Mke wangu ametulaza njaa kwa mapishi ya YouTube

Mke wangu ametulaza njaa kwa mapishi ya YouTube

Piga chini!!!!
Ila you tube me mwenyewe ilinipa hasara kwenye mapishi ya tambi nyama Bora kumfatilia Mwinchaluwi
Yani kuchemsha tambi nako kunakushinda?

Au wewe ndio wale wanazikata tambi ?badala ya kuchemsha maji yakishachemka ndio unaweka mafuta na chumvi na kuziingiza tambi nzima nzima na urefu wake bila kuzikata.

Kuandaa rost ya nyama ya kuchanganya na tambi kunakushinda?
 
Divorce that hoe
Hivi humu kichwani mna akili kweli? Mpikie mke wako aonje mapishi yako na wewe.

Kupika ni sanaa na kuna ukanda wa mapishi, Tanga kuna chai ya nazi.

Chapati tu na maandazi ni sanaa kuandaa hizo bites, utakuta binti wa kiswahili mdogo tu anatengeneza chapati laini tamu, siri ipo kwenye ukandaji wa ngano.

Hawa kina mama wa Kiswahili mitaani wanauza supu kwa buku tu ina radha, wewe mvaa tai unakwenda kuuziwa supu sh elfu tano halafu taste haina mchuzi hauna radha.
 
Hivi humu kichwani mna akili kweli? Mpikie mke wako aonje mapishi yako na wewe.

Kupika ni sanaa na kuna ukanda wa mapishi, Tanga kuna chai ya nazi.

Chapati tu na maandazi ni sanaa kuandaa hizo bites, utakuta binti wa kiswahili mdogo tu anatengeneza chapati laini tamu, siri ipo kwenye ukandaji wa ngano.

Hawa kina mama wa Kiswahili mitaani wanauza supu kwa buku tu ina radha, wewe mvaa tai unakwenda kuuziwa supu sh elfu tano halafu taste haina mchuzi hauna radja.
Hakuna chai ya nazi tusidanganyane
 
Ha
Hivi humu kichwani mna akili kweli? Mpikie mke wako aonje mapishi yako na wewe.

Kupika ni sanaa na kuna ukanda wa mapishi, Tanga kuna chai ya nazi.

Chapati tu na maandazi ni sanaa kuandaa hizo bites, utakuta binti wa kiswahili mdogo tu anatengeneza chapati laini tamu, siri ipo kwenye ukandaji wa ngano.

Hawa kina mama wa Kiswahili mitaani wanauza supu kwa buku tu ina radha, wewe mvaa tai unakwenda kuuziwa supu sh elfu tano halafu taste haina mchuzi hauna radja.
Hapo chai ya nazi mkuu hio ni kamba unataka utupige . Halafu tanga sio kama zamani mimi naijua tanga na viunga vyake angalau watoto wa kidogo wa mjini wanajua ila wa digoni kijijini huko gombero , jasini, kibafuta, ndaoya, chongoleani, etc etc wanajua kupika mihogo na ugali tu wasambaa na wabondei ndio hamna kitu
 
Niliambiwa kuna chakula nipikiwe, chakufanya, nimtume boda ingredients, nikasema sawa.

Ingredients zikaja, mapishi yakaanza, na tukaandaa matumbo ya chakula kizuri.

Chakula kimeiva, kila anaekula haelewi, sasa sijui kasosea steps au ni vipi ila haya mapishi ya YouTube sio poa kabisa.
Sasa umekuja JF kula? ila inachekesha
 
Niliambiwa kuna chakula nipikiwe, chakufanya, nimtume boda ingredients, nikasema sawa.

Ingredients zikaja, mapishi yakaanza, na tukaandaa matumbo ya chakula kizuri.

Chakula kimeiva, kila anaekula haelewi, sasa sijui kasosea steps au ni vipi ila haya mapishi ya YouTube sio poa kabisa.
Pekee nilichogundua kuhusiana na upishi mzuri ni kipaji. Mtu anaweza kujua kupika lakini asiwe na kipaji cha kupika.

Ukitaka kufahamu mwenye kipaji cha upishi kwa njia rahisi ni anaweza kupika chochote bila kuonja kabisa na kila kitu kikawa on point. Na pia anaweza kuona pishi jipya akalichukua kama wazo tu kisha akapika kwa namna anavyoona yeye.

