Mke wangu ameniacha njiapanda

Mke wangu ameniacha njiapanda

Unajua mkuu shida ya mwanamke ni moja jinsi unavyozidi kumsamehe kwa makosa makubwa anayokufanyia ndo jinsi anavyozidi kukuona fala na kuamini kuwa wewe ni dhaifu sana kwake na kivyovyote vile huwezi kumuacha na malipo atakayokupa ni kukufanyia visa vingine vikubwa sana vya fedhehea hata achana na huyo bwana Ila watapanga jinsi na njia nyingine salama ya kuwa pamoja na katika maongezi yao watakupa cheo cha bwege.

Ukiona uko na mwanamke kwenye mahusiano lakin mwanamke huyo bado Yuko na mahusiano mengine tena ya nyuma ujue kwako pengine kafata maslahi tu, na Kama ana wengine wapya huyo ni changudoa kumbuka kunguru hafugiki
 
Wakuu mmebarikiwa sana na Mwenyezi Mungu.

Jana usiku ulitokea msala mmoja mimi na mke wangu.

Smartphone ya mke wangu ilivujia wino kwa bahati mbaya bado hajaipeleka kwa fundi sasa J5 aliniomba simu yangu aweke application ya business WhatsApp ili achart na marafiki zake nikamwambia sawa.

Sasa jana usiku nilitoka kidogo wakati nipo njiani ikaingia sms kwenye WhatsApp upande wa namba yake ikiwa inasema MAMBO....mi nikajibu NANI....ikajibiwa IMA....nikamjibu UNAJUA UNACHART NA NANI....akajibu JINA LA MKE WANGU.....nikamwambia OK....tukasalimiana nikijdai kama mimi ndo mhusika yaani mke wangu.

At last jamaa akaomba picha nikamkatalia kwa kumwambia siwezi na nikauliza yanini picha. Jamaa akadai amemiss kuniona yaani kumuona mke wangu.

Nikamuuliza umemisi nini akajibu MAMBO YAKO BADO SJASAHAU....nikauliza mambo gani akajibu ya KITANDANI.

Nilipofika nyumbani nikamsalimia mke wangu nikamwambia anipe simu ndogo aliyokuwa nayo kucheck upande wa dialed call nikakuta ni muda si mrefu alikuwa anaongea na jamaa aliyekuwa amemtumia sms WhatsApp jamaa alikuwa kampigia wameongea kama dk 3.

Nikamuuliza huyu uliyekuwa unaongea naye ni nani wakati huo sjamwambia chochote kuhusu charting za hiyo namba kwenye WhatsApp yake.

Akajibu huyo ni shemeji yake kule alikoolewa mdogo wake.

Nikamuuliza mara 3 huyu ni nani maana pia namba hakuwa ameisave akashituka akauliza kwani kuna nini.

Nikamwambia kwahiyo wewe ulikuwa unafanya mapenzi na shemeji yako au siyo. Akashituka hapana nikamuonyesha WhatsApp vile jamaa amesema mke wangu akakataa kabisa eti jamaa akajiandikia tu ila hakuna lolote kama vipi tumpigie nikamwambia ok ngoja tumpigie wakati najiandaa kupiga akakataa ooooh subiri kwanza nikwambie nikakataa maana tumeshakubaliana tupige simu na yeye hilo wazo ndo kalisema.

Nikapiga jamaa akapokea mke wangu akagoma kbs kuongea nikakata simu.
Nikaenda zangu sitting room nikamuacha room.

Sasa tokea wakati huo sijaongea naye chochote namuangalia tu nimetoka job hapa namcheck tu maana sina kawaida ya kupiga mwanamke na sijawahi kumpiga hata kofi.

SASA WAKUU MNANISHAURI NICHUKUE HATUA GANI, PILI KWANINI MKE WANGU ALINIDANGANYA, TATU JE HUYU MKE NA HUYU JAMAA YAKE WAKIKUTANA MNADHANI HAWATAPASHA KIPORO HAWA RAIA HAWA, NNE KWA HISIA ZA HARAKA WALIPOKUWA WANAONGEA KWENYE SIMU WAKATI SIPO WALIKUWA WANAKUBALIANA NINI......[emoji848]
Huyu ima kama namjua kabisa, ww na bibie mnaishi ukanda gani wa Tz,
 
Kwanini kumu entertain mtu ambaye unaona kabisa hana faida kwenye mahusiano yako, awe ni Ex au yoyote tu..

Unaweza kupoteza mtu wa maana kwa sababu ya mtu ambaye hata mpango na wewe hana, ukute nae ana mtu wake huko ..
Wanawake wachache huwa wamaliona hili.
 
