Mke wangu ana ngoma, kanieleza wazi alivyoipata

Mke wangu ana ngoma, kanieleza wazi alivyoipata

kyalankota

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2014
Posts
2,594
Reaction score
1,462
Aisee! Mke wangu anapenda sana kuimba na pindi akipata muda tukipumzika ananiimbia nyimbo nzuri za mapenzi hadi najisikia raha sana.Kwa kuboresha kipaji chake nikaamua kumnunulia guitar akafurahi sana, ndipo naye juzi akaenda kununua ngoma.

Nilipofika nikaikuta ngoma nikamuuliza imetoka wapi akanambia alienda kuinunua kwa vile guitar ipo inapendeza zaidi ikisindikizwa na mdundo wa ngoma. Kwa kweli nimefurahishwa sana na ubunifu wa mke wangu. Aisee!
 
Tyta hivi huyu juzi alileta topic gani hivi?
 
Last edited by a moderator:
Aisee! Mke wangu anapenda sana kuimba na pindi akipata muda tukipumzika ananiimbia nyimbo nzuri za mapenzi hadi najisikia raha sana.Kwa kuboresha kipaji chake nikaamua kumnulia guitar akafurahi sana, ndipo naye juzi akaenda kununua ngoma.

Nilipofika nikaikuta ngoma nikamuuliza imetoka wapi akanambia alienda kuinunua kwa vile guitar ipo inapendeza zaidi ikisindikizwa na mdundo wa ngoma. Kwa kweli nimefurahishwa sana na ubunifu wa mke wangu. Aisee!

Fuse zimekatika nini kichwani mkuu?
 
shoga weee nikajua nishapata umbea marafiki zangu wanaionaga na mastori ya tanzania nzima kumbe yote jamii forum....jamaa analeta utani mweee

Ha ha haaa! Kumbe mnapenda sana umbea eeh! Aisee! Halafu mlichokitegemea sicho mlichokikuta! Sijui mlijua pana nini! Wengine naona mpaka wamechukia kabisa! Teh teh teh!
 
Back
Top Bottom