Mke wangu amenenepa mno

Sisi tunahitaji vibonge tuambie anapatikana wapi kama amekushinda hayo ma fillet ni ya thamani kubwa
 
Unasema kanenepa matiti na makalio
Yaani umeniwazisha mbali wewe
Msiwe mnawasema wake zenu hivyo

Kanenepa ingetosha sana
Sasa weka picha tumalize mchezo kabisa
Halafu gym usifikiri wote wanaoenda wanafanya mazoezi
Utapoteza hela zako bure
Jiridhishe hapa
 
anza kula vitoto tu hakuna namna , wakinenepa wananenepa kweli kama minguruwe , siushamuoa kwani ana cha kupoteza? kuna shida sana hawa wake zetu wa kiswahili, ulaya huwezi kukuta janamke kama litembo na kianaume kiduchuuuuu

Obesity inaongoza nacho gani vile?
 
Wangu kalikuwa kamodo swaaaafi lakini saizi amebongeka halafu anajiskia raha kweli kuwa kibonge yaani acha tu.
 
Umeshapata jibu la sababu ya kunenepa.
 
Milioni tatu umekuwa kuku. Mahari ya mjukuu wa babu ni kuanzia 10m. Kama hawana nakuoa mwenyewe
Naona babu unaupiga mwingi,
Mzigo umeuongezea thamani ili ukose wateja halafu ukausosomole mwenyewe.
Babu uko na miakili mingi sana.
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…