Mke wangu ana Mawasiliano na Mkwe na Mashemeji wa X wake. Pia ana account ya Social Network ambayo ameniblock siwezi kuiona anachoweka huko

Wewe jamaa pole sana.
Mwanamke wa kitanzania hapaswi kuoneshwa mahaba ya kizungu, sio asili yake. Amejua umekufa kwake.
Mwanamke wa kitanzania anaendeshwa kwa mfume thabiti. Kuwa mwanaume wewe

Ushauri wangu mrudishe kwao kama miezi miatu. Tafuta mwanamke mwingine mpange, mpige picha za mahaba. Weka ktk social media na wewe. Nakuambia Leo dawa ya mwanamke mshenzi n mwanamke mwenzake.
 
Sasa unataka uone Nini uko social net
 
Unaonaje ukamrudisha kwa baba yake?kwanini uteseke kijana,
 
Mapenzi huwa yanawafanya wanaume wasitumie akili zao za kuzaliwa.


Ningekuwa karibu na wewe ningekuchapa kofi Moja zito akili imgekaa sawa sawa ungetoka na uamuzi mmoja mujarabu wa tatizo lako.

Ungetoa muongozo wa hio ndoa asietaka kuufuata unge mcast out.
 
Mwanamke mchafu huyo achana naye mapema Zaid.
 
Unajua kina sisi tukiolewa ma x wetu wanajipendekeza sana, mwanamke usipo kuwa na msimamo unarudiana na x wako, kwanza Kama huyo x wake alimpenda mbona hakumuoa ?kwakuwa kaolewa ndo mahaba yanazidi kwa x.
 
Ukweli mchungu,ni kuwa wanawake huolewa na waliotayari kuoa,sio wale wanaowapenda,Sasa unakuta,aliyekuwa anampenda,hayupo tayari kuoa,Sasa inabidi mdada alikubalie jamaa ambalo lipo tayari na miundombinu ya ndoa,Sasa matokeo yake ndio haya,x anakuwa anamisiwa hatari,hata mzigo atapewa,hapa kumbuka mdada haogopi kushika mimba,maana SI yupo kwenye ndoa,
Ukiona manyoya,JUA ameishaliwa,sas hapo kazi kwako kusuka au kunyoa
 
Dawa ya moto ni moto…..tunazima moto kwa kuwasha moto…..sasa unafikiri mwanamke utamtuliza kwa kufanya nini,,akili kwenye kichwa….
 
Huu ni utumbo bora wa mwenzi june
 
Achana naye Bado mapema kabisa huyo...wewe ndio uliyempenda na ndio maana ukatangaza ndoa harakaharaka ila wewe Wala haupo moyoni mwake...anampenda huyo x na pengine hata hawakuwa wameachana ila ulidanganywa
 
Acha uzwazwa, ndoa ipo na talaka ipo, anakusumbua akili, mpige chini, kwani ulizaliwa nae huyo? Au ndio oxygen yako kwamba ukimuacha utakufa!?

Usiwe pimbi, mwanaume vitu vingine hupasqi kulalamika lalamika mzee.
 
Hahaha....aisee sasa kwani akitombwer na ex wake wee inakuhusu nini mzeya? Mbususu sii yake
 

Mzee una maushauri mazuri sana heko
 
Usimlaum kwanini anachati nao, hujampa strict terms & conditions za ndoa yenu. Hilo picha litaisha tu hiyo ndoa ni changa unatakiwa usimame kama kichwa kulitatua hili usikimbie..mtengeneze mkeo awe vile utakavyo akisuasua make plan B. Usipalilie hii kitu itatanua moyo wako. Wake up man
 


Watu wenye fikra kama zako sijawahi waelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…