Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

Daah!! Pole sana mkuu,, Alex kashakuzid kete ya namna ya kucharaza mbususu ya mkeo kuliko wewe mmiliki halali!

Kuanzia leo usile chips na mafutamafuta!
Kula karanga ,, mihogo mibichi, dona na fanya mazoezi upunguze minyamanyama na kitambi,, afu mvutie mkeo masaa matatu ya match kila siku,, hapo lazima amsahau Alex!

Usimwache mkeo kisa umegongewa,, kumbuka kabla yako walikuwepo waliomgonga
Jaman acha kumpa mwenzio stress
 
Mkuu,mkeo ndio yule mdada wa ile nyumba ina bati la Msouth ?
Hapo nyuma mtaa wa pili karibu na dukani?white kiasi!!?.
Kama ni yeye basi Allex anafyatua mzigo huo

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Sipati picha boda alivyokua anamkamua
FB_IMG_1644471147668.jpg


Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
mkewangu kanitumia sms nying sana za kuomba msamaha nimepiga kmya,sauti ya kumtaja alex niliisikia kwa umakini mno ,
Tatizo ni moja wapo wanawake wana tabia za umalaya hata awe anakupenda wewe yaani anakuwa hivo tu sasa daah angalia kama anakupenda. Kama hakupendi piga chini.
 
Week mbili sikuwepo nyumbani, nimerudi jana wife kanipokea vizuri tu, sasa inshu imetokea usiku wa kuamkia leo. Tena yeye ndo aliomba mchezo kwa kudai amenimic sana, mwanaume nikaitikia.

Wakati naendelea kuchakata niliona kama anatetemeka hivi afu kwa mbaali nikamsikia anasema Alexiiiiii (kwa sauti ya chini kabisa) nikashtuka nikamuuliza Alex ni nani, akajibu kwa mshangao na kuhoji Alex amehusikaje hapa ei mbona sijataja neno Alex.

Tangu usiku huo nilimwambia akalale sebuleni ili asubuhi anipe maelezo ya kueleweka la sivyo nikitoka kazini nisimkute.

ALEX ni nani, ni sharobaro flani hivi bodaboda wa mtaani kwetu, niliwahi kusikia kwa watu anachukua wake za watu ila sina uhakika.

Jioni narudi nyumbani, maoni yenu wadau.

Alex mwenyewe anasemaje sasa!?
 
Alex atakuwa anamkuna vzr siajabu mpka jicho anamla

Ova
 
Alimtaje Alex mtoa bikra yake itakua nawewe piga goti chini iwe ngoma droooo
 
Back
Top Bottom