Mke wangu ana ngoma, kanieleza wazi alivyoipata

Mke wangu ana ngoma, kanieleza wazi alivyoipata

Ushindwe na ulegee na marehemu mtume wako feki!
sishindwi silegei,ila wewe unatania ngoma na uipatektk Jina la alie juu,hata biblia imekataa utani(Especially huu wa kijinga):A S-fire1:.Watu wanaumwa nyie mnaleta mizaha?
 
sishindwi silegei,ila wewe unatania ngoma na uipatektk Jina la alie juu,hata biblia imekataa utani(Especially huu wa kijinga):A S-fire1:.Watu wanaumwa nyie mnaleta mizaha?

Tatizo mmejaa misamiati ya lugha za mitaani ndo maana unaambiwa kitu unatafsiri vingine kabisa wakati lugha iliyotumika ipo wazi kabisa!
 
Mtoa mada we ni Genius..... Umeonyesha jinsi watanzania walivyo wanapenda kusikia mtu unamatatizo kila siku....ndio maana wengi wamekasirika kwa kujifanya manabii..
Halafu ukimwi sio ugonjwa hatari tena kwa mujibu Wa tafiti zilizofanya ndio maana hata kampeni zake zimebase zaidi kwenye kuimalisha ndoa ndio maana wamewasahau kabisa vijana ambao hawajaoa...eti michepuko.
Na aliyesemaga ngoma ni ukimwi nani huyo au ndio mnabadilisha matumizi ya lugha....acheni unafikiiiii...
 
sishindwi silegei,ila wewe unatania ngoma na uipatektk Jina la alie juu,hata biblia imekataa utani(Especially huu wa kijinga):A S-fire1:.Watu wanaumwa nyie mnaleta mizaha?

Sasa hapo katania nini kama sio akili yako we ndio fupi....unakijua kitabu hata kabla ujakisoma.....A beautiful one are not yet born.....katika kitabu iki ulielewa nini
 
Mtoa mada we ni Genius..... Umeonyesha jinsi watanzania walivyo wanapenda kusikia mtu unamatatizo kila siku....ndio maana wengi wamekasirika kwa kujifanya manabii..
Halafu ukimwi sio ugonjwa hatari tena kwa mujibu Wa tafiti zilizofanya ndio maana hata kampeni zake zimebase zaidi kwenye kuimalisha ndoa ndio maana wamewasahau kabisa vijana ambao hawajaoa...eti michepuko.
Na aliyesemaga ngoma ni ukimwi nani huyo au ndio mnabadilisha matumizi ya lugha....acheni unafikiiiii...

Umenena vema mkuu!
 
Akiipata ngoma ya ukweli uteletee mrejesho manake unamuulizia kifaru hqli ya kuwa upo porini usilalamike akikuibukia ghafla bin vu!!!!

Ungeweka hii kitu kwenye jokes ungeeleweka

Ngoma ya ukweli ndio hipi hiyo....we itakuwa mgeni wa kiswahili..... Mzee kifimbo cheza angekuwepo angeanza na wewe.. .
 
Sasa hapo katania nini kama sio akili yako we ndio fupi....unakijua kitabu hata kabla ujakisoma.....A beautiful one are not yet born.....katika kitabu iki ulielewa nini

Ni sawa na mtu aliyesikia vibaya taarifa za msiba na akaenda msibani akakuta yule mtu hajafa kumbe hakusikia vizuri, badala ya kufurahi kuwa mtu yuko hai yeye anachukia kwanini hajafa kweli!

Sasa huyu na wengine hapa jf walivoona kichwa cha habari wakatafsiri vibaya walivosoma wakakuta sivyo walivyodhani wanachukia!
 
duh, nilikuwa naogopa kufungua huu uzi kumbe ni longo longo tu.
 
Back
Top Bottom