Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
90% ya content inatakiwa itokane na main heading bhana.Umesoma 'cover' la kitabu, ukakimbia; watu wengi wanafeli kutokana na mihemko, fungua kurasa za kitabu usome na uelewe.
Michepuko inayonipiga mizinga yote nimeitupilia mbali, sasa ni kulelewa tu na bi mkubwa 😀Muda wote kwako Chai haikosekani.😂😂
Sawa90% ya content inatakiwa itokane na main heading bhana.
Hiyo michepukos unayo sasa?😏😏 Huyo bi mkubwa wa ndotoni 😂Michepuko inayonipiga mizinga yote nimeitupilia mbali, sasa ni kulelewa tu na bi mkubwa 😀
Si ajabu nikawa nabishana na mmoja wapo hapa, kwa sababu hizi ID sio za kuziamini 😀Hiyo michepukos unayo sasa?😏😏 Huyo bi mkubwa wa ndotoni 😂
😂😂😂Eqn x .ingetoka miujiza, Ningekua mchepuko au mke wa ww ningekunywa sumu kwa Furaha kulikoSi ajabu nikawa nabishana na mmoja wapo hapa, kwa sababu hizi ID sio za kuziamini 😀
Na bwana mwenyewe ndio mimi hapaWanasema mke mwema hutoka kwa bwana
Mpaka hapo ulipo nakuona una furaha sana, chukua lubisi hapo kwa mbwenu, nitakutumia salio kwa jf pesa😂😂😂Eqn x .ingetoka miujiza, Ningekua mchepuko au mke wa ww ningekunywa sumu kwa Furaha kuliko
Shetani akamchukua mwana wa adamu na kumpeleka kwenye kilele cha mlima na kumuambia, ukiniabudu na kunisujudia hizi mali zote za dunia nitakupatia.Na bwana mwenyewe ndio mimi hapa
Haha mimi mwanaume ndio natumaga. Unapaswa umuulize yeye namtumiaga kiasi gani?🤔Amekuatumia kiasi gani? 😀
Afu wewe nitakuja kukusuta...shauri zako!Mtumie salio, ili kuthibitisha umetoka kwa bwana 😀