King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hao watu ukiwachukulia serious hauwezi kuishi nao ,bora uwapuuzie tu.Duuh pole sana mkuu kwa hiyo changamoto, hawa wanawake wanashida sana sikuhizi
Sasa mmewe hayupo halafu kaweka kijiti means alikuwa anauza mechi?
Halafu hivyo vijiti vibaya sana vinawaletea shida sana ,anaweza akawa anaenda Moon hata 2 times kwa mwezi halafu kwa siku hadi 7 ndiyo inakata.