Unique Flower JF-Expert Member Joined Apr 19, 2019 Posts 12,838 Reaction score 25,282 Oct 20, 2022 #381 Haituhusu
B bawad sabas Member Joined Feb 3, 2021 Posts 65 Reaction score 55 Nov 23, 2022 #382 Hizi ndoa jamani dah Pole mwana.. Kwa sasa tulia usichukue maamuzi. Binafsi sinario kama hizo huwa naamua kukaa kimya baada ya kumweleza ukweli kisha najiandaa na pia najipanga kumuacha. Kumbuka kumuacha mwanamke unayeishi naye sio jambo jepesi
Hizi ndoa jamani dah Pole mwana.. Kwa sasa tulia usichukue maamuzi. Binafsi sinario kama hizo huwa naamua kukaa kimya baada ya kumweleza ukweli kisha najiandaa na pia najipanga kumuacha. Kumbuka kumuacha mwanamke unayeishi naye sio jambo jepesi
kichomiz JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 19,257 Reaction score 12,244 Nov 23, 2022 #383 EL ELYON said: Ndo ana mimba sasa ila sijafunga naye ndoa ila mahari nishatoa. Nawaza kuachana naye tu arudi kwa bwana ake huko wakaendelee walipoishia. Click to expand... Hapo huna cha kupoteza mkuu,kama ungekuwa umeshajenga name familia ningekufundisha kitu,Ila kwa kuwa bado mkimbie haraka
EL ELYON said: Ndo ana mimba sasa ila sijafunga naye ndoa ila mahari nishatoa. Nawaza kuachana naye tu arudi kwa bwana ake huko wakaendelee walipoishia. Click to expand... Hapo huna cha kupoteza mkuu,kama ungekuwa umeshajenga name familia ningekufundisha kitu,Ila kwa kuwa bado mkimbie haraka
Nickson Swai JF-Expert Member Joined Sep 5, 2018 Posts 597 Reaction score 549 Nov 24, 2022 #384 Unaachana naye