Uliendekeza ujinga.Siku kataka chips yai nikaleta akadai zinanukia vibaya hataki anataka tu viazi kwaiyo nikalete viazi vya kukaanga na miguu ya kuku full pilipili alafu chips zenge ndio nile mwenyewe [emoji17][emoji17][emoji17]
ataona rangi zote mbaka macho yaumie ,maumivu kama amebanwa mbupu😀😀😀😀na bado utanyoooka haswaaaa. Mpaka miezi9 ifike hakuna rangi utaacha ona
Tunakupenda piaYes mkuu huyu kiumbe nafanana nae Hadi kucha .. mpaka ukorofi usioumiza , ..
Mungu awape Maisha marefu kina mama .
Nawapenda❤️❤️❤️
Ha ha ha ha lazma aombe sub contractor tu hii mambo acheni tu unatolewa mswaki mwaka mzima maana huwezi kula mbunye baada ya mtoto wa kike kushusha engine.😀😀😀😀na bado utanyoooka haswaaaa. Mpaka miezi9 ifike hakuna rangi utaacha ona
Hivi wadau ni sawa kwa mwanamke mwenye mimba ya mwezi mmoja kuanza uvivu na kuumwa umwa!!
Naona mwanamke wangu ananiletea vipengele sana yaani tangu tujue ana mimba basi kazi zote za ndani ndio hawezi tena….hapiki hafui hadeki…vitu vyote hivyo nafanya mimi. Mara ajitapishe mara aseme anasikia kizunguzungu mara agome kula.
Yaani ni kama wiki mbili sasa lakini nimeshanyooka. Game nanyimwa kwa kisingizio kuwa anajisikia vibaya
Ni kweli inakuwa ivi sometimes au ndio nanyooshwa!!?
Mkiyapata mabwege huwa mnafurahi sana naona 😂.Umeonaee! Na saa ingine waeza dhania anaijifanyisha kumbe walaa.
Hivi vitu ni vya kupita tu hivyo ambavyo mwishowe huwa na furaha ya ajabu. Nadhani huyo Mkuu avumilie tu miezi tisa si mingi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi wadau ni sawa kwa mwanamke mwenye mimba ya mwezi mmoja kuanza uvivu na kuumwa umwa!!
Naona mwanamke wangu ananiletea vipengele sana yaani tangu tujue ana mimba basi kazi zote za ndani ndio hawezi tena….hapiki hafui hadeki…vitu vyote hivyo nafanya mimi. Mara ajitapishe mara aseme anasikia kizunguzungu mara agome kula.
Yaani ni kama wiki mbili sasa lakini nimeshanyooka. Game nanyimwa kwa kisingizio kuwa anajisikia vibaya
Ni kweli inakuwa ivi sometimes au ndio nanyooshwa!!?
na siku tumbo likiwa kubwa karibu na kujifungua usisahau kumnyoa vuzi maana yeye hataweza kuliona vyema
Kutokula inategemeana ntu na ntuHa ha ha ha lazma aombe sub contractor tu hii mambo acheni tu unatolewa mswaki mwaka mzima maana huwezi kula mbunye baada ya mtoto wa kike kushusha engine.
Pole sana mkuu.Mimi nimefanyiwa visanga vingi mno... Lakini ujauzito umetoka wenyewe ukiwa na miezi 4...imeniuma mno
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siku kataka chips yai nikaleta akadai zinanukia vibaya hataki anataka tu viazi kwaiyo nikalete viazi vya kukaanga na miguu ya kuku full pilipili alafu chips zenge ndio nile mwenyewe yeye hawezi kupika usiku [emoji17][emoji17][emoji17]
Nikasema zege mm nikila sitosshiba nikachukua unga nikabandika ugali akadai mboga nitapata wapi apo nimeshafura asira nikamwambia ntajua mwenyewe pa kupata nikasoga ugali umeiva nimenuna akanionea uruma akanipa buku 2 nikanunue paja la kuku nije kurumangia ugali akasisitiza paja la kuku sio kitu kingine mana ni kama nitakuwa nimechokoza ugomvi hataki harufu nyingine.
Nimeenda chukua paja saa tano iyo sasa nakula ananiangalia nimekula nimemaliza nikasema sasa niende kunawa nije kutoa vyombo ile narudi namkuta anakula mifupa niloiacha kaimix na pilipili [emoji16][emoji16] ase nilichoka.
Nilikuwa naambiwa nanuka sana, naamrishwa kuoga.Mara nipikie wali ... Umeanza kuiva hiyo harufu siitaki...
Oga basi siogi .. KWA wiki mara moja au inakata kabisa...
Hiyo perfume siitaki ...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo kwenye kuoga huwa inakuwaje mkuu kama ushawahi kukukuta ya design hiyo
Ahsante kwa muongozo Dada, nimejionea mwenyewe.Ila Mkuu ujauzito ni kitu ingine aisee.. [emoji28][emoji28]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]@demiss (sijui kaja na ai di gani humu) wahuni sio watu wazuri, mmemkimbiza mrs Mshana Jr sasa hivi mzee wa kilinge analala pekee hake kama nyoka[emoji23]