Hii nafasi ningeipata mimi tena na ushahidi upo wazi kabisa hakuna hata haja ya kuomba ushauri JF nakupiga tofali mazima hapohapo kmmk hawa viumbe sio wa kuwachekea hata kidogo, mwanamke akishabanduliwa nje huyo si wako tena, viburi na jeuri vitaanza ndani ya nyumba na huo ndio mwanzo wa kufa mapema, Aisee wanaume hatupaswi kuishi na stress za kimapenzi, mimi kipindi niko zangu Morogoro kwenye mihangaiko jamaa zangu Mwanza walinicheki hewani, wakanambia bro muenendo anaonesha shemeji yetu hauridhishi na unawapa mashaka, nikawaambia elezeni yote mliyoyaona.
Na mimi machale yakaanza kunicheza huwa kila nikichati nae usiku ikifika saa tatu anajifanya amechoka anataka kulala kumbe ndio ulikuwa muda wa kuonana na hawala yake, baadae ukimpigia simu kuanzia saa nne na kuendelea huwa hapatikani hewani, asubuhi ukimuuliza anakwambia simu iliishiwa chaji.
Basi bhana siku moja hawala yake alimfata ili waende klabu usiku, kumbe yule bodaboda aliyewabeba ananifahamu vema na ana namba yangu ya simu, alipowashusha tu maeneo ya Villa Park pale kirumba jamaa akanicheki hewani na kunieleza ABC, palepale nilimpigia wife simu hakupokea kisha akawa amezima simu, kmmmk nilimuandikia sms za kufahamu kila kitu asubuhi alipowasha simu akakutana nazo akajidai kunipigia sikupokea simu yake. Huwa sipendi ufala ktk mahusiano yule maku nilimuacha kabla hata ya kufika Mwanza, wanaume lazima tuwe na maamuzi magumu kmmmk usiogope kuumia moyo kwani moyo hautouma milele.
Mimi ushauri wangu jamaa anatakiwa apige chini huyo mbwa akiendelea kuishi nae atakufa mapema mana tabia ni kama ngozi ya mwili huwezi kuibadili. Nasema piga chiniiiiiiii mbwa huyo.