuka kula zaid wanga na animal product kama nyama, na maziwa fresh ila mtindi nimzur kwa kupunguza mwili. Napia junk food aepuke kuzila chumvi nyingi na sukar nyingi aepuke
 
Mke wa huyu mkulungwa ana kazi sana, kapata mwanaume ambae niseme tu kweli msela hajitambui! Yaani threads zake nyingi huku ni za kuhusu mambo yake na mkewe tu yaani mpaka mishe za chumbani analeta huku...

Mkeo akijamba unamfungulia sredi.

Mkeo akikojoa bahati mbaya kitandani unamfungulia sredi.

Mkeo sijui ana kovu tumboni tayari unaanda sredi.

Mkeo kanenepa unaleta sredi.

Asaiv unasubiria akonde napo ulete sredi..

Aiseee unatudharirisha sana wanaume, hasa wanaume wenzio waliooa unawaabisha sana, tunaonekana wanaume wa sasahivi tuna mambo ya umbea umbea wakati sivyo ila wapuuzi kama ww tu ndiyo mnachafua majority yetu.


Mkuu familia yako haina challenges zingine za kimaisha mbali na mambo yenu ya chumbani ya kukaliana mara sijui alikukamulia maziwa mdomoni, ambazo unaweza kuleta hapa zika discussiwa? Make naona kama muda mwingi ww na mkeo mnashinda ndani kutafuta thread, kwani huna miradi na haipati challenges hiyo miradi ulete tu discuss?

I'm sorry lakini_____________

My bad [emoji1751]
 
Back
Top Bottom