Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakutafutia wawekezaji.Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.
Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.
Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.
Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Kama nikweli huo niudhalirishaji either anatatizo la kisaiklojia huenda yuko addicted mambo flniviJana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.
Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.
Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.
Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Hebu weka picha tatu tuzifananishe ili tuthibitishe kuwa ni za mtu mmoja.Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.
Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.
Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.
Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Mzee umeongea kea hisia sana .mm ni mwanaume tena sawaswaMwanaume unalalaje hadu unapigwa picha za makalioni hujuwi. Wanaume hawalali wanapumzika tena siyo kizembe hivyo kama unajifunika kanga vile. Umetukosea wanaume wenzako heshima. Funika tako unapo lala.
Kunbe nilikuwa sijuikulala kuangalia juu sio zambi zambi kulalia tumbo
HUamini.Hebu weka picha tatu tuzifananishe ili tuthibitishe kuwa ni za mtu mmoja.
Hapana ila ni mlevi wa kufanya mazoezi.wewe ni mlevi ndugu
Kwanini iwe zambi?kulala kuangalia juu sio zambi zambi kulalia tumbo
Hapana ila ni mlevi wa kufanya mazoeziwewe ni mlevi ndugu
DarHaya matukio yanatokea mikoa gani mbona wanaume tumekuwa wapole sana.
angalia sanaHapana ila ni mlevi wa kufanya mazoezi.
Nakuwa nalala wa mangamnfamKwahio unavuliwa boksa hushtuki alo .... unalalaje ivyo jamani
Atakuwa anamatatizo ya akiliMmmh jaman jaman khaaaa
Ntakuja...urejeshi...Umeshauriwa umuulize kwanini amekupiga hizo picha,,,na uliangalia kama kuna sehemu amezituma? Ukimuuliza majibu atakayokupa urejeshe hapa yatasaidia wengine watakao kutwa na kadhia ya aina hiyo.