#KuchapiwaHakuepukiki [emoji419][emoji419][emoji419]
#KitandaHakizaiHaramu [emoji419][emoji419][emoji419]
#Kuchapiwanisiriyandani [emoji419][emoji419][emoji419]

Ukizingatia hizo tags hapo juu utaishi kwa amani sana. Hakuna kitu utaweza fanya kwa mwanamke anayetaka kukazwa nje. Hakuna!

Ni ama usuke...au unyoe...
Nakukubali mzee wa kutokupindisha pindisha mambo.

Ni kweli hakuepukiki wawe imara basi katika kutunza siri.

Shimba ya Buyenze. Ni bora mwizi aje aibe kila kitu ndani ya nyumba yako utavumilia ila suala la kuchapiwa linauma sana hata uwe kombandoo mbobezi roho itauma tu na ukiwa mwepesi uta pull triger to release 7 bullets to meet the meat
 
.....kwa kuwa umesema hujafunga naye ndoa; kama ningekuwa mimi NINGEMWACHA AENDELEE NA IMA


Yesu aliwaambia wanafunzi wake "Bali mtu asimwache mke wake isipokuwa kwa sababu za uasherati"

mke akishaanza uasherati hiyo ndoa inakuwa haiunganiki tena kwa kuwa HAWEZI KUACHA.
 
Kwa situation ilivyo na kwa uzoefu wa mabaharia wastaafu mkeo kweli alishaliwa na mwanamke kuvuliwa chupi awamu ya kwanza ndio inakuwaga tabu ila muendelezo huwa hauhitaji hata kijiko cha Glucose.

Jamaa atamvuta vuta kwa sound na lazima atamgonga tu mwishoni. Mwanamke ambaye anafanya huo mchezo ni hatari sana. Kuna uwezekano mkubwa ukakuta hata hio mimba unayolea ni ya huyo fedhuli.
 
Viatu vyako vinanipwaya mkuu, iyo mimba nayo umepigwa hahahahaaa alooo kumbe watu wanaua ivi ivi ,mwenzio akiend kwa ima anpigwa pipe uku dole gumba lipo kwa kinyeo hahahaa alooohhh
😬😬😬 Tena wajamaa ambao wanajua demu ake alishaolewa huwa wakiwapata tena huwa si kuwatia dole tu hata kifiro kitatokea maana hawanaga cha kupoteza kbs maana anajua ni mke wa mtu na unakuta mkeo ananogewa kabisa.
 
Kwa situation ilivyo na kwa uzoefu wa mabaharia wastaafu mkeo kweli alishaliwa na mwanamke kuvuliwa chupi awamu ya kwanza ndio inakuwaga tabu ila muendelezo huwa hauhitaji hata kijiko cha Glucose.

Jamaa atamvuta vuta kwa sound na lazima atamgonga tu mwishoni. Mwanamke ambaye anafanya huo mchezo ni hatari sana. Kuna uwezekano mkubwa ukakuta hata hio mimba unayolea ni ya huyo fedhuli.
Na atamgonga tu ni swala la muda huo uzoefu mi pia ninao.
 
Unless kama ulimuoa akiwa na bikra zake mbili, ila hawa wanawake waliokula mileage kuna namna ya kukaa nao. Kama haja cheat wakati mkiwa kwenye ndoa tullia tu. Pengine huyo boya anasukumwa na nyege zake kutongoza mke wako na penzi hajapewa baada ya ndoa. Usifanye maamuzi ukiwa na hasira, endelea ku uncover information mpaka mwisho.
Bikira 2 🤔 mmmh za wapi hzo si huwa ni moja tu
 
Utafanyaje ili upate uhakika kama kweli aliliwa au la? Yupe udhoefu.
Ndomaana mwanzoni nilisema jamaa alikosea kupanick mapema kwenda kumuuliza mke wake afu akamuacha bula kufikia muafaka, hii itampa fursa ya kujipanga na kumnyima yeye fursa ya kuujua ukweli.

Alipopata nafasi ya kuchati ningekuwa mimi, aliposema kamiss mambo ya mke wangu ningemuuliza swali moja tu ili nijue kama alitembea nae nikiwa nae kwenye ndoa au zamani.

"Emma kama kweli umenimiss na hauwezi kusahau mambo yangu,nambie tumesex lini mara ya mwisho tuone kama unanikumbuka kiasi hicho"😂

Hapo jamaa angapata jibu ambalo lingemtuliza au kumpandisha na presha, mara jamaa anasema JANA😄.

Kwasasa hawezi kujua kitu kwasababu alipanick kijinga na kumpa mke wake nafasi ya kusawazisha.
 
Back
Top Bottom