Mke wangu amenipiga picha za makalio na kuzisave kwenye gallery

Mpe alinyonye, analimezea mate. Wewe na yeye wote mko sawa, yeye kukupiga picha makalio yako ila kichefuchefu zaidi ni wewe kulimwaga janvini.
Kati yenu nashindwa kufahamu nani kichaa zaidi ya mwenzake.
 
 
Pengine mkeo ana mashaka na mienendo yako, hivyo anafanya research. Hebu angalia hizo picha zote zimepigwa siku moja au zimepigwa kwa interval.

Kama zimepigwa kwa interval, pengine anajaribu kuangalia kama kuna changes zozote zinazojitokeza.
 
Umetambuaje hiyo ni mikalio yako au umeyachora tattoo hivyo kuwa rahisi kujitambua.
Yaonyesha atakuwa anawaonyesha wadau wakifika dau nono ndo atakujuza upate mapesa kwa wadau walofika bei
 
Manama sana usiku ukiwa umekula? Ama mchana muda wowote unaachia mashuzi? Km ni Ndiyo anataka kujua kama kumelegea hapo kwenye kitobo! Punguza kujamba na fanya mazoezi ya kukaza misuli
 
yawezekana anapenda pegging
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…