kyalankota
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 2,594
- 1,462
- Thread starter
-
- #121
Ha ha ha ha ha watu wanapenda kusikia mabaya.
Yaombe utayapata. Mdomo unaumba. Mtu mzima ovyoooooo
Fuse zimekatika nini kichwani mkuu?
HahahaAisee! Mke wangu anapenda sana kuimba na pindi akipata muda tukipumzika ananiimbia nyimbo nzuri za mapenzi hadi najisikia raha sana.Kwa kuboresha kipaji chake nikaamua kumnunulia guitar akafurahi sana, ndipo naye juzi akaenda kununua ngoma.
Nilipofika nikaikuta ngoma nikamuuliza imetoka wapi akanambia alienda kuinunua kwa vile guitar ipo inapendeza zaidi ikisindikizwa na mdundo wa ngoma. Kwa kweli nimefurahishwa sana na ubunifu wa mke wangu. Aisee!
Na album Yao inaitwa beki hazikabiMmeanzisha Live Bendi
ujilinde asikuambukize hiyo ngoma iliyoletwa na gitaAisee! Mke wangu anapenda sana kuimba na pindi akipata muda tukipumzika ananiimbia nyimbo nzuri za mapenzi hadi najisikia raha sana.Kwa kuboresha kipaji chake nikaamua kumnunulia guitar akafurahi sana, ndipo naye juzi akaenda kununua ngoma.
Nilipofika nikaikuta ngoma nikamuuliza imetoka wapi akanambia alienda kuinunua kwa vile guitar ipo inapendeza zaidi ikisindikizwa na mdundo wa ngoma. Kwa kweli nimefurahishwa sana na ubunifu wa mke wangu. Aisee!