Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

Alex ni bodaboda huenda huwa anambeba mkeo pale anapoenda sokoni kuchukua mahitaji ya nyumbani

Sasa kilichofanya amtaje kakumbuka zile speed za bodaboda wakati anapowahi nyumbani kukupikia mme wake ili ukirudi ukute kila kitu kipo sawa.

Mkeo huenda anakupenda japo kuna washauri watataka umpoteze
 
Week mbili sikuwepo nyumbani, nimerudi jana wife kanipokea vizuri tu, sasa inshu imetokea usiku wa kuamkia leo. Tena yeye ndo aliomba mchezo kwa kudai amenimic sana, mwanaume nikaitikia.

Wakat naendelea kuchakata niliona kama anatetemeka hivi af kwa mbaali nikamsikia anasema alexiiiiii (kwa saut ya chini kabsa) nikashtuka nikamuuliza Alex ni nani, akajibu kwa mshangao na kuhoji Alex amehusikaje hapa ei mbona sijataja neno Alex.

Tangu usiku huo nilimwambia akalale sebuleni ili asubuh anipe maelezo ya kueleweka la sivyo nikitoka kazini nisimkute.

ALEX ni nani ni sharobaro flani Hivi bodaboda wa mtaani kwetu ,niliwah kusikia kwa watu anachukua wake za watu ila sina uhakika.

Jion narudi nyumban ,maoni yenu wadau

The obvious, help, hellos, send help, one solider down!

Wewe hujamfungulia biashara, Ila Yule anayeleta gas apike ndo kamla!

Siku mtu akimwelewa mwanamke atakuwa ameshakufa!
 
Acheni kumtisha mwenzenu bana,inawezakana Alex huwa tu anakuja nyumbani kuleta vitu vya sokoni hivyo mkewe kazoeana naye...
 
Kabla ya hapo alikuwa kashakagua Simu enzi za Nokia tochi 2012 akakuta nimesevu huyo mwingine na ki[emoji3590] mbele ya jina akamaindi haswa. Niliachika Mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daa pisi kali ikakumwaga kisa utopoloo
 
Back
Top Bottom