Hivyo basi, mapishi ni karama. Nia njema ya mkeo usimvunje moyo. Taratibu ataweza kuwaleteeni mapishi mapya mkafurahia, mpeni moyo na kumshauri kwa upendo alichokosea.
 
Pekee nilichogundua kuhusiana na upishi mzuri ni kipaji. Mtu anaweza kujua kupika lakini asiwe na kipaji cha kupika.

Ukitaka kufahamu mwenye kipaji cha upishi kwa njia rahisi ni anaweza kupika chochote bila kuonja kabisa na kila kitu kikawa on point. Na pia anaweza kuona pishi jipya akalichukua kama wazo tu kisha akapika kwa namna anavyoona yeye.

Hivyo basi, mapishi ni karama. Nia njema ya mkeo usimvunje moyo. Taratibu ataweza kuwaleteeni mapishi mapya mkafurahia, mpeni moyo na kumshauri kwa upendo alichokosea.
Mfano nyama tu, Wachaga wa rombo kwenye majiko wameibunia kila aina ya mapishi.

Kuna kokoto, Jirambe, Makange, rost, foil and etc.

Binafsi nikiamuwa kuingia jikoni naweza kudesign pishi lolote kasoro mamichele ndio sina mzuka wa mapish yake napenda kupikiwa mimi wali nazi mboga nazi, mapishi ya nazi yamenipita kushoto sana.
 
Wanaume wa siku hizi tuna matatizo sana, yaan chakula tuu mtu anakuja kuanziaha Uzi JF,
Hapana hao siyo wanaume ni wavulana, shida ipo kwenye malezi.

Mwaka jana mtoto wangu wa kiume nimemkuta nyumbani hajakula na kwenye fliji kuna mboga ya kupasha moto tu.

Nilichofanya ni kusimama naye full time kwenye jiko la gas ajifunze ugali unasongwaje mpaka unaiva na usiwe na mabuja, imagine ni kijana anaingia University ndio kusema atakuwa anakula chips vumbi tu?
 
We mtu umemtoa chipolopolo huko unaenda kumpa apike chakula cha youtube,
Jinga kabisa
Ye kazoea kuchemsha viazi na kupika makande, we umepata vihela vya bando unamletea vyakula vya youtube.
 
Hivi humu kichwani mna akili kweli? Mpikie mke wako aonje mapishi yako na wewe.

Kupika ni sanaa na kuna ukanda wa mapishi, Tanga kuna chai ya nazi.

Chapati tu na maandazi ni sanaa kuandaa hizo bites, utakuta binti wa kiswahili mdogo tu anatengeneza chapati laini tamu, siri ipo kwenye ukandaji wa ngano.

Hawa kina mama wa Kiswahili mitaani wanauza supu kwa buku tu ina radha, wewe mvaa tai unakwenda kuuziwa supu sh elfu tano halafu taste haina mchuzi hauna radha.
Hapa kwenye supu umepiga penyewe mkuu, migahawa mingi mikubwa supu kwao ni kipengele, chapati ndio mamaa wengi hawazijulii.

Ila huku kajambanani, supu inakua supu kweli na chapati laini na bei chee.
 
Hapa kwenye supu umepiga penyewe mkuu, migahawa mingi mikubwa supu kwao ni kipengele, chapati ndio mamaa wengi hawazijulii.

Ila huku kajambanani, supu inakua supu kweli na chapati laini na bei chee.
Ukiona supu inazidi bei ya shilling 2000 na chapati bei inazidi shilling 300 ujuwe hapo unalipishwa kodi ya jengo na viti na si chakula.
 
Hapa kwenye supu umepiga penyewe mkuu, migahawa mingi mikubwa supu kwao ni kipengele, chapati ndio mamaa wengi hawazijulii.

Ila huku kajambanani, supu inakua supu kweli na chapati laini na bei chee.
Ndio maana vijana wanaamua kula chips tu, yani unakuja mgahawa wana jibrand kama executive vile ila mapishi hamna kitu. Halafu wanaweka sana haya maviungo artificial .
 
Back
Top Bottom