[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Daaaahhh, Alex alikuwa anakuja kula kila siku mpaka tigo.
Unaweza kuua mtu kimasihara
Yaani kapoteza hisia kwako anazivutia kwa Alex.
Wanawake mtuonee huruma basi
[emoji16][emoji16]Kuna gari inaitwa Toyota Allex. Itakuwa anapanga kukununulia,anaiwaza sana
Kijana kosa lake lipi Sasa !? [emoji16][emoji16][emoji16]Amtie adabu uyo kijana[emoji4]
Ifike mahali vijana waheshimu Mali za watu
Mimi mwenyewe nilidhani ni wakubwa , kumbe Ni ma junior katika hii sekta ndio maana wamepigwa na tukio la usaliti daahh!! [emoji16][emoji16][emoji16]Me nadhani ni watu wazima kumbe bado makinda kabisa[emoji2][emoji2][emoji2]maisha yaendelee
[emoji16][emoji16][emoji16] machine yote ikamsinyaaAshaujue ukweli sema[emoji3][emoji3][emoji3]
Acha tu inauma sana Kuchapiwaaa hapana aiseee...!![emoji16][emoji16][emoji16] machine yote ikamsinyaa
Ukiona manyoya ujue tayari [emoji3]Week mbili sikuwepo nyumbani, nimerudi jana wife kanipokea vizuri tu, sasa inshu imetokea usiku wa kuamkia leo. Tena yeye ndo aliomba mchezo kwa kudai amenimic sana, mwanaume nikaitikia.
Wakat naendelea kuchakata niliona kama anatetemeka hivi af kwa mbaali nikamsikia anasema alexiiiiii (kwa saut ya chini kabsa) nikashtuka nikamuuliza Alex ni nani, akajibu kwa mshangao na kuhoji Alex amehusikaje hapa ei mbona sijataja neno Alex.
Tangu usiku huo nilimwambia akalale sebuleni ili asubuh anipe maelezo ya kueleweka la sivyo nikitoka kazini nisimkute.
ALEX ni nani ni sharobaro flani Hivi bodaboda wa mtaani kwetu ,niliwah kusikia kwa watu anachukua wake za watu ila sina uhakika.
Jion narudi nyumban ,maoni yenu wadau
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mnoooooAcha tu inauma sana Kuchapiwaaa hapana aiseee...!!
Ukirudi anza kukagua kwanza marinda ya my wife wako, hakikisha marinda yote 32 yamekamilika hakuna hata moja lililopotea.
Bodaboda huwa wanapenda kuwafanyia michezo michafu sana wake za watu, yaani wanahakikisha mpaka mkeo anakua addicted, asipomuona Alex ndani ya siku mbili anakua na alosto ya hatari.
Kamba hiiWeek mbili sikuwepo nyumbani, nimerudi jana wife kanipokea vizuri tu, sasa inshu imetokea usiku wa kuamkia leo. Tena yeye ndo aliomba mchezo kwa kudai amenimic sana, mwanaume nikaitikia.
Wakat naendelea kuchakata niliona kama anatetemeka hivi af kwa mbaali nikamsikia anasema alexiiiiii (kwa saut ya chini kabsa) nikashtuka nikamuuliza Alex ni nani, akajibu kwa mshangao na kuhoji Alex amehusikaje hapa ei mbona sijataja neno Alex.
Tangu usiku huo nilimwambia akalale sebuleni ili asubuh anipe maelezo ya kueleweka la sivyo nikitoka kazini nisimkute.
ALEX ni nani ni sharobaro flani Hivi bodaboda wa mtaani kwetu ,niliwah kusikia kwa watu anachukua wake za watu ila sina uhakika.
Jion narudi nyumban ,maoni yenu wadau
Harafu ataenda kueleza nini huko ukweni? Kwa nini anatoa taraka? πππKama hakutajwa alex jamaa atazingua sanaa ila kama kamtaja kweli bhasi kamgongaaa yani
Mleta mada hajasema kama wamefunga Ndoa lakini..Kuweni makini na ushauri mnaotoa humu. Hii ni ndoa mjue
[emoji23][emoji23]Alexiii
Na hajasema pia kama hajafunga ndoa.Mleta mada hajasema kama wamefunga Ndoa lakini..
Kwa comment yako ulimaanisha amefunga Ndoa, otherwise you are nullifying you comment mkuu.Na hajasema pia kama hajafunga ndoa.
Soma tittle ya thread.Kwa comment yako ulimaanisha amefunga Ndoa, otherwise you are nullifying you comment mkuu.