Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Ulitegemea kukuta nini mkuu?
nilitegemea kukuta ana ngoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitegemea kukuta nini mkuu?
nilitegemea kukuta ana ngoma
Nimekuja mbio huku natoa mimacho, haya.
sishindwi silegei,ila wewe unatania ngoma na uipatektk Jina la alie juu,hata biblia imekataa utani(Especially huu wa kijinga):A S-fire1:.Watu wanaumwa nyie mnaleta mizaha?Ushindwe na ulegee na marehemu mtume wako feki!
sishindwi silegei,ila wewe unatania ngoma na uipatektk Jina la alie juu,hata biblia imekataa utani(Especially huu wa kijinga):A S-fire1:.Watu wanaumwa nyie mnaleta mizaha?
Uwazi gani,usinizingue weweTatizo mmejaa misamiati ya lugha za mitaani ndo maana unaambiwa kitu unatafsiri vingine kabisa wakati lugha iliyotumika ipo wazi kabisa!
sishindwi silegei,ila wewe unatania ngoma na uipatektk Jina la alie juu,hata biblia imekataa utani(Especially huu wa kijinga):A S-fire1:.Watu wanaumwa nyie mnaleta mizaha?
Mtoa mada we ni Genius..... Umeonyesha jinsi watanzania walivyo wanapenda kusikia mtu unamatatizo kila siku....ndio maana wengi wamekasirika kwa kujifanya manabii..
Halafu ukimwi sio ugonjwa hatari tena kwa mujibu Wa tafiti zilizofanya ndio maana hata kampeni zake zimebase zaidi kwenye kuimalisha ndoa ndio maana wamewasahau kabisa vijana ambao hawajaoa...eti michepuko.
Na aliyesemaga ngoma ni ukimwi nani huyo au ndio mnabadilisha matumizi ya lugha....acheni unafikiiiii...
Akiipata ngoma ya ukweli uteletee mrejesho manake unamuulizia kifaru hqli ya kuwa upo porini usilalamike akikuibukia ghafla bin vu!!!!
Ungeweka hii kitu kwenye jokes ungeeleweka
Sasa hapo katania nini kama sio akili yako we ndio fupi....unakijua kitabu hata kabla ujakisoma.....A beautiful one are not yet born.....katika kitabu iki ulielewa nini
Kuna dua nyingine hazirudishwi...we haya!
Kuna dua nyingine hazirudishwi...we haya!
Dua ya kuwa mke ana ngoma...Kuna dua gani hapo?
Dua ya kuwa mke ana ngoma...