Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

Piga chini....kuanza upya sio kosa
 
Mkuu, umesema ametaja kwa sauti ya chini kwaio hauna uhakika na neno alilolitaja, ni vyema kuchunguza, anza kufatilia matendo yake, mwanamke kama anakusaliti ni rahisi mno kujua, kiburi kitaongezeka, dharau, uongo nk
Anza kumchunguza kwenye simu, anaongea na nani, ana chat na nani, zuga unasafiri alafu rudi home kwa kumshtukiza, utajua tu. Ila usimuache mke wako bila prove.
 
Omba Sana yasikukute HAYA....

MSAMEHE MKEO,KAPITIWA INAWEZEKANA HUMTAFUNI VIZURI...AU PIA INAWEZEKANA WEWE PIA UNATOKA NJE,AMEVUMILIA AMECHOKA

okoa ndoa YAKO...
 
Hii Ni changamoto Sana Mkuu[emoji848]

Boda keshamla mkeo,
Kuna wapuuz watakuja kukushaur wakulaumiwa Ni uyo mkeo, Alex Hana tatizo kabisa usishughulike nae.

Ilhali alijua nn anakifanya
 
sasa kama Alex ndo kiboko ya wake za watu yawezakuwa ana mbinu za kirussia mkeo alishindwa kuchomoa kwake brother . Tafuta namna ya kuupata ukweli na kudeal na Alex kadiri iwezekananavyo na kama na ikiwezekana kuleni marinda zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ndo USHAUR wa kiume Sasa,
Hawa vijana barobaro Ni janga Sana kwny mahusiano ya Watu.

Hii ishakua tabia Sasa,
Vijana wanaona sifa kutembea na work za Watu.

Na wakishatembea na mkeo wakikaa uko wanasanifu kwelikweli
 
Mi naona hapo tarizo siyo alex kumega mkeo. Tatizo ni elex kujulikana kwa tabia ya kula wake za watu. Kwanini usiashumu tu wife alitaja jesus ukasikia vibaya ili uupe amani ya uongo moyo wako ndugu
Kama ilivyo uwezi kumdanganya MUNGU basi huwezi kujidanganya mwenyewe Moyo tu utauma
 
Dah!sipati picha huyo alex bodaboda alivyompiga show za kibabe mkeo mpaka ukasahaulika mzee baba,kwa hiyo ulivyomkoleza akahisi yuko na alex
 
Alex, au cheers, ujue wanaume wezi wa wake za watu wanajua mchezo kuliko wenye mali rasmi, kanyonywa papuchi, michezo yote, we kuweza, ukirud umechoka ligi huwez vizur, ndomana mnaliwa wake zenu.
 
Back
Top Bottom