kyalankota
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 2,594
- 1,462
- Thread starter
- #101
Dua ya kuwa mke ana ngoma...
Sasa kununua ngoma kwa ajili ya music ndo dua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dua ya kuwa mke ana ngoma...
duh, nilikuwa naogopa kufungua huu uzi kumbe ni longo longo tu.
Ulikanunu? kyalankotaYepi tena hayo ntayapata!
Ulikanunu? kyalankota
nilivyosoma heading nikasikitika ila nilipoifungua ndani kumbe utumbo mtupu
Nilidhani ndugu yangu yamekupata na umeamua kujitangaza hadharani.Ndikanunu fijo malafyale! Utwakyinja kipya?
Nilidhani ndugu yangu yamekupata na umeamua kujitangaza hadharani.
ulitegemea maini na figo?
ulitegemea maini na figo?
nimekuja mbio
jf
noma
aisee! Mke wangu anapenda sana kuimba na pindi akipata muda tukipumzika ananiimbia nyimbo nzuri za mapenzi hadi najisikia raha sana.kwa kuboresha kipaji chake nikaamua kumnulia guitar akafurahi sana, ndipo naye juzi akaenda kununua ngoma.
Nilipofika nikaikuta ngoma nikamuuliza imetoka wapi akanambia alienda kuinunua kwa vile guitar ipo inapendeza zaidi ikisindikizwa na mdundo wa ngoma. Kwa kweli nimefurahishwa sana na ubunifu wa mke wangu. Aisee!
watu wanasoma vichwa vya habari alafu wanatengeneza stori kichwani, wakifungua ndani wakakuta tofauti na walivyo tazamia wanaanza kukasirika, oo unadharau, oo maneno huumba, mara huyu mwehu hana akili, sasa yeye ndo kaandika kumuhusu yeye ninyi mnataka mnavyotaka ninyi, hii sasa shida.
Dah! sijui imekuawaje nimeifunguaBadae mnalalamika sjuivwatu jf wanachagua sredi za kukoment kwa upuuzi huu bora mods wafute nyuz za kijinga
Dah! sijui imekuawaje nimeifungua
Hongera, kipaji hicho, kiendeleze.