Mke wangu ana ngoma, kanieleza wazi alivyoipata

Mke wangu ana ngoma, kanieleza wazi alivyoipata

Ha ha haaa! Kumbe mnapenda sana umbea eeh! Aisee! Halafu mlichokitegemea sicho mlichokikuta! Sijui mlijua pana nini! Wengine naona mpaka wamechukia kabisa! Teh teh teh!
uyu kaka kaniboa sana yaani nikakaa mkao wa kusoma vizuri kumbe utoto?? ebu kuwa na heshima kwa wakubwa wako.
 
uyu kaka kaniboa sana yaani nikakaa mkao wa kusoma vizuri kumbe utoto?? ebu kuwa na heshima kwa wakubwa wako.

Pole sana mi sikujua kumbe vijana wa siku hizi ukimwi mnaita ngoma! Kuna mtu kanitonya hapa kumbe ndo maana mmepanick sana!
 
Mi nawashangaa hawa watu, eti wamekasirika kwa nini wife hana ngoma waliyodhania wao!

Akiipata ngoma ya ukweli uteletee mrejesho manake unamuulizia kifaru hqli ya kuwa upo porini usilalamike akikuibukia ghafla bin vu!!!!

Ungeweka hii kitu kwenye jokes ungeeleweka
 
Akiipata ngoma ya ukweli uteletee mrejesho manake unamuulizia kifaru hqli ya kuwa upo porini usilalamike akikuibukia ghafla bin vu!!!!

Ungeweka hii kitu kwenye jokes ungeeleweka

:thumbdown:
 
Back
Top Bottom