Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

planexboi

Member
Joined
Aug 5, 2021
Posts
45
Reaction score
229
Week mbili sikuwepo nyumbani, nimerudi jana wife kanipokea vizuri tu, sasa inshu imetokea usiku wa kuamkia leo. Tena yeye ndo aliomba mchezo kwa kudai amenimic sana, mwanaume nikaitikia.

Wakati naendelea kuchakata niliona kama anatetemeka hivi afu kwa mbaali nikamsikia anasema Alexiiiiii (kwa sauti ya chini kabisa) nikashtuka nikamuuliza Alex ni nani, akajibu kwa mshangao na kuhoji Alex amehusikaje hapa ei mbona sijataja neno Alex.

Tangu usiku huo nilimwambia akalale sebuleni ili asubuhi anipe maelezo ya kueleweka la sivyo nikitoka kazini nisimkute.

ALEX ni nani, ni sharobaro flani hivi bodaboda wa mtaani kwetu, niliwahi kusikia kwa watu anachukua wake za watu ila sina uhakika.

Jioni narudi nyumbani, maoni yenu wadau.
 
week mbili sikuwepo nyumban,nimerudi jana wife kanipokea vizuri tu,sasa inshu imetokea usku wa kuamkia leo

tena yeye ndo aliomba mchezo kwa kudai amenimic sana,mwanaume nikaitikia,


wakat naendelea kuchakata niliona kama anatetemeka ivi af kwa mbaali nikamsikia anasema alexiiiiii (kwa saut ya chini kabsa)

nikashtuka nikamuuliza alex ni nan,akajibu kwa mshangao na kuhoji alex amehusikaje hapa et mbona sijataja neno alex.

tangu usiku huo nilimwambia akalale sebuleni ili asubuh anipe maelezo ya kueleweka la sivyo nikitoka kazini nisimkute.

ALEX ni nani
ni sharobaro flani ivi bodaboda wa mtaani kwetu ,niliwah kusikia kwa watu anachukua wake za watu ila sina uhakika.

jion narudi nyumban ,maoni yenu wadau
Daah!! Pole sana mkuu, Alex kashakuzidi kete ya namna ya kucharaza mbususu ya mkeo kuliko wewe mmiliki halali!

Kuanzia leo usile chips na mafutamafuta!
Kula karanga, mihogo mibichi, dona na fanya mazoezi upunguze minyamanyama na kitambi, afu mvutie mkeo masaa matatu ya match kila siku, hapo lazima amsahau Alex!

Usimwache mkeo kisa umegongewa, kumbuka kabla yako walikuwepo waliomgonga.
 
Ukirudi anza kukagua kwanza marinda ya my wife wako, hakikisha marinda yote 32 yamekamilika hakuna hata moja lililopotea.
Bodaboda huwa wanapenda kuwafanyia michezo michafu sana wake za watu, yaani wanahakikisha mpaka mkeo anakua addicted, asipomuona Alex ndani ya siku mbili anakua na alosto ya hatari.
 
Week mbili sikuwepo nyumbani, nimerudi jana wife kanipokea vizuri tu, sasa inshu imetokea usiku wa kuamkia leo. Tena yeye ndo aliomba mchezo kwa kudai amenimic sana, mwanaume nikaitikia.

Wakat naendelea kuchakata niliona kama anatetemeka hivi af kwa mbaali nikamsikia anasema alexiiiiii (kwa saut ya chini kabsa) nikashtuka nikamuuliza Alex ni nani, akajibu kwa mshangao na kuhoji Alex amehusikaje hapa ei mbona sijataja neno Alex.

tangu usiku huo nilimwambia akalale sebuleni ili asubuh anipe maelezo ya kueleweka la sivyo nikitoka kazini nisimkute.

ALEX ni nani
ni sharobaro flani ivi bodaboda wa mtaani kwetu ,niliwah kusikia kwa watu anachukua wake za watu ila sina uhakika.

jion narudi nyumban ,maoni yenu wadau
Imenikumbusha miaka hiyo wakati Bado nipo shababy, nilikuwa na toto langu la kirangi, sasa siku moja nipo juu napiga show!! Kwa miguvu ya kibabe, mtoto akasikia maumivu akawa ananisukuma kwamba anasikia kama utumbo unauma, badala ya kutaja jina langu, akatamka kwa sauti, Kelvin taratiiibu, naumia!!! Nilishikwa na hasira, nikamtia Kofi, mtoto aliomba msamaha, siku hiyo nilimtimua ghetto.
 
Imenikumbusha miaka hiyo wakati Bado nipo shababy,nilikuwa na toto langu la kirangi,sasa siku moja nipo juu napiga show!!,kwa miguvu ya kibabe,mtoto akasikia maumivu akawa ananiaukuma kwamba anasikia kama utumbo unauma,badala ya kutaja jina langu,akatamka kwa sauti ,Kelvin taratiiibu,naumia!!!Nilishikwa na hasira,nikamtia Kofi,mtoto aliomba msamaha,siku hiyo nilimtimua ghetto.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aaha hatari sana
 
Week mbili sikuwepo nyumbani, nimerudi jana wife kanipokea vizuri tu, sasa inshu imetokea usiku wa kuamkia leo. Tena yeye ndo aliomba mchezo kwa kudai amenimic sana, mwanaume nikaitikia.

Wakat naendelea kuchakata niliona kama anatetemeka hivi af kwa mbaali nikamsikia anasema alexiiiiii (kwa saut ya chini kabsa) nikashtuka nikamuuliza Alex ni nani, akajibu kwa mshangao na kuhoji Alex amehusikaje hapa ei mbona sijataja neno Alex.

Tangu usiku huo nilimwambia akalale sebuleni ili asubuh anipe maelezo ya kueleweka la sivyo nikitoka kazini nisimkute.

ALEX ni nani ni sharobaro flani Hivi bodaboda wa mtaani kwetu ,niliwah kusikia kwa watu anachukua wake za watu ila sina uhakika.

Jion narudi nyumban ,maoni yenu wadau

Budaz ndio wakali wa Temple na shaolin ndio zao, kikao usiache mpalange kwa stress za kudunu
 
Back
Top Bottom