The-unknown
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 1,228
- 1,447
Pole,
Haya ni maajabu kama maajabu mengine
Mimi cha kwanza ningehold simu, na nimuulize hizo pixha anafanyia nini,au anamuonyeshaga nani
Nina uhakika lazima kuna mtu kashawahi kuona hizo picha,
Make sure wakati unamhoji simu umeishika wewe,na ukifuta hakikisha na recycle bin umei empty,na google photo pia
Haya ni maajabu kama maajabu mengine
Mimi cha kwanza ningehold simu, na nimuulize hizo pixha anafanyia nini,au anamuonyeshaga nani
Nina uhakika lazima kuna mtu kashawahi kuona hizo picha,
Make sure wakati unamhoji simu umeishika wewe,na ukifuta hakikisha na recycle bin umei empty,na google photo pia