Mke wangu ameweka kijiti cha uzazi wa mpango bila kunishirikisha tena nkiwa mbali kwa miezi minne

Mke wangu ameweka kijiti cha uzazi wa mpango bila kunishirikisha tena nkiwa mbali kwa miezi minne

We nae si uchonvywe ujue kama kitu aijaguswa mda mrefu .
 
Rejerea mada juu.

am 30yrs nna mke na mtoto wa kiume(1.7yrs). Nilikua mbali na mke kwa miezi minne, narudi ananipa hyo taarifa dah. Nmewaza sana aisee

Maswali najiuliza ni haya
1. Ameweka nkiwa sipo ili azuie mimba ya nani.

2. Kwa nini asinishirikishe hata kama niko mbali.

Kusema kweli mke wangu sio mjuaji, wala wa kujikuta born town wala sio mtu wa tamaa kivile na pia ni mvumilvu ila kwa hili sijui nini kimemshawishi.

Nikiwa kama victim nahitaji ushauri jamani. siwezi kunyamaza huku naumia
Tuliza wenge mzee umesahau wazee wako walikua wanafanya nn nyakati za nyuma
 
Rejerea mada juu.

am 30yrs nna mke na mtoto wa kiume(1.7yrs). Nilikua mbali na mke kwa miezi minne, narudi ananipa hyo taarifa dah. Nmewaza sana aisee

Maswali najiuliza ni haya
1. Ameweka nkiwa sipo ili azuie mimba ya nani.

2. Kwa nini asinishirikishe hata kama niko mbali.

Kusema kweli mke wangu sio mjuaji, wala wa kujikuta born town wala sio mtu wa tamaa kivile na pia ni mvumilvu ila kwa hili sijui nini kimemshawishi.

Nikiwa kama victim nahitaji ushauri jamani. siwezi kunyamaza huku naumia
Sawa,umemuelezea mkeo kwa maneno mazuri,basi kumbe mkeo ni mtu msikivu,kaa nae chini muulize,kumbuka mkeo ni binafamu hivyo kukosea ni kawaida tu,usipanik wala kumhisi vibaya,maisha ni safari ndefu yenye milima na mabonde,ishini kwa kuchukuliana
 
Rejerea mada juu.

am 30yrs nna mke na mtoto wa kiume(1.7yrs). Nilikua mbali na mke kwa miezi minne, narudi ananipa hyo taarifa dah. Nmewaza sana aisee

Maswali najiuliza ni haya
1. Ameweka nkiwa sipo ili azuie mimba ya nani.

2. Kwa nini asinishirikishe hata kama niko mbali.

Kusema kweli mke wangu sio mjuaji, wala wa kujikuta born town wala sio mtu wa tamaa kivile na pia ni mvumilvu ila kwa hili sijui nini kimemshawishi.

Nikiwa kama victim nahitaji ushauri jamani. siwezi kunyamaza huku naumia
Mzee watu wanamgonga huyo.
Samahani lakimi/
Ushauri: wanawako wote wanafanana huyo usimuache mchukue uishi naye usiishi mbali na familia yako kama inawezekana
 
Kuna watu mna wasiwasi uliopitiliza kiasi kwamba unajipata umehukumu wenzako kwa nadharia ulizojiaminisha kichwani...

Wengi wa wanawake wanaochepuka huwa hawogopi ujauzito (sababu utabambikiziwa ikibidi au zitamezwa P2 au itashushwa injini) wala magonjwa (baadhi huwa wana akili ya kupimana kabla ya jigjig)
 
Siyo kila mwanamke ni malaya... Wengine tunawadhania tu kuwa malaya kulingana na muonekano wao kwetu na si uhalisia wao.

Mfano nishawahi kuwa na rafiki wa kike nikiwa chuo kiasi kwamba km muda ukienda sana anaweza kulala geto na tusifanye lolote. Lakini kila mdau alikuwa anajua mi namkula yule mdada wakati haijawahi tokea hata mara moja.

Muonekano wetu (kulala pamoja=lazima mnakulana) kwa marafiki zetu ulikuwa ni tofauti na uhalisia wenyewe.

Inatakiwa kila mtu umchukulie ktk uhalisia wake na sio kuendeshwa na hisia

Huku Yeye anatuambia wewe nyuki wa mashineni hung'ati.
 
Sawa nakubali, ila kwanini asingenijulisha ili kuondoa sintofaham.
jamaa wala usiwe na wasiwasi, hiyo hali ni kama yangu ilivyotokea ila nikaanza uchunguzi, na Mungu mwema nilikuwa afande (upelelezi) kwahiyo sikupata shida ya kuelewa ninachokihitaje, majibu nikakuta alivopeleka mtoto hosptal katika maongezi dokta kamwambia aweke maana siku Baba akifika (lazima) hatajari stuation yako kama ni yakubeba mimba au la, Tatizo wife ni mpole hata hilo hakuniambia, aliamini nampenda sitajari, nikapotezea hata sasa na uzee wetu tunadunda, Ndugu leave it pambana na maisha.
 
Duuh pole sana mkuu kwa hiyo changamoto, hawa wanawake wanashida sana sikuhizi
Kwa nini useme HAWA WANAWAKE instead of HUYU MWANAMKE?? Mwenge shida ni huyu hapa na sio wanawake wote
 
mitoto iliyolelewa na makahaba huwa inakua na nidham mbovu, utatatuliwa siku si nyng, with your gayish omen.
Wewe k kibuyu mimi nna matusi toka enzi upo kijijini kwenu unakunya kwa mafungu! crying baby azz na huna tusi jipya kolo wewe
 
Rejerea mada juu.

am 30yrs nna mke na mtoto wa kiume(1.7yrs). Nilikua mbali na mke kwa miezi minne, narudi ananipa hyo taarifa dah. Nmewaza sana aisee

Maswali najiuliza ni haya
1. Ameweka nkiwa sipo ili azuie mimba ya nani.

2. Kwa nini asinishirikishe hata kama niko mbali.

Kusema kweli mke wangu sio mjuaji, wala wa kujikuta born town wala sio mtu wa tamaa kivile na pia ni mvumilvu ila kwa hili sijui nini kimemshawishi.

Nikiwa kama victim nahitaji ushauri jamani. siwezi kunyamaza huku naumia
Ukitaka hack simu yake utajua sababu za kuweka kijiti. Ila uwe na moyo wa jiwe na tayari kwa utakayoyakuta.
 
Rejerea mada juu.

am 30yrs nna mke na mtoto wa kiume(1.7yrs). Nilikua mbali na mke kwa miezi minne, narudi ananipa hyo taarifa dah. Nmewaza sana aisee

Maswali najiuliza ni haya
1. Ameweka nkiwa sipo ili azuie mimba ya nani.

2. Kwa nini asinishirikishe hata kama niko mbali.

Kusema kweli mke wangu sio mjuaji, wala wa kujikuta born town wala sio mtu wa tamaa kivile na pia ni mvumilvu ila kwa hili sijui nini kimemshawishi.

Nikiwa kama victim nahitaji ushauri jamani. siwezi kunyamaza huku naumia
Unatombewa, stuka.
 
Iko hivi mjumbe

Kuna jomba hapo anaitomber, wewe ni wa status tu ya kuwa ni mumewe ila kiuhalisia iko hivyo unataka, iko hivyo hautaki. Shituka acha kupangwa humu
 
Back
Top Bottom