Mke wangu amenipiga picha za makalio na kuzisave kwenye gallery

Mke wangu amenipiga picha za makalio na kuzisave kwenye gallery

Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.

Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.

Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.

Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Fantasy yake kiboko..
 
Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.

Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.

Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.

Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Kwahiyo mattako na sura yako vyote vinaonekana?
 
Pididi ana mkono mrefu nasadiki mkeo katumwa na pididi kufanya hivyo na pididi keshazipata hizo picha sio mda mrefu utafikiwa nae
 
Mwanaume una makalio makubwa akuliko mkeo ,yawezekana ana watumia wadau aki jinadi ni yeye
 
Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.

Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.

Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.

Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Atakukula soon
 
Kumbe wengine Wana ruksa/uhuru wa ku-dislike maoni ya wengine while wengine Hawana au wakirudisha inaumiza...?
Nifungieni kabisa Ili muwe na amani.
"Usichopenda kufanyiwa ,usimfanyie mwingine"
Moderator Active Paw
 
Mzee baba unaachaje tako wazi usiku,hii haifai ,nunua hata hizi jezi za Yanga ile kaptula uvae usiku
 
Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.

Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.

Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.

Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Mkiachana ataedt kuwa ulikuwa unaliwa na kuwatumia mabasha matako yako.

Wanawake hawa ni balaa siku hizi maisha ni kuviziana, halafu kwa nini ulale matako wazi huoni kama unawapa wepesi mapepo kukufumua malinda????..
 
Back
Top Bottom