Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

Acheni kumtisha mwenzenu bana,inawezakana Alex huwa tu anakuja nyumbani kuleta vitu vya sokoni hivyo mkewe kazoeana naye...
Kwendaaaaa haipoooo haipoo.. Mimi ikinikuta na nikataja jina la manzi ninaemgonga why nisitaje jina la mwanangu au beki tatu ambae kila siku nipo nae?????? UNATAJA JINA LA ALIEKUPA UTAMU.
 
mkewangu kanitumia sms nying sana za kuomba msamaha nimepiga kmya,sauti ya kumtaja alex niliisikia kwa umakini mno ,
Nakufuatilia mkuu. Acha hiyo takataka ingekuwa ni yenyewe ingekuacha bila huruma.
 
Issue yako ni ngumu Sana kupata ushauri wa direct chamuimu wew kubaliana na ukweli tu maana dhamiri imeshakupa sign ya kila kitu .. najua inauma Sana wew fwata moyo wako unahukumu vip Kama unampenda msamee Kama humpendi Sana mpe mda wakujirekebisha Kama humpendi kabisa.. fukuza

Au angalia hasara utakayoipata baada yakumfukuza ..

Then angalia faida utakayoipata usipo mfukuza

Kisha calculate .. utapata jibu

Kumbuka uwezi mchunga mwanamke ..
 
Alex ni bodaboda huenda huwa anambeba mkeo pale anapoenda sokon kuchukua mahitaji ya nyumbani

Sasa kilichofanya amtaje kakumbuka zile speed za bodaboda wakati anapowahi nyumbani kukupikia mme wake ili ukirudi ukute kila kitu kipo sawa.

Mkeo huenda anakupenda japo Kuna washauri watataka umpoteze
Malaya na wachawi BIBLIA imetamka WAACHWE..!!

#YNWA
 
Sasa kama Alex ndo kiboko ya wake za watu yawezakuwa ana mbinu za kirussia mkeo alishindwa kuchomoa kwake brother . Tafuta namna ya kuupata ukweli na kudeal na Alex kadiri iwezekananavyo na kama na ikiwezekana kuleni marinda zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alisikika akisema JESUS ila wewe ulisikia ALEX - Msamehe bure
 
Dah anyway sitaki kukukatisha tamaa sana inawezekana wife wako alikusudia kusema ashiiiii we ukasikia exxxxx mwishoni[emoji2296]nachokushauri mkalishe chini muyajenge usioaniki japo mistakes hutoke[emoji119]
 
Week mbili sikuwepo nyumbani, nimerudi jana wife kanipokea vizuri tu, sasa inshu imetokea usiku wa kuamkia leo. Tena yeye ndo aliomba mchezo kwa kudai amenimic sana, mwanaume nikaitikia.

Wakat naendelea kuchakata niliona kama anatetemeka hivi af kwa mbaali nikamsikia anasema alexiiiiii (kwa saut ya chini kabsa) nikashtuka nikamuuliza Alex ni nani, akajibu kwa mshangao na kuhoji Alex amehusikaje hapa ei mbona sijataja neno Alex.

Tangu usiku huo nilimwambia akalale sebuleni ili asubuh anipe maelezo ya kueleweka la sivyo nikitoka kazini nisimkute.

ALEX ni nani ni sharobaro flani Hivi bodaboda wa mtaani kwetu ,niliwah kusikia kwa watu anachukua wake za watu ila sina uhakika.

Jion narudi nyumban ,maoni yenu wadau
Allex pia ni gari ndugu mume wa mke...
 
Lakini blaza mbona kama jibu unalo

IMG_20220219_144047.jpg
 
Back
Top Bottom