Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

Jaman acha kumpa mwenzio stress
 
Mkuu,mkeo ndio yule mdada wa ile nyumba ina bati la Msouth ?
Hapo nyuma mtaa wa pili karibu na dukani?white kiasi!!?.
Kama ni yeye basi Allex anafyatua mzigo huo

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
mkewangu kanitumia sms nying sana za kuomba msamaha nimepiga kmya,sauti ya kumtaja alex niliisikia kwa umakini mno ,
Tatizo ni moja wapo wanawake wana tabia za umalaya hata awe anakupenda wewe yaani anakuwa hivo tu sasa daah angalia kama anakupenda. Kama hakupendi piga chini.
 

Alex mwenyewe anasemaje sasa!?
 
Alex atakuwa anamkuna vzr siajabu mpka jicho anamla

Ova
 
Alimtaje Alex mtoa bikra yake itakua nawewe piga goti chini iwe ngoma droooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…