Hehehehe...we unajazwa upepo humu shauri yako[emoji848][emoji51][emoji51][emoji51] Tena wajamaa ambao wanajua demu ake alishaolewa huwa wakiwapata tena huwa si kuwatia dole tu hata kifiro kitatokea maana hawanaga cha kupoteza kbs maana anajua ni mke wa mtu na unakuta mkeo ananogewa kabisa.
Hivi wewe umeoa au kuolewa kweli?kwani mkuu ww huna mchepuko mpaka umfatilie mkeo?
Ukija kuomba ushauri huku Jf afu usiwe emotionally stable, ni lazima ujae sumu.😂Hehehehe...we unajazwa upepo humu shauri yako[emoji848]
Kabisa mkuu ....ukija humu ulivyolishwa vyote viache humu humuUkija kuomba ushauri huku Jf afu usiwe emotionally stable, ni lazima ujae sumu.[emoji23]
Mi nimepostpone baada ya miaka mitanoDah nitaoa mwaka kesho!
Sioi ngoja tu nitafute watotoMi nimepostpone baada ya miaka mitano
Shida sio kusamehe mkuu, shida atatulia baada ya kusamehewa, huyo emma anaonekana anaujua udhaifu wa huyo demu kutokana na jinsi anavyofunguka kwenye sms, demu ashakuwa maharage ya mbeya kwa emma, jamaa ashamzoea demu ndo maana ana confidence ya kuomba mzgo kirahisiWapo waliowafumania wake zao ila still waliwasamehe na maisha yakaendelea.
Kusamehe ni ibada.
Hivi mkuu ingekua niwewe ndo umekutwa na hali kama hiyo na mke wako ungekubali??? tena kwa haraka namna hyo hii namba ni ya nani ungejibu ni ya mpenz wako au ex wako??
Uongo wake ulikua na lengo la kujidefend tu ambavyo hata wewe ungefanya.
Uamzi ni wako mkuu.
Akishazaliwa Kama hafanani na wewe pima DNA. Malaya Kama hao hawaaminiki.Sawa talifanyia kaz
Pga chini isje ukawa unalea mimba ya ima🤔 Staki kumpa nafasi kumsikiliza tena kwenye hilo maana nilishampa nafasi nilipofika tu ye akadanganya ni shemeji yake kama nisingekuwa na ushahidi wa WhatsApp basi alikuwa ashanipiga chenga. Nikimpa nafasi tena atadanganya tu hapa nafikiria maamuzi tu ya kuchukua bs.
We nae huo ndo ushauri gani.... Tafuta kitu maan Cha kumshauriKwanza Mkuu una Watoto wangapi umezaa nae?
uamuzi sahihi ni kumwacha aende zake tena upesi sanaa