King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hao watu ukiwachukulia serious hauwezi kuishi nao ,bora uwapuuzie tu.Duuh pole sana mkuu kwa hiyo changamoto, hawa wanawake wanashida sana sikuhizi
Alichukulia easy na ndo maka kakwambia easy piaSawa nakubali, ila kwanini asingenijulisha ili kuondoa sintofaham.
muulize kulikoniAmeweka nkiwa sipo ili azuie mimba ya nani.
Mkeo amekustiri,usilalamike una jidhalilisha.WEEE hahaha nimesema watoto wa wasimbe msijbu chochote au hukuwepo.
Kuomba mchezo kwa kila mdada utakayekuwa na urafiki naye hakukufanyi ww uonekane rijali... Zaidizaidi utaonekana malaya km malaya wengineWewe endelea kulala na kina dada bila kuomba mchezo, I guarantee you usikute washakuona wewe ni wale wale tu (kijanadume wa Dar), hauna jipya na ndiyo maana wanapenda kuja kwako wakijuwa hauna lolote.
Ni kawaida kwamba achome asije mshikia nyingine ama asije kumkilaKwenye clinic anapompeleka mtoto kupima ile Kila mwezi wanatoaga elimu ya uzazi wa mpango na hivi mtoto Bado mdogo
Nikawaida usianze kutafuta yasiyokuwepo
Wanawake ambao wanalea watoto wakienda Clinic huwa wanabembelezwa sana kuwekewa buduma ya uzazi wa mpango hasa njia ya kijiti. Na huambiwa ukitaka kuzaa tena njoo tukutoe, hivyo wanamwake wengine huona sio big issue ya kujadiliana na mwenza wake. Tatizo ndio huanzia hapo. Inawezekana hata yeye aliwaambia hao wauguzi kuwa mume wangu hana taarifa wakamwambia haina shida kwani mnalea mtoto mdogo mkitaka kuzaa tena njoo ukitoe. Na huambiwa njia ya uzazi wa mpango humsaidia hata mwenza wako kwa atafurahia tendo kama zamani bila kumwaga manii nje au kutumia Condom kuogopa ujauzito.
Na kumbuka huduma hiyo ni bure kabisa.
Kwa hiyo ushauri wangu usimfikirie vibaya kaa nae chini mwambie hujapenda alichofanya siku nyingine akushirikishe.
Baba tena, ni heri ungesema mama. Ana wazazi woteMkeo amekustiri,usilalamike una jidhalilisha.
Wewe unadhani ujasiri wa kufanya hayo bila ridhaa yako kautoa wapi? Inaonekana hukulelewa na baba yako wewe dogo kiasi cha kutokujua protocol.
Kuna NJEMBA linapasua MBUNYE ya mkeo.
Ndo unachotaka kusikiaaa.....
SASA BASI, mfukuze mkeo.
Cc: Mbaga Jr Poor Brain Lamomy
Ndiyo maana una lia lia.Baba tena, ni heri ungesema mama. Ana wazazi wote