Mke wangu ameniacha njiapanda

mkuu tafuta pesa katengeneze kioo kisha chunguza simu yake. ukishindwa weka track app ya kufatilia ndani y week ina record mpak sauti wewe unatulia na pc yako
 
Katika ndoa ukifuatilia karibia 90% ya wanawake wamewasaliti waume zao wengine waume zao wanajua na wengine hawajui, kwahiyo kama unataka mwanamke ambae hachepuki au hajawai kuchepuka huwezi kuoa ndugu yangu.
Kwahiyo suala la kuamua kuishi na make wako baada ya kumfumania au kuhisi anachepuka ni uamzi wa mtu mmoja mmoja itategemea hiyo mwanamke anayo nafasi gani katika familia.
 
Wanaume wote tungekuwa na moyo wa kishujaa namna hii malaya wangenyooka
 
Hakufai huyo, usikute hata mimba sio yako.itisha kikao mkabodhi kwa ndugu zake

Once a cheater is always a cheater
 
We jamaa una logic ya kifala sana,yaani asamehe/tusamehe kisa 90% ya wanawake ni wachepukaji? Hivi unajua maumivu ya kuishi na mwanamke ambae unajua alishawahi kukucheat? Unatoa shauri na reasons za kiboya Sana.
 
We jamaa una logic ya kifala sana,yaani asamehe/tusamehe kisa 90% ya wanawake ni wachepukaji? Hivi unajua maumivu ya kuishi na mwanamke ambae unajua alishawahi kukucheat? Unatoa shauri na reasons za kiboya Sana.
mbona ww ukicheat anakusamehe? na anakuwa anajua na zile msg kaziona? ama unajikuta nani vile? kwamba ww mkamilifu hatari
 
huyo mwanamke hakufai, achana naye halaka sana yaani hakufai fanya maamuzi sasa...
 
mbona ww ukicheat anakusamehe? na anakuwa anajua na zile msg kaziona? ama unajikuta nani vile? kwamba ww mkamilifu hatari
Hii tabia yenu ya usawa ndo inawafanya msiolewe na masingo maza kuzidi kuongezeka. Hivi kwenye vitabu vya dini ni wanaume au wanawake waliokua na mke au mume zaidi ya mmoja?
 
Mbona kama hii ya zaman hv japo muandishi ni yule yule[emoji780][emoji848]
Af huko muhusika mkuu ana mtoto kabsa anayetambua au mi ndio sielewi hapa [emoji2375]

Sent from my Infinix X609 using JamiiForums mobile app
 
Pole sana jamaa, mkanye au mpe likizo ya wiki 2 ila usimwambie kwamba atarud.
Ila onesha heavy reaction sio kitoto.

Baada ya hapo mrudishe mpe onyo kwamba akirudia tena ni re card moja kwa moja.

Msamehe usimuache moja kwa moja ukizingatia ana mimba yako pia ukimuacha itakua fedhea sana kumbuk muha nae ulimuacha jamii itakuona wewe ndo unashida.

Usione wazee wapo kwenye ndoa wanavumiliana na kusameheana mengi.
 
Ndo ana mimba sasa ila sjafunga naye ndoa ila mahari nishatoa. Nawaza kuachana naye tu arudi kwa bwana ake huko wakaendelee walipoishia.

Mimba ni ya nani sasa!? Au ndio kitanda hakizai haramu

Haya mambo ya kutaka ndoa huku unataka kuchepuka yana hatari sana. Ifike mahala mtu aamue moja
 
mbona ww ukicheat anakusamehe? na anakuwa anajua na zile msg kaziona? ama unajikuta nani vile? kwamba ww mkamilifu hatari
Comrade wewe kama ni Me basi hujawahi kupatwa na maumivu ya kutomb..ewa au pengine wewe ni mario kaa kimya hujuwi uchungu wa kutomb..ewa. Mwanamke akishakusaliti huyo ni nyoka ndani ya nyumba.
 
Ndo ana mimba sasa ila sjafunga naye ndoa ila mahari nishatoa. Nawaza kuachana naye tu arudi kwa bwana ake huko wakaendelee walipoishia.
Hiyo mimba ni yako au ya Ima
 
Anaomba msamaha kivitendo mke wako ni mafia sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sio mda atakudaka na utatulia tuliiii
 
Hzo ni tafsiri zako bt zpo Bible ukisoma zmeandka uzinzi zingne uasherati so we amini unavyoamini mkuu.

Sjapinga kitu hapo kimaana ....nachomanisha ni kuwa mtu akiwa muasherati ni mbaya sana kuliko mzinzi.sasa kama bible inaruhusu tuache wake kwa kosa la uzinzi basi akiwa muasherati ndo unafaa kumkimbia kbsaaaa
 
Ndo ana mimba sasa ila sjafunga naye ndoa ila mahari nishatoa. Nawaza kuachana naye tu arudi kwa bwana ake huko wakaendelee walipoishia.
Tena ukute mimba siyo yako, bali ya Ima au ya mwingine 🤔
Kwanza Mkuu una Watoto wangapi umezaa nae?

Uamuzi sahihi ni kumwacha aende zake tena upesi sanaa
Nakazia ✍️✍️✍️
Maana huyo ni kahaba!
 
Pole mkuu.
Kuna wimbo mmoja wa Ambwene unaitwa "nguvu ya kujua".
Ni vitu vingi hatuumii juu yake kwa sababu hatuvijui. Ila siku tukivijua maumivu yake yanaumiza sana.
Majuto mjukuu, ukimchunguza sana kuku humli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…