Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
😂😂 ujasema bado chakula ganiNiliambiwa kuna chakula nipikiwe, chakufanya, nimtume boda ingredients, nikasema sawa.
Ingredients zikaja, mapishi yakaanza, na tukaandaa matumbo ya chakula kizuri.
Chakula kimeiva, kila anaekula haelewi, sasa sijui kasosea steps au ni vipi ila haya mapishi ya YouTube sio poa kabisa.
Ulikosea wapi au uliacha jikon ukaingia kulalaJuzi nilijaribu kupika kama mdogo wetu Mwachiluwi vitu viliuungua vikawa vyeusi kama mkaa , ikabidi nitupilie mbali na masufuria yake , hayafai hata kuyaosha tena.
Dah kwa mimi kupika ni muhimu sana bro ili kupunguza gharama za maisha itabidi nikutafute aiseeUlikosea wapi au uliacha jikon ukaingia kulala
Ahahah jina langu ndio lina andikwa ivyo 😂Piga chini!!!!
Ila you tube me mwenyewe ilinipa hasara kwenye mapishi ya tambi nyama Bora kumfatilia Mwinchaluwi
Hapana hao siyo wanaume ni wavulana, shida ipo kwenye malezi.
Mwaka jana mtoto wangu wa kiume nimemkuta nyumbani hajakula na kwenye fliji kuna mboga ya kupasha moto tu.
Nilichofanya ni kusimama naye full time kwenye jiko la gas ajifunze ugali unasongwaje mpaka unaiva na usiwe na mabuja, imagine ni kijana anaingia University ndio kusema atakuwa anakula chips vumbi tu?
Karibu sanaDah kwa mimi kupika ni muhimu sana bro ili kupunguza gharama za maisha itabidi nikutafute aisee
Iyo mboga siri ase kitunguu swahumu kinatoa hamu ya kula atakama chakula unakipenda ukishaweka kwenye mboga tu kosa alafu kinakuwa kibishi ndio shidaMimi kwetu kuna kipindi waligundua kuweka vitunguu swaumu kwenye mboga aisee tulikoma kila mboga wanayaweka tu.
HahahaNiliambiwa kuna chakula nipikiwe, chakufanya, nimtume boda ingredients, nikasema sawa.
Ingredients zikaja, mapishi yakaanza, na tukaandaa matumbo ya chakula kizuri.
Chakula kimeiva, kila anaekula haelewi, sasa sijui kasosea steps au ni vipi ila haya mapishi ya YouTube sio poa kabisa.
Pika kwa sababu za kiafya, taste na kula unachotaka, lakini kibongobongo kupiga home ni gharama kuliko kula juu kwa juu.Dah kwa mimi kupika ni muhimu sana bro ili kupunguza gharama za maisha itabidi nikutafute aisee
Mimi naosha sahani yangu mpaka leo, mtoto ni nani asioshe chombo chake?Malezi yako tangu utoto si mnasema mtoto wa kiume asioshe vyombo ata anacho tumia
Mhm ni kweli ila bongo inakuaje kupika inakua juu zaidi ?Pika kwa sababu za kiafya, taste na kula unachotaka, lakini kibongobongo kupiga home ni gharama kuliko kula juu kwa juu.
Buku, buku jero, buku mbili unakula kwa vendors wa misosi.Mhm ni kweli ila bongo inakuaje kupika inakua juu zaidi ?
Mnajidanganya sana hasa kwa US kuna mama ntilie kina kona na vyakula mpaka dola 4 mpaka kumi kwa kibongo ni kawaida tu, je unafahamu US kuna maduka kila kitu ni dollars moja ? 2000 mpaka 3000 ya kitanzania?Buku, buku jero, buku mbili unakula kwa vendors wa misosi.
Kwa wenzentu hakuna hawa mama lishe.
Imagine ukienda kwenye chips vumbi 5000 inaondoka kwa chakula, wasingekuwepo hawa mama lishe bachela wote wangekuwa wanapika.
Hata majumbani kama mko wawili au watatu usiku unatuma hotpot kununuwa chakula kwao unaokowa muda na gas.
Dollars Tree?Buku, buku jero, buku mbili unakula kwa vendors wa misosi.
Kwa wenzentu hakuna hawa mama lishe.
Imagine ukienda kwenye chips vumbi 5000 inaondoka kwa chakula, wasingekuwepo hawa mama lishe bachela wote wangekuwa wanapika.
Hata majumbani kama mko wawili au watatu usiku unatuma hotpot kununuwa chakula kwao unaokowa muda na gas.
Si ndivyo mnavyo walea watoto wenuMimi naosha sahani yangu mpaka leo, mtoto ni nani asioshe chombo chake?
Migahwani tatizo nadhani ni gharama za uendeshaji ni kubwa hivyo wanajitahidi kupunguza baadhi ya vitu ili wafidie gharama.Ndio maana vijana wanaamua kula chips tu, yani unakuja mgahawa wana jibrand kama executive vile ila mapishi hamna kitu. Halafu wanaweka sana haya maviungo artificial .
Mimi huwa nakimbia miguu iguse kisogo, supu zaidi ya buku 2 na chapati jero. Chapati zenyewe kaukau na supu finyango 2 kwenyd kibakuli kidogo.Ukiona supu inazidi bei ya shilling 2000 na chapati bei inazidi shilling 300 ujuwe hapo unalipishwa kodi ya jengo na viti na si chakula.