Mke wangu ameniacha njiapanda

Hiyo ibada mkaifanyie huko huko kwenu mkuu kwangu hapana😂😂
 
Hehehehe...we unajazwa upepo humu shauri yako[emoji848]
Inakera kweli. We fikiria demu anatoka huko kaloweshwa mishahaw halaf nawe usiku unaogelea mishahawa ya wanaume wengine. Hii kama sio nuksi ni nini. Unamwambia EL ELYON anajazwa upepo wewe unaona mke ana ujauzito halafu bado anachati na mwanaume mchepuko hiyo imekaaje. Ndio maana zamani walipigwa mawe.
 
Yani wewe akili yako ya upelelezi ni 0.... Ilitakiwa utengeneze full picture ambayo hawezi ruka
Yaani vijana wa siku hizi ndipo mnapofeli na wanawake walishajua udhaifu wenu ulipo. Wewe umekuta sms na ukachati na dume halafu anakudanganya shemeji yake. Bado unatafuta ushahidi. Umpelekee nani? Maamuzi ni yako, kama ni kusamehe au kufukuza. Vijana mnatuabisha sana wanaume.

ikiezekana hadi umwite mshikaji na aje then unamwaga huyo mwanamke mazima.. umeharibu ushahd yani
Unamwita wa nini sasa. Kwani ndiye kakulipia mahali? Anakuhusu nini kwani yeye alibaka mkeo? Huu ukosefu wa hekima sijui mnautoa wapi😂.

Achukue uamuzi wa kuacha au kusamehe mpaka hapo picha yote anayo Imma anagonga demu wake
 
Haujawajua wanawake bado wewe!
 
Bila shaka wewe ni karibia sawa na hiyo mke wa jamaa
 
Mkuu labda umenielewa vibaya,ila mimi nimesema kwa hivyo vielelezo,hapa namaanisha hata hizo sms tu zinatosha kufanya maamuzi magumu.
 
Hawa watoto wa kike ni kama wana shida eti eeh.

By the way, msamehe.
Ila ninyi wanawake hamjuwi uchungu wa kutomb..ewa kwenye mada kama hizi ni bora mngekaa kimya, mwanamke akiwa msaliti huyo ni sawa na nyoka ndani ya nyumba.
 
Ila ninyi wanawake hamjuwi uchungu wa kutomb..ewa kwenye mada kama hizi ni bora mngekaa kimya, mwanamke akiwa msaliti huyo ni sawa na nyoka ndani ya nyumba.
Why kimya, even wanawake hatupendi kusalitiwa.
 
Wanaume kumbe mnaogopa kusalitiwa namna hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787], yani comments zimejaa ushauri wa kupigwa chini mwanamke! Kweli Mungu aliumba kitu cha ziada kwa mwanamke.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Aisee inauma sana mpe mbao au punguza attention kabisa kwake niliwahi ku hack namba ya wife nilichokikuta nikaamua kumpiga choni mazima.
 
Hata hiyo mimba sio yako.akijifungua nenda ukapime DNA.Kwa Sasa mrudishe kwao.
 

Unaweza ua mtu hivihivi
 
Trust me tutakushauri lakini huwezi kumuaacha uyo mwanamke [emoji28]
 
pole Sana mkuu.
Ningelikuwa Mimi nigefanya hivi.
Kwa kuwa umesema kuwa hamjafunga ndoa ila umetoa mahali, Ningefanya hivi
Ningemwambia kuwa siwezi kuwa na mtu ambaye sio mwaminifu, kuoa mwanamke ambaye sio mwaminifu Ni risk kubwa kwanza anaweza kuleta mtoto sio ktk ndoa hii. Pili Kuna magojwa na tatu watu wengine wanaweza wasiieshimu ndo yetu.

Kwahio Basi kulipa mahali sio ndoa na sio kibali kinachopelekea ndoa kufungwa, Mimi sitafunga ndoa na wewe.

Kwa hio nitalea ujauzito mpaka utakapo jifungua ila mtoto nitakwenda kuthibitisha Kama Ni wangu au sio wangu. Kama Ni wangu nitamchukua na kumlea mtoto ila mahusiano na wewe itakuwa Basi na mwisho. Kama sio wangu utachukua mtoto utaenda nae , kwa sababu Sina imani na wewe Tena.

Simple Kama hivyo hayo ndo maamuzi magumu ya kiume .
 
Uroda unaliwa kwa siri uwenda jamaa anajilia kwa siri bila mi kujua watu wanasafiri masafa kufata uroda ukizngatia mi huwa nasafiri kikazi hata wiki uwenda njemba ilishakuja huku ikalamba asali
Pole Sana haya Mambo yanauma Sana kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…