Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hakutajwa Alex jamaa atazingua sanaa ila kama kamtaja kweli bhasi kamgongaaa yaniHuenda ni wenge tuu, hata hakutajwa Alex hapo, wivu ugonjwa ujue
Aiseee acha tu... sema ukute mwanamke anaekupenda hasaaa!! Ndo ataweza kukusameheAisee sitasahau nilipokosa Papuchi ya Mrembo wangu Mmoja kisa kutaja jina La niliyekuwa namla wakati yeye yupo chuo dah. Nilimkosa Mke wa maisha yangu!
Hapa ndio ushauri wa mr Liverpool VPN unapokuwa applicable.Ndo maana tunamwambia Ukweli alex kamdinya mkewe..
Week mbili sikuwepo nyumbani, nimerudi jana wife kanipokea vizuri tu, sasa inshu imetokea usiku wa kuamkia leo. Tena yeye ndo aliomba mchezo kwa kudai amenimic sana, mwanaume nikaitikia.
Wakat naendelea kuchakata niliona kama anatetemeka hivi af kwa mbaali nikamsikia anasema alexiiiiii (kwa saut ya chini kabsa) nikashtuka nikamuuliza Alex ni nani, akajibu kwa mshangao na kuhoji Alex amehusikaje hapa ei mbona sijataja neno Alex.
Tangu usiku huo nilimwambia akalale sebuleni ili asubuh anipe maelezo ya kueleweka la sivyo nikitoka kazini nisimkute.
ALEX ni nani ni sharobaro flani Hivi bodaboda wa mtaani kwetu ,niliwah kusikia kwa watu anachukua wake za watu ila sina uhakika.
Jion narudi nyumban ,maoni yenu wadau
Tayari nn mkuu?Tayari
Kuweni makini na ushauri mnaotoa humu. Hii ni ndoa mjue
Uterez ushatolewa mkuuTayari nn mkuu?
mkewangu kanitumia sms nying sana za kuomba msamaha nimepiga kmya,sauti ya kumtaja alex niliisikia kwa umakini mno ,
Kuomba ushauri sio kujianika.Yeye mwenyewe sio Makini asingesema humu
Kabla ya hapo alikuwa kashakagua Simu enzi za Nokia tochi 2012 akakuta nimesevu huyo mwingine na ki❤️ mbele ya jina akamaindi haswa. Niliachika MkuuAiseee acha tu... sema ukute mwanamke anaekupenda hasaaa!! Ndo ataweza kukusamehe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daa pisi kali ikakumwaga kisa utopolooKabla ya hapo alikuwa kashakagua Simu enzi za Nokia tochi 2012 akakuta nimesevu huyo mwingine na ki[emoji3590] mbele ya jina akamaindi haswa. Niliachika Mkuu